Magufuli kuapishwa leo
RAIS mteule, Dk John Magufuli anatarajiwa kuapishwa rasmi leo kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika sherehe zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru uliopo jijini Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGRty6pSv7bb1n-NdJOTCkyWYJDj9BFjcdV0sU-MHFx3*-rk-mWbZGjcKEh6oQrBSe5OY-AN6ENWkAtHo2VfgStq/18795_1018344841509273_755717327467522337_n.jpg?width=750)
RAIS MTEULE JOHN POMBE MAGUFULI KUAPISHWA LEO
9 years ago
Habarileo06 Nov
Maelfu wapamba sherehe kuapishwa Magufuli
SHEREHE za kumwapisha Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano wa Tanzania, jana zilifana ambapo pamoja na wananchi wengi kujitokeza na kufurika kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, pia marais mbalimbali wakiwemo wote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, walihudhuria sherehe hizo.
9 years ago
Mtanzania04 Nov
Polisi waimarisha ulinzi kuapishwa Dk. Magufuli
VERONICA ROMWALD NA GODFREY MBANILE (GPC), DAR ES SALAAM
JESHI la Polisi limesema limeimarisha ulinzi kesho wakati wa kuapishwa Rais mteule wa awamu ya tano, Dk. John Magufuli.
Sherehe za kuapishwa Dk. Mgufuli zitafanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam ambapo viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya nchi wanatarajiwa kuhudhuria.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamishna wa Oparesheni Maalumu wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja, alisema ni marufuku kwa wananchi kushiriki...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/TB-JOSHUA-1.jpg)
T.B JOSHUA ATUA DAR KUSHUHUDIA KUAPISHWA DK. MAGUFULI
9 years ago
Mwananchi04 Nov
TB Joshua, marais wanane Afrika kushuhudia kuapishwa Magufuli
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Mazoezi ya kuapishwa kuwa Rais Dk Magufuli yapamba moto Dar
Kibanda cha kitakachotumika wakati wa kuapishwa kwa Rais Mteule, Dk John Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kesho kutwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Askari wa Jeshi la Wananchi akiigiza kama Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange na mwingine akiigiza kama Rais anayemaliza muda wake, Jakaya Kikwete wakati wa mazoezi ya sherehe za kuapishwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli...
9 years ago
Habarileo20 Nov
Majaliwa kuapishwa leo
WAZIRI Mkuu wa Serikali ya Rais John Magufuli ni Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa (55). Majaliwa aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) akishughulikia Elimu katika Serikali ya Awamu ya Nne, hakuwa miongoni mwa waliokuwa wakitajwa sana na vyombo vya habari na hata wabunge kwamba wangeteuliwa katika nafasi hiyo kubwa.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/01.jpg)
MAZOEZI YA KUAPISHWA RAIS MTEULE DK. MAGUFULI YAPAMBA MOTO DAR
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-DddWpOV-h2k/Vjqrla8CBcI/AAAAAAAAXCw/hmh6UJI0dmc/s72-c/8-chadema.jpg)
TAARIFA YA UKAWA KUTOSHIRIKI SHUGHULI YA KUAPISHWA KWA DR JOHN POMBE MAGUFULI