Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kobe huenda wakaangamia Madagascar

Aina moja ya Kobe wanaowindwa na wawindaji haramu nchini Madagascar wako katika hatari kubwa ya kuangamia

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Kortini wakidaiwa kusafirisha kobe

Wakazi watano wa Zanzibar wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka ya kusafirisha kobe 201 aina ya India wenye thamani ya Sh30 milioni.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kobe 300 wazagaa Tabata

WANYAMA aina ya kobe zaidi ya 330, wamekutwa wamezagaa eneo la Tabata- Mawenzi, Dar es Salaam  bila kufahamika mtu aliyewafikisha eneo hilo. Watu waliowashuhudia wanyama hao, walisema kobe hao walianza...

 

5 years ago

BBCSwahili

Maisha ya Kobe Bryant katika picha

Simulizi ya maisha ya aliyekuwa mchezaji nguli wa kikapu nchini Marekani katika picha, Kobe Bryant ambaye alifariki akiwa na miaka 41.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobe Bryant aanza vibaya NBA

Mchezaji nguli wa mchezo wa kikapu Nchini Marekani Kobe Bryant amerejea vibaya katika kikosi chake cha LA Lakers.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobe Bryant amzidi Jordan NBA

Mchezaji wa timu ya Los Angeles Lakers kobe Bryant ameshika nafasi ya tatu katika ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani(NBA)

 

11 years ago

Habarileo

Kobe waleta taharuki Dar es Salaam

HALI ya taharuki ilizuka jana katika eneo la Tabata Mawenzi jijini Dar es Salaam baada ya kobe wadogo zaidi ya 300 kuonekana katika maeneo hayo huku wakiwa hawajulikani walipotokea.

 

11 years ago

BBCSwahili

Kobe mwenda mbio akamatwa Marekani

Polisi wamefanikiwa kumshika tena Kobe mkubwa aliyetoroka baada ya kinachoelezewa kama harakati ndogo za kumkimbiza

 

9 years ago

Bongo5

Kobe Bryant atangaza kustaafu kikapu

Toronto Raptors v Los Angeles Lakers

Mchezaji nyota wa kikapu nchini Marekani, Kobe Bryant ametangaza kuwa atastaafu baada ya kumalizika kwa msimu unaoendelea.

Toronto Raptors v Los Angeles Lakers

Akiwa na Lakers, Kobe ameisaidia kuchukua ubingwa mara tano.

Ametangaza taarifa hiyo kupitia barua aliyopa kichwa cha habari ‘Dear Basketball.’

“This season is all I have left to give. My heart can take the pounding. My mind can handle the grind but my body knows it’s time to say goodbye. And that’s OK. I’m ready to let you go,” imesomeka sehemu ya barua hiyo.

Katika...

 

10 years ago

Habarileo

Kobe 250 wakamatwa Uwanja wa Ndege Z’bar

Kobe.KOBE wadogo 250, wamekamatwa katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume, wakiwa njiani kusafirishwa kwa njia ya magendo kwenda Malaysia.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani