Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi yasema huenda ikashambulia IS

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema taifa hilo linaweza likashambulia wapiganaji wa Islamic State iwapo hilo litaidhinishwa na Umoja wa Mataifa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Watu 'bilioni moja' huenda wakaambukizwa kote duniani - yasema IRC

Watu bilioni moja huenda wakaambukizwa virusi vya corona kote duniani na mambo pengine yabadilike, nchi zisizojiweza zinahitaji usaidizi wa haraka Shirika la kutoa msaada limeonya.

 

10 years ago

BBCSwahili

Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi

Uturuki imesema ilitumia ndege za kijeshi aina ya F-16 kuzuia ndege ya kijeshi ya Urusi kupaa anga yake bila idhini Jumamosi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema Erdogan ananunua mafuta ya IS

Wizara ya ulinzi ya Urusi imeituhumu familia ya Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan kwa kuhusika katika biashara ya mafuta na kundi la Islamic State.

 

5 years ago

BBCSwahili

Marekani yasema Urusi inawafadhili mamluki Libya

Jeshi la Marekani limeishutumu Urusi kwa kutuma ndege za kijeshi nchini Libya kuunga mkono mamluki wa Urusi nchini humo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema yapigwa vita vya maneno

Urusi yalalamika kuwa mataifa ya Magharibi yaishambulia kwa maneno

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yasema iko tayari kufanya kazi na Urusi

Waziri mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema kuwa Ankara itafanya kazi na Urusi pamoja na washirika wake ili kuzima wasiwasi baada ya Uturuki kuidungua ndege ya Urusi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobe huenda wakaangamia Madagascar

Aina moja ya Kobe wanaowindwa na wawindaji haramu nchini Madagascar wako katika hatari kubwa ya kuangamia

 

10 years ago

Mtanzania

Rekodi ya 2010/11 huenda ikajirudia

NA ABDUCADO EMMANUEL, DAR ES SALAAM

LIGI Kuu ya Vodacom msimu huu imekuwa na utata mkubwa kutokana na ugumu uliogubika mbio za ubingwa.Mpaka sasa mzunguko wa pili wa ligi ukiwa unaendelea, bado ni vigumu kutabiri ni timu gani inaweza kutwaa ubingwa.Kileleni kwenye msimamo wa ligi hiyo kuna vita kali baina ya mabingwa watetezi Azam FC na Yanga, wote wakiwa na pointi 25 baada ya kushuka dimbani mara 13, lakini Azam FC wako juu kutokana na uwiano wake mzuri wa tofauti ya mabao ya kufunga na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Huenda 800 waliangamia baharini

Umoja wa Mataifa unasema kuwa huenda watu 800 walifariki Jumapili, pale mashua waliyokuwa wakilitumia ilipozama baharini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani