Kagame:Nipo tayari kufanya kazi na Watanzania
Na Gabriel Mushi, Dar es Salaam
RAIS wa Rwanda, Paul Kagame ameihakikishia Serikali ya Tanzania kuwa yupo tayari kufanya kazi na Watanzania, kwa kuwa wananchi wa pande zote mbili wanafaidika na ushirikiano uliopo.
Rais Kagame, alitoa kauli hiyo jana alipofanya ziara katika Bandari ya Dar es Salaam na kuridhika na utendaji pamoja na mabadiliko yaliyofanywa na Serikali katika sekta ya usafirishaji.
Kagame ambaye alikuwa ameandamana na mwenyeji wake, Rais Jakaya Kikwete, awali alifungua mkutano...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili27 Nov
Uturuki yasema iko tayari kufanya kazi na Urusi
9 years ago
Bongo530 Oct
Z Anto asema yupo tayari kufanya kazi chini ya Tip Top Connection tena
![Z Anto na Babu Tale](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Z-Anto-na-Babu-Tale-94x94.jpg)
10 years ago
Mtanzania16 Dec
Ghasia: Nipo tayari kuwajibika
![Hawa Ghasia](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Hawa-Ghasia.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia
NA SHABANI MATUTU, DAR ES SALAAM,
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Hawa Ghasia, amesema kwamba yuko tayari kuwajibika iwapo atabainika amevuruga Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika juzi nchini.
Waziri Ghasia aliyasema hayo wakati alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, kuhusu taarifa ya awali ya upigaji kura katika Serikali za Mitaa.
“Nitakuwa...
11 years ago
Mtanzania12 Aug
Magufuli: Nipo tayari kushtakiwa
![Waziri John Magufuli](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/06/John-Magufuli.jpg)
Waziri John Magufuli
Oliver Oswald Na Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
WAZIRI wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, amesema yupo tayari kufungwa jela kuliko kuendelea kuwavumilia watu wanaokwamisha ujenzi wa miundombinu ya barabara kwa kukimbilia mahakamani.
Sambamba na hilo, pia amepiga marufuku uchimbaji wa mchanga pembezoni mwa mto uliokuwa eneo la daraja la Lugalo, ikiwa ni pamoja na kuwapa tahadhari ya kuwafungia wafanyabiashara walio karibu na eneo hilo endapo watashindwa kuwa walinzi wa uharibifu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSmc9CECn-Cy6pq7IVi8QgygGOSLIHNwAM6heBeQMvOUYdGOaHDG4KvMCtwEuciFMFFFjzogAm7zUE3N9933Nrdl/Diamond.gif?width=650)
DIAMOND: NIPO TAYARI KWA KIFO!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/qhmaNpdkdBtSOvhE6VMIInDdZjgkTk-lSNh3Nzqu*9oyiF78fSBTd2nOfTUe4pK0QQOhxNbvf5P1lXZKdI4sgjGBZw*I0szv/2.jpg?width=650)
NAY: NIPO TAYARI KUPIMA DNA
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KkxqEnBJGWD8KQhvyXbZnjAf7WMHIE95fjgP9oF8Lv2iSa-e2sZ4OYGBYEL7uWtrSe23ZZKerJ*80r1d2ARz1XGub6RRj9X-/rose.jpg)
ROSE NDAUKA: NIPO TAYARI KUOLEWA NA YEYOTE!
10 years ago
Mtanzania10 Mar
Tundaman: Nipo tayari kuwasaidia vijana wa Manzese
NA JENNIFER ULLEMBO
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Khalid Ramadhan ‘Tundaman’, ameweka wazi kwamba yupo tayari kutoa msaada kwa vijana wanaoishi maeneo ya Manzese jijini Dar es Salaam.
Akifafanua kauli yake hiyo, alisema anatamani awe daraja la mafanikio kwa vijana hasa waliokata tamaa ya maisha ili awaongoze katika maisha mapya na ya matumaini.
“Nipo tayari kuwasaidia hata katika ushauri hasa vijana waliokata tamaa ya maisha wasisite waje nyumbani hata kama sitakuwepo, watakutana na...
10 years ago
Tanzania Daima13 Aug
David Malole: Nipo tayari kuopteza ubunge
“NIPO tayari kufa na nikifa nisizikwe bali nikatwe vipande vitatu. Kimoja kitupwe majini mamba wale, kingine msituni fisi watafune na kingine vichakani ndege wanaokula mizoga wale, lakini sitakuwa tayari kuona...