Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


''AKP imeshinda kura Uturuki'' Erdogan

Waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametangaza kuwa chama chake cha AKP kimeshinda uchaguzi wa mabaraza .

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

Chama cha AKP chapoteza ushawishi Uturuki


Kura zikihesabiwa Uturuki

Huku kura nyingi zikiwa zishahesabiwa katika uchaguzi mkuu wa Uturuki, chama tawala cha AKP kinaonekana kupoteza idadi kubwa ya wabunge wake.

Matokeo yanaonyesha chama hicho kimeshinda kwa asilimia arobaini na mbili ya kura, huku kikiwa na upungufu wa viti kumi na nne kuweza kuunda serikali.

Huku kile kinachoungwa mkono na wakurd cha HDP kikivuka asilimia kumi kwa kupata viti takriban themanini hivyo kuweza kuingia bungeni kwa mara ya kwanza.

Iwapo itathibitishwa,...

 

10 years ago

Mwananchi

Uturuki: Ni kweli Erdogan ni Ataturk mpya?

Katika miaka ya 60, Uturuki (ambayo asilimia tatu ya ardhi yake iko barani Ulaya na iliyobakia barani Asia) ilipewa jina la, ‘Mgonjwa wa Ulaya’.

 

10 years ago

BBCSwahili

Erdogan ataka kuwepo utulivu Uturuki

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, ametoa wito kwa vyama vyote kuhakikisha kuwa kuna utulivu kote nchini humo.

 

9 years ago

TheCitizen

Turkish lira soars after AKP election win

The Turkish lira and stocks soared yesterday after President Recep Tayyip Erdogan’s Justice and Development Party (AKP) was returned to power in a surprise weekend election victory, but analysts warned the rebound may be shortlived.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tayyip Erdogan kuapishwa

Rais mteule wa Uturuki Tayyip Erdogan,anakaribia kuapishwa kufuatia ushindi wa kishindo alioupata katika historia ya nchi hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema Erdogan ananunua mafuta ya IS

Wizara ya ulinzi ya Urusi imeituhumu familia ya Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan kwa kuhusika katika biashara ya mafuta na kundi la Islamic State.

 

10 years ago

Vijimambo

Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar.…


Mshambuliaji wa Simba, Danny Sserunkuma.
Mshambuliaji wa Simba, Emanuel Okwi akishangilia katika moja ya mechi ya Ligi Kuu Bara.
Timu ya Simba SC, imeshinda bao 2-1 dhidi ya JKT Ruvu leo Uwanja wa Taifa, Dar. Sasa ina pointi 16.Mfungaji kwa upande wa Simba ni Danny Sserunkuma kipindi cha kwanza na kipindi cha pili.

 

10 years ago

Dewji Blog

Bonanza la Masauni Cup lafana Viwanja vya Mnazi Mmoja, Kilimani na Mkunazini imeshinda 2—0

Mgeni rasmi wa Mchezo wa Bonaza la Masauni Cup Khamisi Mbeto akikagua timu ya Mkunazini iliotowa kipigo kwa timu ya Kilimani mabao 2–0. mchezo uliofanyika uwanja wa malindi mnazi mmoja

Mgeni rasmi wa Mchezo wa Bonaza la Masauni Cup Khamisi Mbeto akikagua timu ya Kilimani  iliyokubali kipigo cha mabao 2–0.wakati wa mchezo Bonaza unaoendelea katika viwanja vya malindi mnazi mmoja usiku.

Kikosi cha timu ya Kilimani kinachoshiriki michezo ya Bonaza Masauni Cup inayofanyika katika viwanja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani