Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Magufuli kuapishwa leo

RAIS mteule, Dk John Magufuli anatarajiwa kuapishwa rasmi leo kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika sherehe zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru uliopo jijini Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

RAIS MTEULE JOHN POMBE MAGUFULI KUAPISHWA LEO

Rais mteule, Dkt. John Magufuli anatarajiwa kuapishwa rasmi leo kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. RAIS mteule, Dkt. John Magufuli anatarajiwa kuapishwa rasmi leo kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika sherehe zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru uliopo jijini Dar es Salaam. Kwa mara nyingine, Tanzania itakuwa inabadilisha uongozi wake wa juu kwa amani na utulivu tangu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius...

 

9 years ago

Habarileo

Maelfu wapamba sherehe kuapishwa Magufuli

SHEREHE za kumwapisha Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano wa Tanzania, jana zilifana ambapo pamoja na wananchi wengi kujitokeza na kufurika kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, pia marais mbalimbali wakiwemo wote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, walihudhuria sherehe hizo.

 

9 years ago

Mtanzania

Polisi waimarisha ulinzi kuapishwa Dk. Magufuli

magulVERONICA ROMWALD NA GODFREY MBANILE (GPC), DAR ES SALAAM

JESHI la Polisi limesema limeimarisha ulinzi kesho wakati wa kuapishwa Rais mteule wa awamu ya tano, Dk. John Magufuli.

Sherehe za kuapishwa Dk. Mgufuli zitafanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam  ambapo  viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya nchi wanatarajiwa kuhudhuria.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Kamishna wa Oparesheni Maalumu wa Jeshi la Polisi, Paul Chagonja,  alisema ni marufuku kwa wananchi kushiriki...

 

9 years ago

GPL

T.B JOSHUA ATUA DAR KUSHUHUDIA KUAPISHWA DK. MAGUFULI

Rais mteule wa awamu ya tano, Dkt John Pombe Joseph Magufuli alimpokea Mhubiri wa kimataifa kutoka Nigeria TB Joshua Uwanja wa ndege Dar jioni hii. Mhubiri huyo aliyekuja na watu 40 kwa ndege yake mwenyewe, amekuja kushuhudia Dkt Magufuli akiapishwa. Rais mteule wa awamu ya tano, Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiwa na mkewe Janeth Magufuli wakibadilishana mawazo na Mhubiri wa kimataifa kutoka Nigeria TB Joshua mara baada ya...

 

9 years ago

Mwananchi

TB Joshua, marais wanane Afrika kushuhudia kuapishwa Magufuli

Marais wanane wa Afrika wamethibitisha kuhudhuria sherehe ya kuapishwa kwa Rais mteule, Dk John Magufuli itakayofanyika kesho katika Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Dewji Blog

Mazoezi ya kuapishwa kuwa Rais Dk Magufuli yapamba moto Dar

 Kibanda cha kitakachotumika wakati wa kuapishwa kwa Rais Mteule, Dk John Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kesho kutwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).

02

 Askari wa Jeshi la Wananchi akiigiza kama Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange na mwingine akiigiza kama Rais anayemaliza muda wake, Jakaya Kikwete wakati wa mazoezi ya sherehe za kuapishwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli...

 

9 years ago

Habarileo

Majaliwa kuapishwa leo

WAZIRI Mkuu wa Serikali ya Rais John Magufuli ni Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa (55). Majaliwa aliyekuwa Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) akishughulikia Elimu katika Serikali ya Awamu ya Nne, hakuwa miongoni mwa waliokuwa wakitajwa sana na vyombo vya habari na hata wabunge kwamba wangeteuliwa katika nafasi hiyo kubwa.

 

9 years ago

GPL

MAZOEZI YA KUAPISHWA RAIS MTEULE DK. MAGUFULI YAPAMBA MOTO DAR‏

Kibanda cha kitakachotumika wakati wa kuapishwa kwa Rais Mteule, Dk John Magufuli kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kesho kutwa kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam. Askari wa Jeshi la Wananchi akiigiza kama Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Davis Mwamunyange na mwingine akiigiza kama Rais anayemaliza muda wake, Jakaya Kikwete wakati wa mazoezi ya sherehe za kuapishwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

TAARIFA YA UKAWA KUTOSHIRIKI SHUGHULI YA KUAPISHWA KWA DR JOHN POMBE MAGUFULI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Freeman Mbowe amesema kuwa hawatashiriki shughuli ya kuapishwa kwa Dk. John Pombe Magufuli inayotarajiwa kufanyika Alhamis, Novemba 5, 2015.Kauli hiyo ya Mwenyekiti Mbowe aliyoitoa leo, imekuja wakati kukiwa bado kuna sintofahamu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani