Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Urusi yasema Erdogan ananunua mafuta ya IS

Wizara ya ulinzi ya Urusi imeituhumu familia ya Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan kwa kuhusika katika biashara ya mafuta na kundi la Islamic State.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema huenda ikashambulia IS

Rais wa Urusi Vladimir Putin amesema taifa hilo linaweza likashambulia wapiganaji wa Islamic State iwapo hilo litaidhinishwa na Umoja wa Mataifa.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yasema ilizuia ndege ya Urusi

Uturuki imesema ilitumia ndege za kijeshi aina ya F-16 kuzuia ndege ya kijeshi ya Urusi kupaa anga yake bila idhini Jumamosi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema yapigwa vita vya maneno

Urusi yalalamika kuwa mataifa ya Magharibi yaishambulia kwa maneno

 

5 years ago

BBCSwahili

Marekani yasema Urusi inawafadhili mamluki Libya

Jeshi la Marekani limeishutumu Urusi kwa kutuma ndege za kijeshi nchini Libya kuunga mkono mamluki wa Urusi nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uturuki yasema iko tayari kufanya kazi na Urusi

Waziri mkuu wa Uturuki Ahmet Davutoglu amesema kuwa Ankara itafanya kazi na Urusi pamoja na washirika wake ili kuzima wasiwasi baada ya Uturuki kuidungua ndege ya Urusi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tayyip Erdogan kuapishwa

Rais mteule wa Uturuki Tayyip Erdogan,anakaribia kuapishwa kufuatia ushindi wa kishindo alioupata katika historia ya nchi hiyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Erdogan ataka kuwepo utulivu Uturuki

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, ametoa wito kwa vyama vyote kuhakikisha kuwa kuna utulivu kote nchini humo.

 

10 years ago

Mwananchi

Uturuki: Ni kweli Erdogan ni Ataturk mpya?

Katika miaka ya 60, Uturuki (ambayo asilimia tatu ya ardhi yake iko barani Ulaya na iliyobakia barani Asia) ilipewa jina la, ‘Mgonjwa wa Ulaya’.

 

11 years ago

BBCSwahili

''AKP imeshinda kura Uturuki'' Erdogan

Waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametangaza kuwa chama chake cha AKP kimeshinda uchaguzi wa mabaraza .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani