ALIYEKUWA KATIBU WA CHADEMA DK,SLAA ATANGAZA RASMI KUSTAAFU SIASA
![](http://img.youtube.com/vi/kOEtSv8opUw/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
VijimamboDK.SLAA ATANGAZA RASMI KUACHANA NA SIASA
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/gzMFPFoONNw/default.jpg)
9 years ago
MichuziDK.SLAA ATANGAZA RASMI KUACHANA NA SIASA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
Africanjam.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-dSMmg_KtyZA/VWspAPNM7TI/AAAAAAAAB1U/RnyiBjyXaVA/s72-c/RioFerdinand-Getty.jpg)
RIO FERDINAND ATANGAZA RASMI KUSTAAFU SOKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-dSMmg_KtyZA/VWspAPNM7TI/AAAAAAAAB1U/RnyiBjyXaVA/s400/RioFerdinand-Getty.jpg)
Nahodha wa zamani wa England, Rio Ferdinand, ameamua kustaafu Soka.
Ferdinand, mwenye Miaka 36, alimpoteza Mkewe Rebecca aliezaa nae Watoto Watatu hapo Mei Mosi Mwaka huu baada kuugua kansa na kufariki.
Katika maisha yake ya Soka aliichezea Timu ya Taifa ya England mara 81 na pia kuwa Nahodha wake.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/30/14/006496B800000258-3103657-Ferdinand_celebrated_his_first_Premier_League_in_May_2003_in_his-m-76_1432990837709.jpg)
Akiwa na Man United, Ferdinand alitwaa Ubingwa...
10 years ago
MichuziTIMU YA MUCOBA FC MABINGWA WA FAINALI YA KOMBE LA MUUNGANO MUFINDI 2015,MRATIBU ATANGAZA KUSTAAFU RASMI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
9 years ago
Mwananchi01 Sep
Dk. Slaa aibuka, atangaza kuachana na siasa za vyama
10 years ago
Dewji Blog08 Jul
Meya Jerry Slaa wa Ilala atangaza rasmi kugombea ubunge jimbo la Ukonga
![](http://2.bp.blogspot.com/-Wfm8dO1_50Q/VZo8XgpAZ-I/AAAAAAAAe3Q/QPZnlFKfAHM/s640/p11.jpg)
Meya wa Ilala, Jerry Slaa akifuatilia kwa karibu burudani zilizokuwa zinatolewa na vikundi mbalimbali katika mkutano huo. Pamoja nae ni Mbunge wa Afrika Mashariki na Mjumbe wa NEC wa CCM,Alhaji Adam Kimbisa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-MiegnJV85NU/VZo8YxKfvHI/AAAAAAAAe3Y/1ald8MaJYj4/s640/s1.jpg)
Diwani wa kata ya Gongo la Mboto na Meya wa Manispaa ya Ilala,Jerry Slaa akihutubia wananchi katika uwanja wa shule ya msingi kitunda mwishoni mwa wiki ambapo alieleza mafanikio yaliyopatikana wakati wa kipindi chake cha uongozi na kukamilisha ahadi mbalimbali alizokuwa...
5 years ago
CCM BlogCCM IMEFIKA MAHAKAMANI KUMLIPIA DENI ALIYEKUWA KATIBU WA CHADEMA
Akizungumza katika viwanja vya mahakama akiwa ameambatana na wanachama wengine wa chama hicho pamoja na mke wa mfungwa huyo , Polepole amesema amefika kufuata utaratibu ili wamtoe Mashinji.
"Tunaishukuru CCM Mkoa wa Dar es Salaam, wametusaidia tangu jana mpaka saa 4:00...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-r8FmsELRVAg/Xkvf2Q89LzI/AAAAAAALd4o/yg56ItPY5W4AM7_lC8Ot9pfY2ygPdVuJwCLcBGAsYHQ/s72-c/0.jpg)
ALIYEKUWA KATIBU MKUU CHADEMA DK.MASHINJI ATUA CCM ...ATOA SABABU
Na Said Mwishehe,Michuzi Blogu ya jamii
AMETUA CCM!Hivyo ndivyo unavyoweza kuelezea baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Dk.Vicent Mashinji kutangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi(CCM).
DK.Mashinji aliyejiondoa Chadema Desemba mwaka 1919 amefikia uamuzi wa kujiunga CCM leo Februari 18, mwaka 2020 ambapo akitangaza uamuzi huo akiwa Ofisi ndogo za CCM zilizopo Lumumba jijini Dar es Salaam akiwa amepokelewa na Katibu wa Itikadi na Uenezi Humphrey...