RIO FERDINAND ATANGAZA RASMI KUSTAAFU SOKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dSMmg_KtyZA/VWspAPNM7TI/AAAAAAAAB1U/RnyiBjyXaVA/s72-c/RioFerdinand-Getty.jpg)
Nahodha wa zamani wa England, Rio Ferdinand, ameamua kustaafu Soka.
Ferdinand, mwenye Miaka 36, alimpoteza Mkewe Rebecca aliezaa nae Watoto Watatu hapo Mei Mosi Mwaka huu baada kuugua kansa na kufariki.
Katika maisha yake ya Soka aliichezea Timu ya Taifa ya England mara 81 na pia kuwa Nahodha wake.Kwenye Klabu, Ferdinand alizichezea West Ham, Leeds United, Man United na kumalizia Msimu huu akiwa QPR ambayo imeshushwa Daraja toka Ligi Kuu England.
Akiwa na Man United, Ferdinand alitwaa Ubingwa...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo07 Dec
Canavaro atangaza kustaafu soka
NAHODHA na beki wa kati wa timu ya Taifa Nadir Haroub ‘Canavaro’ amesema kuwa atastaafu kuichezea timu hiyo baada ya miaka mitatu licha ya maneno kuwa kiwango chake kimeshuka au amezeeka.
9 years ago
Bongo521 Oct
Djibril Cisse atangaza kustaafu soka huku machozi yakimtoka
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/kOEtSv8opUw/default.jpg)
10 years ago
MichuziTIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
10 years ago
BBCSwahili30 May
Rio Ferdinand astaafu
10 years ago
BBCSwahili02 May
Mke wa Rio Ferdinand aaga dunia
5 years ago
Sports Mole28 Mar
Rio Ferdinand warns Manchester United off Philippe Coutinho
5 years ago
Metro.Co.Uk21 Mar
Rio Ferdinand identifies the 'one thing' Jack Grealish has over James Maddison
5 years ago
Sportslens.Com28 Mar
Rio Ferdinand: Philippe Coutinho won’t improve Manchester United