Tayyip Erdogan kuapishwa
Rais mteule wa Uturuki Tayyip Erdogan,anakaribia kuapishwa kufuatia ushindi wa kishindo alioupata katika historia ya nchi hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Uturuki: Ni kweli Erdogan ni Ataturk mpya?
10 years ago
BBCSwahili08 Jun
Erdogan ataka kuwepo utulivu Uturuki
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Urusi yasema Erdogan ananunua mafuta ya IS
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
''AKP imeshinda kura Uturuki'' Erdogan
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
9 years ago
Habarileo05 Nov
Magufuli kuapishwa leo
RAIS mteule, Dk John Magufuli anatarajiwa kuapishwa rasmi leo kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika sherehe zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru uliopo jijini Dar es Salaam.
9 years ago
Habarileo20 Nov
Majaliwa kuapishwa leo
WAZIRI Mkuu wa Serikali ya Rais John Magufuli ni Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa (55). Majaliwa aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) akishughulikia Elimu katika Serikali ya Awamu ya Nne, hakuwa miongoni mwa waliokuwa wakitajwa sana na vyombo vya habari na hata wabunge kwamba wangeteuliwa katika nafasi hiyo kubwa.
9 years ago
Mtanzania11 Nov
Maalim Seif: Nasubiri kuapishwa
*EU yataka mshindi Zanzibar atangazwe
Na Mwandishi Wetu, Pemba
MGOMBEA urais wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad, amewata wananchi wa Kisiwa cha Pemba kutembea kifua mbele, kwani anachosubiri ni muda tu ili aweze kuapishwa kuwa rais wa awamu ya nane wa Zanzibar.
Kauli hiyo aliitoa jana alipokuwa akihutubia katika mkutano ulioandaliwa kwa ajili ya viongozi wa wilaya, majimbo na matawi kisiwani Pemba uliofanyika wilayani Chakechake.
Maalim Seif ambaye pia ni Katibu Mkuu wa...
10 years ago
BBCSwahili31 Dec
Rais mpya wa Tunisia kuapishwa