Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jason Dunford atangaza kustaafu

Mkenya Jason Dunford ametangaza rasmi kuwa atastaafu baada ya mashindano ya Jumuiya ya Madola yanayoendelea mjini Glascow

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Canavaro atangaza kustaafu soka

NAHODHA na beki wa kati wa timu ya Taifa Nadir Haroub ‘Canavaro’ amesema kuwa atastaafu kuichezea timu hiyo baada ya miaka mitatu licha ya maneno kuwa kiwango chake kimeshuka au amezeeka.

 

9 years ago

Bongo5

Kenny Rogers atangaza kustaafu muziki

Mwimbaji mkongwe wa muziki wa Country, Kenneth Ray Rogers anayefahamika zaidi kwa jina la jukwaani kama Kenny Rogers, amesema kuwa baadaa ya ziara yake ya dunia anayotarajia kuifanya hivi karibuni atastaafu muziki. Mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 77, ameyasema hayo Ijumaa ya Sept.25 katika kipindi cha ‘Today’. Rogers ameongeza kuwa ziara hiyo aliyoipa jina […]

 

9 years ago

Bongo5

Kobe Bryant atangaza kustaafu kikapu

Toronto Raptors v Los Angeles Lakers

Mchezaji nyota wa kikapu nchini Marekani, Kobe Bryant ametangaza kuwa atastaafu baada ya kumalizika kwa msimu unaoendelea.

Toronto Raptors v Los Angeles Lakers

Akiwa na Lakers, Kobe ameisaidia kuchukua ubingwa mara tano.

Ametangaza taarifa hiyo kupitia barua aliyopa kichwa cha habari ‘Dear Basketball.’

“This season is all I have left to give. My heart can take the pounding. My mind can handle the grind but my body knows it’s time to say goodbye. And that’s OK. I’m ready to let you go,” imesomeka sehemu ya barua hiyo.

Katika...

 

10 years ago

Africanjam.Com

RIO FERDINAND ATANGAZA RASMI KUSTAAFU SOKA


Nahodha wa zamani wa England, Rio Ferdinand, ameamua kustaafu Soka.
Ferdinand, mwenye Miaka 36, alimpoteza Mkewe Rebecca aliezaa nae Watoto Watatu hapo Mei Mosi Mwaka huu baada kuugua kansa na kufariki.
Katika maisha yake ya Soka aliichezea Timu ya Taifa ya England mara 81 na pia kuwa Nahodha wake.
Kwenye Klabu, Ferdinand alizichezea West Ham, Leeds United, Man United na kumalizia Msimu huu akiwa QPR ambayo imeshushwa Daraja toka Ligi Kuu England.
Akiwa na Man United, Ferdinand alitwaa Ubingwa...

 

9 years ago

Bongo5

Djibril Cisse atangaza kustaafu soka huku machozi yakimtoka

Mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa ambaye alikuwa haishi vituko na aliyewahi kuichezea klabu ya Liverpool ya Uingereza, Djibril Cisse, October 20 amefanya maamuzi ambayo wanasoka wengi huyafanya wanapoona muda umefika. Cisse ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 34. Uamuzi wake wa kustaafu soka haukuwa rahisi kwani staa huyo aliutangaza huku machozi […]

 

9 years ago

Bongo5

Don Jazzy atangaza kustaafu muziki mwaka 2016 kama msanii

don jazzy

Don Jazzy, producer na muimbaji kutoka Nigeria amesema kuwa mwaka 2016 ana mpango wa kuacha kuimba na kubaki kuwa producer.

don jazzy

Don Jazzy ambaye ni boss wa Mavin Records yenye wasanii kama Tiwa Savage, ametangaza uamuzi huo kupitia Twitter.

This artist work no easy jare. 2016 I'm retiring my artist side jor. 🙏🏽#OneLagosFiesta for now sha.

— DON JAZZY (@DONJAZZY) December 27, 2015

Aliendelea kuthibitisha alichokimaanisha kama kweli anaacha kuimba baada ya shabiki mmoja kumuuliza kama yuko serious,...

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI

Mkuu  wa  wilaya ya Mufindi Mboni Mhita katikati  akiwa katika picha ya pamoja na   mabingwa wa mashindano ya  kombe la Muungano Mufindi timu ya Mucoba Fc ,wa kwanza kulia ni mratibu wa mashindano hayo aliyestaafu rasmi Daud Yassin na mdau mkubwa wa  soka mkoa wa Iringa Feisal AsasMkuu wa wilaya ya  Mufindi Mboni Mhita  akikabidhi kombe kwa mabingwa  timu ya MUcoba FC

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani