TAARIFA YA UKAWA KUTOSHIRIKI SHUGHULI YA KUAPISHWA KWA DR JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://3.bp.blogspot.com/-DddWpOV-h2k/Vjqrla8CBcI/AAAAAAAAXCw/hmh6UJI0dmc/s72-c/8-chadema.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) ambaye pia ni Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), Freeman Mbowe amesema kuwa hawatashiriki shughuli ya kuapishwa kwa Dk. John Pombe Magufuli inayotarajiwa kufanyika Alhamis, Novemba 5, 2015.Kauli hiyo ya Mwenyekiti Mbowe aliyoitoa leo, imekuja wakati kukiwa bado kuna sintofahamu
CHADEMA Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-BGclK02VcsI/VjvFdN8DBqI/AAAAAAAIEdk/EUh70hhjlaE/s72-c/j1.jpg)
HAFLA YA MCHAPALO (COCKTAIL PARTY) WA KUSHEREHEHEA KUAPISHWA KWA RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-BGclK02VcsI/VjvFdN8DBqI/AAAAAAAIEdk/EUh70hhjlaE/s640/j1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fVR6X_9naFk/VjvG8BgfcvI/AAAAAAAIEfE/OwnOs2yzKFU/s640/j2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0wCTSx1Bo-E/VjvILEfyaHI/AAAAAAAIEgg/8wDoy7L5xkw/s640/j3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PiJUG1k8eHU/VjvJBBS2NaI/AAAAAAAIEh4/iPUigMuECb8/s640/j4.jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/cDEmeB8bWGRty6pSv7bb1n-NdJOTCkyWYJDj9BFjcdV0sU-MHFx3*-rk-mWbZGjcKEh6oQrBSe5OY-AN6ENWkAtHo2VfgStq/18795_1018344841509273_755717327467522337_n.jpg?width=750)
RAIS MTEULE JOHN POMBE MAGUFULI KUAPISHWA LEO
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-YLJaIL1X1DE/Vit8I_kEZLI/AAAAAAADBa0/cCGud-DAZQQ/s72-c/_MG_9616.jpg)
DKT JAKAYA KIKWETE NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI WAWASILI JIJINI MWANZA MCHANA HUU KUHITIMISHA SHUGHULI ZA KAMPENI
![](http://1.bp.blogspot.com/-YLJaIL1X1DE/Vit8I_kEZLI/AAAAAAADBa0/cCGud-DAZQQ/s640/_MG_9616.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xjg1B9W2y4U/Vit8VmFR28I/AAAAAAADBa8/15bUI61vpHw/s640/_MG_9625.jpg)
10 years ago
Raia Mwema29 Jul
9 years ago
Michuzi02 Jan
9 years ago
Michuzi12 Nov
BARUA YA WAZI KWA RAIS DR. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA MDAU WA USALAMA BARABARAN
![](https://scontent-waw1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11215818_1645853955683038_3394542812123695413_n.jpg?oh=954015a4699df4509dcc0343f155dbec&oe=56EE4B6D)
Nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.
Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na matukio...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Barua ya wazi kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli kutoka kwa mdau wa Usalama Barabarani
Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.
Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR6XBaoLfgLgRstqWzf38Z11yqo7cF-hvyifYsGP5nDSCg76JlFg4vZe7ZhEFzDdmtXgv5b6sstikYWmeuShHVFa/JOHN.png)
MJUE KWA UNDANI MGOMBEA URAIS WA CCM, MHE. JOHN POMBE MAGUFULI
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-NKG6xhPuL6U/VezBQZr4gAI/AAAAAAAH2wQ/MgQQS9b_0as/s72-c/m10.jpg)
JK NA DKT JOHN POMBE MAGUFULI WAUTEKA MJI WA MOROGORO KWA MKUTANO WA KIHISTORIA WA KAMPENI
![](http://2.bp.blogspot.com/-NKG6xhPuL6U/VezBQZr4gAI/AAAAAAAH2wQ/MgQQS9b_0as/s640/m10.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-5roUNGwxk2g/VezBQoeRcAI/AAAAAAAH2wU/jdg6jOyRH5Q/s640/m11.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-067SNcZo8xY/VezBQMeFdGI/AAAAAAAH2wY/vgJxLzlbEJM/s640/m1.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10