Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kobe Bryant atangaza kustaafu kikapu

Toronto Raptors v Los Angeles Lakers

Mchezaji nyota wa kikapu nchini Marekani, Kobe Bryant ametangaza kuwa atastaafu baada ya kumalizika kwa msimu unaoendelea.

Toronto Raptors v Los Angeles Lakers

Akiwa na Lakers, Kobe ameisaidia kuchukua ubingwa mara tano.

Ametangaza taarifa hiyo kupitia barua aliyopa kichwa cha habari ‘Dear Basketball.’

“This season is all I have left to give. My heart can take the pounding. My mind can handle the grind but my body knows it’s time to say goodbye. And that’s OK. I’m ready to let you go,” imesomeka sehemu ya barua hiyo.

Katika...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Wachezaji chipukizi wa mpira wa kikapu wamkumbuka Kobe Bryant kama mtu aliyewapa hamasa

Wachezaji chipukizi wa mpira wa kikapu kutoka maeneo tofauti ya dunia wanatuambia ni kwa namna gani Kobe Bryant alikua muhimu kwao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobe Bryant amzidi Jordan NBA

Mchezaji wa timu ya Los Angeles Lakers kobe Bryant ameshika nafasi ya tatu katika ligi ya mpira wa kikapu nchini Marekani(NBA)

 

5 years ago

BBCSwahili

Maisha ya Kobe Bryant katika picha

Simulizi ya maisha ya aliyekuwa mchezaji nguli wa kikapu nchini Marekani katika picha, Kobe Bryant ambaye alifariki akiwa na miaka 41.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kobe Bryant aanza vibaya NBA

Mchezaji nguli wa mchezo wa kikapu Nchini Marekani Kobe Bryant amerejea vibaya katika kikosi chake cha LA Lakers.

 

5 years ago

Al Jazeera English

Los Angeles honours Kobe Bryant and daughter in public memorial

Los Angeles honours Kobe Bryant and daughter in public memorial  Al Jazeera EnglishKobe Bryant's widow sues helicopter firm over deaths  BBC NewsMichael Jordan speaks at public memorial for Kobe and Gigi Bryant  11Alive'The Notebook' Costume Designer Responds to Kobe Bryant Memorial Mention: "I Was Bawling"  Hollywood ReporterI'm a grieving mother like Vanessa Bryant and this is what helped me - Insider  INSIDERView Full coverage on Google News

 

5 years ago

BBCSwahili

Beyonce atoa rambirambi kwa Kobe Bryant na mwanawe Gigi

Mwanamuziki Beyonce knowles aimba wimbo wa Halo katika sherehe ya kumbukizi ya Mchezaji wa mpira wa vikapu Kobe Bryant

 

5 years ago

The Guardian

Tearful Michael Jordan pays tribute to 'brother' Kobe Bryant at memorial service

Tearful Michael Jordan pays tribute to 'brother' Kobe Bryant at memorial service  The GuardianKobe Bryant's widow sues helicopter firm over deaths  BBC NewsBeyonce sings XO for Kobe Bryant at memorial service  11Alive'The Notebook' Costume Designer Responds to Kobe Bryant Memorial Mention: "I Was Bawling"  Hollywood ReporterAlicia Keys Performs ‘Moonlight Sonata’ at Kobe Bryant Tribute  Rap-Up.comView Full coverage on Google News

 

9 years ago

Habarileo

Canavaro atangaza kustaafu soka

NAHODHA na beki wa kati wa timu ya Taifa Nadir Haroub ‘Canavaro’ amesema kuwa atastaafu kuichezea timu hiyo baada ya miaka mitatu licha ya maneno kuwa kiwango chake kimeshuka au amezeeka.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jason Dunford atangaza kustaafu

Mkenya Jason Dunford ametangaza rasmi kuwa atastaafu baada ya mashindano ya Jumuiya ya Madola yanayoendelea mjini Glascow

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani