Jason Dunford atangaza kustaafu
Mkenya Jason Dunford ametangaza rasmi kuwa atastaafu baada ya mashindano ya Jumuiya ya Madola yanayoendelea mjini Glascow
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo07 Dec
Canavaro atangaza kustaafu soka
NAHODHA na beki wa kati wa timu ya Taifa Nadir Haroub ‘Canavaro’ amesema kuwa atastaafu kuichezea timu hiyo baada ya miaka mitatu licha ya maneno kuwa kiwango chake kimeshuka au amezeeka.
9 years ago
Bongo528 Sep
Kenny Rogers atangaza kustaafu muziki
9 years ago
Bongo530 Nov
Kobe Bryant atangaza kustaafu kikapu
![Toronto Raptors v Los Angeles Lakers](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/kobe-bryant-has-a-great-philosophy-on-failure-300x194.jpg)
Mchezaji nyota wa kikapu nchini Marekani, Kobe Bryant ametangaza kuwa atastaafu baada ya kumalizika kwa msimu unaoendelea.
Akiwa na Lakers, Kobe ameisaidia kuchukua ubingwa mara tano.
Ametangaza taarifa hiyo kupitia barua aliyopa kichwa cha habari ‘Dear Basketball.’
“This season is all I have left to give. My heart can take the pounding. My mind can handle the grind but my body knows it’s time to say goodbye. And that’s OK. I’m ready to let you go,” imesomeka sehemu ya barua hiyo.
Katika...
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-dSMmg_KtyZA/VWspAPNM7TI/AAAAAAAAB1U/RnyiBjyXaVA/s72-c/RioFerdinand-Getty.jpg)
RIO FERDINAND ATANGAZA RASMI KUSTAAFU SOKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dSMmg_KtyZA/VWspAPNM7TI/AAAAAAAAB1U/RnyiBjyXaVA/s400/RioFerdinand-Getty.jpg)
Nahodha wa zamani wa England, Rio Ferdinand, ameamua kustaafu Soka.
Ferdinand, mwenye Miaka 36, alimpoteza Mkewe Rebecca aliezaa nae Watoto Watatu hapo Mei Mosi Mwaka huu baada kuugua kansa na kufariki.
Katika maisha yake ya Soka aliichezea Timu ya Taifa ya England mara 81 na pia kuwa Nahodha wake.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/30/14/006496B800000258-3103657-Ferdinand_celebrated_his_first_Premier_League_in_May_2003_in_his-m-76_1432990837709.jpg)
Akiwa na Man United, Ferdinand alitwaa Ubingwa...
9 years ago
Bongo521 Oct
Djibril Cisse atangaza kustaafu soka huku machozi yakimtoka
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/kOEtSv8opUw/default.jpg)
9 years ago
Bongo528 Dec
Don Jazzy atangaza kustaafu muziki mwaka 2016 kama msanii
![don jazzy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/don-jazzy-300x194.jpg)
Don Jazzy, producer na muimbaji kutoka Nigeria amesema kuwa mwaka 2016 ana mpango wa kuacha kuimba na kubaki kuwa producer.
Don Jazzy ambaye ni boss wa Mavin Records yenye wasanii kama Tiwa Savage, ametangaza uamuzi huo kupitia Twitter.
This artist work no easy jare. 2016 I'm retiring my artist side jor. #OneLagosFiesta for now sha.
— DON JAZZY (@DONJAZZY) December 27, 2015
Aliendelea kuthibitisha alichokimaanisha kama kweli anaacha kuimba baada ya shabiki mmoja kumuuliza kama yuko serious,...
10 years ago
MichuziTIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI