Maelfu wapamba sherehe kuapishwa Magufuli
SHEREHE za kumwapisha Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano wa Tanzania, jana zilifana ambapo pamoja na wananchi wengi kujitokeza na kufurika kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam, pia marais mbalimbali wakiwemo wote wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, walihudhuria sherehe hizo.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziMAANDALIZI YA SHEREHE ZA KUAPISHWA RAIS MPYA DK. MAGUFULI YAPAMBA MOTO JIJINI DAR
10 years ago
VijimamboSHEREHE YA KUAPISHWA RAIS MPYA WA MSUMBIJI
10 years ago
Mwananchi20 Jul
Wavuvi wapamba mapokezi ya Dk Magufuli Sengerema
10 years ago
Dewji Blog26 Jan
Balozi Seif Iddi ahudhuria sherehe za kuapishwa kwa Rais mpya Zambia
Mtoto wa Kizambia Anna Samwel Munata akimkabidhi ua Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ikiwa ishara ya makaribisho kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa eneth Kaunda alipohudhuria kuapishwa kwa Rais Mpya wa Nchi hiyo Bwana Edgar Chagwa Lungu.Kulia ni Waziri wa Kazi na huduma za Kijamii wa Serikali ya Jamuhuri ya Zambia Bwana Fackson Shamenda.
Balozi Seif akisalimiana na Maafisa wa Ubalozi wa Tanzania waliopo Lusaka Zanzbia kwenye uwanja wa ndege wa Keneth Kaunda...
5 years ago
MichuziSAMIA KUONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA SHEREHE ZA KUAPISHWA KWA RAIS MTEULE WA BURUNDI
![](https://1.bp.blogspot.com/-1QVCI14ON2o/Xun2S0DpRlI/AAAAAAALuN8/pARAbTTXRuIAwZUjLJ5EI9P29XHTwJiHQCLcBGAsYHQ/s640/01.png)
![](https://1.bp.blogspot.com/-6k7qwmTfgWY/Xun2OVW3vAI/AAAAAAALuN4/4mvpZHjfeH82VqTFkup-AVo4SVS6OopJwCLcBGAsYHQ/s640/02.png)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cpo-nhorHmE/Vk76Cn_nGsI/AAAAAAAIG_o/2YmVnVvvcaA/s72-c/1.jpg)
SHEREHE ZA KUAPISHWA WAZIRI MKUU WA AWAMU YA TANO VIWANJA VYA IKULU NDOGO CHAMWINO MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-cpo-nhorHmE/Vk76Cn_nGsI/AAAAAAAIG_o/2YmVnVvvcaA/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-nmlnR2lRd88/Vk76CxovprI/AAAAAAAIG_w/7ouiXrtlodU/s640/2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tG73nj0XwWU/Vk76DL_w-TI/AAAAAAAIG_s/T0sff1xpWec/s640/3.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9PaAgiwt2jc/VLa86lf8RyI/AAAAAAAG9Xo/m3EhPKtpqKU/s72-c/unnamed%2B(13).jpg)
JK awasili maputo usiku huu kuhudhuria sherehe za kuapishwa Rais Mpya wa Msumbiji Mhe.Filipe Nyusi kesho
![](http://2.bp.blogspot.com/-9PaAgiwt2jc/VLa86lf8RyI/AAAAAAAG9Xo/m3EhPKtpqKU/s1600/unnamed%2B(13).jpg)
9 years ago
Habarileo05 Nov
Magufuli kuapishwa leo
RAIS mteule, Dk John Magufuli anatarajiwa kuapishwa rasmi leo kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika sherehe zitakazofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru uliopo jijini Dar es Salaam.
10 years ago
Vijimambo14 Jan
Rais Kikwete awasili nchini Msumbiji kuhudhuria Sherehe za kuapishwa Rais Nyusi