Kobe Bryant atangaza kustaafu kikapu
Mchezaji nyota wa kikapu nchini Marekani, Kobe Bryant ametangaza kuwa atastaafu baada ya kumalizika kwa msimu unaoendelea.
Akiwa na Lakers, Kobe ameisaidia kuchukua ubingwa mara tano.
Ametangaza taarifa hiyo kupitia barua aliyopa kichwa cha habari ‘Dear Basketball.’
“This season is all I have left to give. My heart can take the pounding. My mind can handle the grind but my body knows it’s time to say goodbye. And that’s OK. I’m ready to let you go,” imesomeka sehemu ya barua hiyo.
Katika...
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Wachezaji chipukizi wa mpira wa kikapu wamkumbuka Kobe Bryant kama mtu aliyewapa hamasa
10 years ago
BBCSwahili15 Dec
Kobe Bryant amzidi Jordan NBA
5 years ago
BBCSwahili13 Feb
Maisha ya Kobe Bryant katika picha
10 years ago
BBCSwahili30 Dec
Kobe Bryant aanza vibaya NBA
5 years ago
Al Jazeera English25 Feb
Los Angeles honours Kobe Bryant and daughter in public memorial
5 years ago
BBCSwahili25 Feb
Beyonce atoa rambirambi kwa Kobe Bryant na mwanawe Gigi
5 years ago
The Guardian25 Feb
Tearful Michael Jordan pays tribute to 'brother' Kobe Bryant at memorial service
9 years ago
Habarileo07 Dec
Canavaro atangaza kustaafu soka
NAHODHA na beki wa kati wa timu ya Taifa Nadir Haroub ‘Canavaro’ amesema kuwa atastaafu kuichezea timu hiyo baada ya miaka mitatu licha ya maneno kuwa kiwango chake kimeshuka au amezeeka.
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Jason Dunford atangaza kustaafu