Uturuki yasema iko tayari kufanya kazi na Urusi
Waziri mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema kuwa Ankara itafanya kazi na Urusi pamoja na washirika wake ili kuzima wasiwasi baada ya Uturuki kuidungua ndege ya Urusi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili05 Oct
Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Kagame:Nipo tayari kufanya kazi na Watanzania
Na Gabriel Mushi, Dar es Salaam
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame ameihakikishia Serikali ya Tanzania kuwa yupo tayari kufanya kazi na Watanzania, kwa kuwa wananchi wa pande zote mbili wanafaidika na ushirikiano uliopo.
Rais Kagame, alitoa kauli hiyo jana alipofanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam na kuridhika na utendaji pamoja na mabadiliko yaliyofanywa na Serikali katika sekta ya usafirishaji.
Kagame ambaye alikuwa ameandamana na mwenyeji wake, Rais Jakaya Kikwete, awali alifungua mkutano...
11 years ago
Michuzi.jpg)
JUST IN: KAMPUNI KUBWA ZA UJEZI ZA UTURUKI ZAVUTIWA KUFANYA KAZI TANZANIA
10 years ago
Michuzi
DKT SHEIN AAGANA NA BALOZI WA URUSI ALIYEMALIZA MUDA WA KUFANYA KAZI NCHINI

.jpg)
.jpg)
10 years ago
Bongo530 Oct
Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena

5 years ago
Michuzi
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Azam iko tayari kuivaa El Merreikh
10 years ago
BBCSwahili29 Sep
Urusi yasema huenda ikashambulia IS
10 years ago
BBCSwahili17 Feb
Ugiriki iko tayari kunusuru uchumi wake