Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kagame:Nipo tayari kufanya kazi na Watanzania

Na Gabriel Mushi, Dar es Salaam
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame ameihakikishia Serikali ya Tanzania kuwa yupo tayari kufanya kazi na Watanzania, kwa kuwa wananchi wa pande zote mbili wanafaidika na ushirikiano uliopo.
Rais Kagame, alitoa kauli hiyo jana alipofanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam na kuridhika na utendaji pamoja na mabadiliko yaliyofanywa na Serikali katika sekta ya usafirishaji.
Kagame ambaye alikuwa ameandamana na mwenyeji wake, Rais Jakaya Kikwete, awali alifungua mkutano...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yasema iko tayari kufanya kazi na Urusi

Waziri mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema kuwa Ankara itafanya kazi na Urusi pamoja na washirika wake ili kuzima wasiwasi baada ya Uturuki kuidungua ndege ya Urusi.

 

9 years ago

Bongo5

Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena

Z Anto na Babu TaleBaada ya meneja wa Tip Top Connection, Babu Tale kutangaza kutamani kufanya kazi na Z Anto, msanii huyo naye amesema yupo tayari kurudi kundini. Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo cha EA Radio, Z Anto amesema ana uwezo wa kufanya kazi na Tip Top Connection kama wataafikiana. “Mimi sina tatizo na Tale na hatujawahi kukoseana […]

 

10 years ago

Mtanzania

Ghasia: Nipo tayari kuwajibika

Hawa Ghasia

Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia

NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM,
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia, amesema kwamba yuko tayari kuwajibika iwapo atabainika amevuruga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika juzi nchini.
Waziri Ghasia aliyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, kuhusu taarifa ya awali ya upigaji kura katika Serikali za Mitaa.
“Nitakuwa...

 

11 years ago

Mtanzania

Magufuli: Nipo tayari kushtakiwa

Waziri John Magufuli

Waziri John Magufuli

Oliver Oswald Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam

WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema yupo tayari kufungwa jela kuliko kuendelea kuwavumilia watu wanaokwamisha ujenzi wa miundombinu ya barabara kwa kukimbilia mahakamani.

Sambamba na hilo, pia amepiga marufuku uchimbaji wa mchanga pembezoni mwa mto uliokuwa eneo la daraja la Lugalo, ikiwa ni pamoja na kuwapa tahadhari ya kuwafungia wafanyabiashara walio karibu na eneo hilo endapo watashindwa kuwa walinzi wa uharibifu...

 

10 years ago

GPL

DIAMOND: NIPO TAYARI KWA KIFO!

SIKU chache baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata binti na kumwita Latifah ‘Princess Tiffah’ na kuanza maisha mapya ya familia na mzazi mwenzake, Zarina Hassan ‘Zari’, nyota huyo anadaiwa kutoa ya moyoni kwa kusema kuwa sasa yupo tayari kwa kifo kwa vile ndoto yake kubwa ya kupata mtoto imekamilika na ana chata duniani.  ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1NbUP9j ...

 

10 years ago

GPL

NAY: NIPO TAYARI KUPIMA DNA

Musa Mateja
KUFUATIA sintofahamu kati ya wapenzi wawili, Emmanuel Eribariki ‘Nay wa Mitego’, ambaye ni msanii wa Bongo Fleva na Siwema Edson juu ya mtoto wao mwenye umri wa miezi mitatu, mwanaume huyo amesema yupo tayari hata kwa vipimo vya vinasaba (DNA) ili kuthibitisha kuwa Curtis ni mtoto wake wa damu. Msanii wa Bongo Fleva Emmanuel Eribariki ‘Nay wa Mitego’. Siwema ambaye Nay anadai kumfumania...

 

9 years ago

GPL

ROSE NDAUKA: NIPO TAYARI KUOLEWA NA YEYOTE!

ROSE Donatus Anjelus Ndauka ‘mtata’ amesema kama mwanamke aliyekamilika na mwenye kuhitaji heshima katika jamii, yupo tayari kuolewa na kuishi kama mama na mwanaume yeyote. Akichonga na Amani, Rose alisema japo mume bora anatoka kwa Mungu na kwamba anangojea aliye chaguo lake, lakini amechoshwa na hali ya kuishi bila ndoa.  ....Soma zaidi====>http://bit.ly/1NwqcvE ...

 

10 years ago

Mtanzania

Tundaman: Nipo tayari kuwasaidia vijana wa Manzese

TUNDA MANNA JENNIFER ULLEMBO
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Khalid Ramadhan ‘Tundaman’, ameweka wazi kwamba yupo tayari kutoa msaada kwa vijana wanaoishi maeneo ya Manzese jijini Dar es Salaam.
Akifafanua kauli yake hiyo, alisema anatamani awe daraja la mafanikio kwa vijana hasa waliokata tamaa ya maisha ili awaongoze katika maisha mapya na ya matumaini.
“Nipo tayari kuwasaidia hata katika ushauri hasa vijana waliokata tamaa ya maisha wasisite waje nyumbani hata kama sitakuwepo, watakutana na...

 

10 years ago

Tanzania Daima

David Malole: Nipo tayari kuopteza ubunge

“NIPO tayari kufa na nikifa nisizikwe bali nikatwe vipande vitatu. Kimoja kitupwe majini mamba wale, kingine msituni fisi watafune na kingine vichakani ndege wanaokula mizoga wale, lakini sitakuwa tayari kuona...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani