Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RIO FERDINAND ATANGAZA RASMI KUSTAAFU SOKA


Nahodha wa zamani wa England, Rio Ferdinand, ameamua kustaafu Soka.
Ferdinand, mwenye Miaka 36, alimpoteza Mkewe Rebecca aliezaa nae Watoto Watatu hapo Mei Mosi Mwaka huu baada kuugua kansa na kufariki.
Katika maisha yake ya Soka aliichezea Timu ya Taifa ya England mara 81 na pia kuwa Nahodha wake.
Kwenye Klabu, Ferdinand alizichezea West Ham, Leeds United, Man United na kumalizia Msimu huu akiwa QPR ambayo imeshushwa Daraja toka Ligi Kuu England.
Akiwa na Man United, Ferdinand alitwaa Ubingwa...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Canavaro atangaza kustaafu soka

NAHODHA na beki wa kati wa timu ya Taifa Nadir Haroub ‘Canavaro’ amesema kuwa atastaafu kuichezea timu hiyo baada ya miaka mitatu licha ya maneno kuwa kiwango chake kimeshuka au amezeeka.

 

9 years ago

Bongo5

Djibril Cisse atangaza kustaafu soka huku machozi yakimtoka

Mshambuliaji wa zamani wa kimataifa wa Ufaransa ambaye alikuwa haishi vituko na aliyewahi kuichezea klabu ya Liverpool ya Uingereza, Djibril Cisse, October 20 amefanya maamuzi ambayo wanasoka wengi huyafanya wanapoona muda umefika. Cisse ametangaza kustaafu soka akiwa na umri wa miaka 34. Uamuzi wake wa kustaafu soka haukuwa rahisi kwani staa huyo aliutangaza huku machozi […]

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI

Mkuu  wa  wilaya ya Mufindi Mboni Mhita katikati  akiwa katika picha ya pamoja na   mabingwa wa mashindano ya  kombe la Muungano Mufindi timu ya Mucoba Fc ,wa kwanza kulia ni mratibu wa mashindano hayo aliyestaafu rasmi Daud Yassin na mdau mkubwa wa  soka mkoa wa Iringa Feisal AsasMkuu wa wilaya ya  Mufindi Mboni Mhita  akikabidhi kombe kwa mabingwa  timu ya MUcoba FC

BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI

 

10 years ago

BBCSwahili

Rio Ferdinand astaafu

Aliyekuwa mlinzi wa timu ya Uingereza na Klabu ya Manchester United, Rio Ferdinand amestaafu kucheza kandanda ya kulipwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mke wa Rio Ferdinand aaga dunia

Mke wa aliyekuwa nahodha wa kikosi cha Manchester United pamoja na timu ya Uingereza Rio Ferdinand amefariki kutokana na saratani.

 

5 years ago

Sports Mole

Rio Ferdinand warns Manchester United off Philippe Coutinho

Rio Ferdinand warns Manchester United off Philippe Coutinho  Sports Mole‘Can Spurs really land a Dybala or Coutinho?’ – Brazilian playmaker would be ‘world-class’ signing, says Bent  Goal.com‘Fantastic’ player reportedly prefers Arsenal to Tottenham Hotspur  HITC - Football, Gaming, Movies, TV, MusicRio Ferdinand: Philippe Coutinho won’t improve Manchester United  Sportslens.comEuro Paper Talk: Midfield star sounds out Arsenal; Man City eye veteran  Teamtalk.comView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Metro.Co.Uk

Rio Ferdinand identifies the 'one thing' Jack Grealish has over James Maddison

Rio Ferdinand identifies the 'one thing' Jack Grealish has over James Maddison  Metro.co.ukReport: Elneny convinces Trezeguet to leave Aston Villa, return to Turkey  KingFut‘He just edges it for me’ – Rio Ferdinand on preference between Man Utd targets Grealish, Maddison  CaughtOffsidePepe Reina hints at uncertain Aston Villa future  Sportslens.comVerdict on where Man United target Jack Grealish could fit in  FootballFanCast.comView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Sportslens.Com

Rio Ferdinand: Philippe Coutinho won’t improve Manchester United

Rio Ferdinand: Philippe Coutinho won’t improve Manchester United  Sportslens.com‘Can Spurs really land a Dybala or Coutinho?’ – Brazilian playmaker would be ‘world-class’ signing, says Bent  Goal.com‘Fantastic’ player reportedly prefers Arsenal to Tottenham Hotspur  HITC - Football, Gaming, Movies, TV, MusicEuro Paper Talk: Midfield star sounds out Arsenal; Man City eye veteran  Teamtalk.comFormer Arsenal midfielder Emmanuel Petit joins Jose Mourinho in criticising Tottenham’s ‘overweight’...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani