Kenny Rogers atangaza kustaafu muziki
Mwimbaji mkongwe wa muziki wa Country, Kenneth Ray Rogers anayefahamika zaidi kwa jina la jukwaani kama Kenny Rogers, amesema kuwa baadaa ya ziara yake ya dunia anayotarajia kuifanya hivi karibuni atastaafu muziki. Mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 77, ameyasema hayo Ijumaa ya Sept.25 katika kipindi cha ‘Today’. Rogers ameongeza kuwa ziara hiyo aliyoipa jina […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziMwanamuziki maarufu wa muziki wa Country Kenny Rogers afariki dunia akiwa na umri wa miaka 81
Mwakilishi wa familia yake amesema kuwa "amekufa kwa amani nyumbani kwa kifo cha kawaida".
Rogers alikua juu katika chati ya wanamuziki wa pop na country katika miaka ya 1970 na 1980 ,na alishinda tuzo tatu za -Grammy.
Akifahamika kwa sauti yake ya kipekee na yenye mvuto hasa katika nyimbo zake -The Gambler, Lucille na Coward Of The County, kazi yake ya muziki ilivuma kwa zaidi ya miongo...
9 years ago
Bongo528 Dec
Don Jazzy atangaza kustaafu muziki mwaka 2016 kama msanii
Don Jazzy, producer na muimbaji kutoka Nigeria amesema kuwa mwaka 2016 ana mpango wa kuacha kuimba na kubaki kuwa producer.
Don Jazzy ambaye ni boss wa Mavin Records yenye wasanii kama Tiwa Savage, ametangaza uamuzi huo kupitia Twitter.
This artist work no easy jare. 2016 I'm retiring my artist side jor. #OneLagosFiesta for now sha.
— DON JAZZY (@DONJAZZY) December 27, 2015
Aliendelea kuthibitisha alichokimaanisha kama kweli anaacha kuimba baada ya shabiki mmoja kumuuliza kama yuko serious,...
5 years ago
The FADER22 Mar
Country icon Kenny Rogers has died
5 years ago
Rolling Stone21 Mar
Kenny Rogers, Country Music’s ‘The Gambler,’ Dead at 81
5 years ago
The Guardian24 Mar
'Remarkably talented': the epic photography of Kenny Rogers
5 years ago
Global Voices21 Mar
‘The bars will spill over to songs of you': A Caribbean farewell to Kenny Rogers
5 years ago
Mirror Online21 Mar
Kenny Rogers dead: Music legend and Islands in the Stream singer passes away aged 81
11 years ago
BBCSwahili25 Jul
Jason Dunford atangaza kustaafu
9 years ago
Habarileo07 Dec
Canavaro atangaza kustaafu soka
NAHODHA na beki wa kati wa timu ya Taifa Nadir Haroub ‘Canavaro’ amesema kuwa atastaafu kuichezea timu hiyo baada ya miaka mitatu licha ya maneno kuwa kiwango chake kimeshuka au amezeeka.