Rais wa Ireland Mhe. Michael D. Higgins ampongeza Dkt John Pombe Magufuli kwa kuchaguliwa kuwa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-eII0G2S8hk0/VlLagPk1YtI/AAAAAAAIH78/UdN7xHkFf6A/s72-c/zzz.png)
SALAMU ZA PONGEZI
Rais wa Ireland, Mheshimiwa Michael D. Higgins amemtumia Salamu za Pongezi Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Katika Salamu zake hizo, Rais Higgins amesema Ireland na Tanzania zimekuwa na uhusiano mzuri na wa kirafiki kwa miaka mingi, hivyo ana matarajio kwamba katika kipindi cha uongozi wa Rais Magufuli, uhusiano huo utaimarishwa zaidi.
“Ireland na Tanzania zimekuwa na mipango ya maendeleo na...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog30 Oct
Rais Kikwete ampongeza Rais Mteule Dkt. John Pombe Magufuli, Mama Anna Mghwira wa ACT Wazalendo atuma salamu za pongezi
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang’anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jana jioni Oktoba 29, 2015.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimsomea sms za pongezi kutoka kila...
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-0ngl5v88py0/VjJEwY886JI/AAAAAAABjd8/tYUYkoV09os/s72-c/j1.jpg)
RAIS KIKWETE AMPONGEZA RAIS MTEULE DKT JOHN POMBE MAGUFULI, MAMA ANNA MGHWIRA WA ACT WAZALENZO ATUMA SALAMU ZA PONGEZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-0ngl5v88py0/VjJEwY886JI/AAAAAAABjd8/tYUYkoV09os/s640/j1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wgs421RhDug/VjJE07XaeOI/AAAAAAABjeQ/TffZYZUJgGI/s640/j2.jpg)
9 years ago
MichuziViongozi wawasili nchini Kushuhudia Uapisho wa Rais Mteule Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
9 years ago
Dewji Blog07 Nov
Serikali yasitisha matumizi ya picha ya Rais wa awamu ya 5 Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Assah Mwambene.
Serikali inapenda kuzitaarifu ofisi za umma na wananchi kwa ujumla kwamba imesitisha matumizi ya picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Serikali ya Awamu ya Tano, Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli mpaka hapo itakapotangazwa tena.
Awali majira ya saa 6: 00 jana mchana Novemba 6, mwaka huu Serikali ilitangaza kuhusu kuanza rasmi kwa matumizi ya picha ya Rais.
Aidha, Serikali imesema kwamba itazitangazia ofisi...
9 years ago
MichuziRAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS MSTAAFU DKT. JAKAYA KIKWETE, IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam.
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-3bxIkxhe-tc/Vo06jrDogdI/AAAAAAADElU/fuh6Qlgm5Vk/s1600/New%2BPicture.png)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-oCvgswGyPcA/Vn7emWwBPaI/AAAAAAAIOzA/VsaSe6F8TZk/s72-c/02d9c313-1568-4235-b494-d53c33070398.jpg)
RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT JOHN POMBE MAGUFULI AKUTANA NA RAIS WA ZANZIBAR DKT ALI MOHAMED SHEIN IKULU DAR ES SALAAM LEO
![](http://2.bp.blogspot.com/-oCvgswGyPcA/Vn7emWwBPaI/AAAAAAAIOzA/VsaSe6F8TZk/s640/02d9c313-1568-4235-b494-d53c33070398.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JVsBXBXaqTA/Vn7enLRejMI/AAAAAAAIOzE/zn9tnJa2Bm4/s640/9d38830b-ab53-4915-aebb-766571974852.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-1l0wTMUOX2s/Vn7ennsdCkI/AAAAAAAIOzI/DjLZzyXmxr0/s640/c2008a24-502b-40de-82f2-0ab70c2d9c3c.jpg)
9 years ago
Dewji Blog12 Nov
Rais Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akabidhiwa rasmi ofisi na Rais mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete leo Ikulu, Dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-tgNcoF9ufak/VkSPy6o24LI/AAAAAAAIFdo/DC7CsZoc1B0/s640/jpJK%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jac6XOpCQ8g/VkSPy-I5yNI/AAAAAAAIFds/kwff6srFcjM/s640/jpJK%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X2j3mXwwlBQ/VkSQRrOdHAI/AAAAAAAIFd8/hheeKoqrIMk/s640/jpJK%2B%25283%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/RwNp_aJnH9o/default.jpg)
RAIS DKT JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI AKABIDHIWA RASMI OFISI NA RAIS MSTAAFU WA AWAMU YA NNE DKT JAKAYA MRISHO KIKWETE LEO IKULU, DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-tgNcoF9ufak/VkSPy6o24LI/AAAAAAAIFdo/DC7CsZoc1B0/s640/jpJK%2B%25281%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Jac6XOpCQ8g/VkSPy-I5yNI/AAAAAAAIFds/kwff6srFcjM/s640/jpJK%2B%25282%2529.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X2j3mXwwlBQ/VkSQRrOdHAI/AAAAAAAIFd8/hheeKoqrIMk/s640/jpJK%2B%25283%2529.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-CGu-FeZzoqQ/VjI3bkQOpvI/AAAAAAAIDXg/z6eSR9JF6ao/s72-c/j11.jpg)
JK AMPONGEZA RAIS MTEUL JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM JIONI HII
![](http://3.bp.blogspot.com/-CGu-FeZzoqQ/VjI3bkQOpvI/AAAAAAAIDXg/z6eSR9JF6ao/s640/j11.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza kwa furaha mshindi wa kinyang'anyiro cha Urais kwa tiketi ya CCM na Rais Mteule Dkt John Pombe Joseph Magufuli wakifurahia matokeo mara baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji Damian Lubuva kutangaza kutangaza rasmi matokeo ya uchaguzi mkuu Ikulu jijini Dar es salaam ambako walifuatilia kwa pamoja matangazo hayo ya moja kwa moja kupitia vituo vya televisheni jioni hii Oktoba 29, 2015
![](http://4.bp.blogspot.com/-Qou44moVYi4/VjI3dOuNzTI/AAAAAAAIDXo/m0sZzU3th6M/s640/j7.jpg)