Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi
Uturuki imesema ilitumia ndege za kijeshi aina ya F-16 kuzuia ndege ya kijeshi ya Urusi kupaa anga yake bila idhini Jumamosi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Uturuki yasema iko tayari kufanya kazi na Urusi
9 years ago
BBCSwahili28 Nov
Uturuki yajuta kuidungua ndege ya Urusi
9 years ago
BBCSwahili29 Sep
Urusi yasema huenda ikashambulia IS
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Urusi yasema Erdogan ananunua mafuta ya IS
5 years ago
BBCSwahili27 May
Marekani yasema Urusi inawafadhili mamluki Libya
11 years ago
BBCSwahili19 Jul
Urusi yasema yapigwa vita vya maneno
9 years ago
BBCSwahili25 Nov
Urusi yakatiza Uhusiano na Uturuki
9 years ago
Mtanzania01 Dec
Urusi yafungiwa kusajili wachezaji wa Uturuki
MOSCOW, URUSI
KLABU za nchini Urusi zimefungiwa kufanya usajili kwa wachezaji wa nchini Uturuki kuanzia Januari mwakani kutokana na migogoro ya kisiasa.
Nchi hizi mbili zimekuwa na migogoro ya kisiasa, ambapo wiki iliyopita ndege ya kivita ya nchini Urusi ililipuliwa na jeshi la nchini Uturuki kwenye mpaka wa Syria, Novemba 24 mwaka huu na kuua rubani mmoja huku mwingine akiwa salama.
Waziri wa Michezo nchini Urusi, Vitaly Mutko, aliliambia gazeti la R-Sport new la nchini humo kwamba, hakuna...
9 years ago
BBCSwahili29 Nov
Uturuki kurejesha mwili wa rubani wa Urusi