Dk. Slaa aibuka, atangaza kuachana na siasa za vyama
Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Dk. Wilbroad Slaa amesema leo kuwa amejiondoa kwenye siasa na hatajiunga na chama kingine chochote cha siasa ila ataendelea kuwatumikia Watanzania kwa namna yoyote.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboDK.SLAA ATANGAZA RASMI KUACHANA NA SIASA
10 years ago
Michuzi
10 years ago
MichuziDK.SLAA ATANGAZA RASMI KUACHANA NA SIASA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
10 years ago
GPL
DK. SLAA: SIKUWA LIKIZO, NILIAMUA KUACHANA NA SIASA
DK. Wilbroad Slaa. KATIBU Mkuu wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), DK. Wilbroad Slaa amesema hakuwa likizo ila aliamua kuachana na siasa baada ya kutokubaliana na maamuzi ya chama chake yaliyotokea Julai 28,2015 saa 3 usiku. Wanahabari wa Kampuni ya Global Publishers wakifuatilia hotuba ya DK. Slaa leo katika Hoteli ya Serena jijini Dar. -Asema lazima ajitokeze kusema na kuweka ukweli hadharani -Asema sina tabia ya...
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi
10 years ago
VijimamboMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATAJA VYAMA VYA SIASA VYENYE USAJILI WA KUDUMU AMBAVYO VINASTAHILI KUSHIRIKI UCHAGUZI MKUU
5 years ago
Michuzi
10 years ago
Michuzi
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania