BARUA YA WAZI KWA RAIS DR. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA MDAU WA USALAMA BARABARAN
Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli,
Nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.
Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na matukio...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Barua ya wazi kwa Rais Dr. John Pombe Magufuli kutoka kwa mdau wa Usalama Barabarani
Ndugu Rais wa Jamhuri ya Muungano, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, nachukua fursa hii kukupongeza kwa kuchaguliwa kuliongoza taifa letu la Tanzania kama Rais wa awamu ya tano.
Nianze barua yangu kwa kugusia changamoto ya ajali nchini. Ajali limekuwa ni tatizo sugu licha ya juhudi mbalimbali zinazofanywa na wadau mbalimbali kutoka taasisi binafsi na serikali. Ni hivi karibuni ripoti ya mwenendo wa ajali za barabarani imetolewa na Tanzania ikishika nafasi ya tano kwa kuwa na...
9 years ago
Michuzi02 Jan
9 years ago
Michuzi24 Dec
RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA UTEUZI WA MAWAZIRI KUJAZA NAFASI ZILIZOKUWA WAZI
![pombe](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/12/pombe1.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-kTugum0Lk4w/VjMoe6HeKGI/AAAAAAAIDdU/PVlkQr8icJs/s72-c/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
PONGEZI KWA DKT. JOHN POMBE MAGUFULI KUTOKA KWA WANACHAMA WA CCM,TAWI LA CCM CHINA
![](http://1.bp.blogspot.com/-kTugum0Lk4w/VjMoe6HeKGI/AAAAAAAIDdU/PVlkQr8icJs/s640/unnamed%2B%252824%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s72-c/zzz.png)
Rais wa Ireland Mhe. Michael D. Higgins ampongeza Dkt John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s640/zzz.png)
SALAMU ZA PONGEZI
Rais wa Ireland, Mheshimiwa Michael D. Higgins amemtumia Salamu za Pongezi Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika Salamu zake hizo, Rais Higgins amesema Ireland na Tanzania zimekuwa na uhusiano mzuri na wa kirafiki kwa miaka mingi, hivyo ana matarajio kwamba katika kipindi cha uongozi wa Rais Magufuli, uhusiano huo utaimarishwa zaidi.
“Ireland na Tanzania zimekuwa na mipango ya maendeleo na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s72-c/New%2BPicture.png)
RAIS KIKWETE ATOA SALAMU ZA PONGEZI KWA RAIS MTEULE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANANIA,JOHN POMBE MAGUFULI
![](http://2.bp.blogspot.com/-iQfpjMn7KaY/Vjnr3r_ovBI/AAAAAAAIEFY/jQlDstxroWc/s1600/New%2BPicture.png)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISalamu za pongezi kwa Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli zimeanza kumiminika nchini, za kwanza zikiwa zimetumwa na Rais wa Rwanda, Mheshimiwa Paul Kagame na Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kiarabu ya Saharawi Mheshimiwa Mohammed Abdelaziz.
Katika salamu zake kwa Rais Mteule Magufuli, Rais wa Rwanda Mheshimiwa Kagame amesema: “Kufuatia...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-J4rW54EsyWA/VknHYluJalI/AAAAAAAIGNo/kVV72uZL9fk/s72-c/New%2BPicture.png)
MALKIA ELIZABETH II WA UINGEREZA ATUMA SALAMU ZA PONGEZA KWA RAIS JOHN POMBE JOSEF MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-J4rW54EsyWA/VknHYluJalI/AAAAAAAIGNo/kVV72uZL9fk/s1600/New%2BPicture.png)
SALAMU ZA PONGEZI RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amepokea salamu za pongezi kutoka kwa Malkia Elizabeth II wa Uingereza kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Katika salamu hizo Malkia wa Uingereza amemueleza Mhe. Rais Dkt. Magufuli kuwa “Natumaini kuwa mahusiano baina ya nchi hizi mbili ambazo ni...
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Rais Dk. John Pombe Magufuli alipotinga ofisini kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa jana!
![IMGS3004](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMGS3004.jpg)
![IMGS3000](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMGS3000.jpg)
![IMGS3012](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/11/IMGS3012.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-BGclK02VcsI/VjvFdN8DBqI/AAAAAAAIEdk/EUh70hhjlaE/s72-c/j1.jpg)
HAFLA YA MCHAPALO (COCKTAIL PARTY) WA KUSHEREHEHEA KUAPISHWA KWA RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI
![](http://1.bp.blogspot.com/-BGclK02VcsI/VjvFdN8DBqI/AAAAAAAIEdk/EUh70hhjlaE/s640/j1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fVR6X_9naFk/VjvG8BgfcvI/AAAAAAAIEfE/OwnOs2yzKFU/s640/j2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-0wCTSx1Bo-E/VjvILEfyaHI/AAAAAAAIEgg/8wDoy7L5xkw/s640/j3.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PiJUG1k8eHU/VjvJBBS2NaI/AAAAAAAIEh4/iPUigMuECb8/s640/j4.jpg)
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10