Erdogan ataka kuwepo utulivu Uturuki
Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, ametoa wito kwa vyama vyote kuhakikisha kuwa kuna utulivu kote nchini humo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Sep
Uturuki: Ni kweli Erdogan ni Ataturk mpya?
Katika miaka ya 60, Uturuki (ambayo asilimia tatu ya ardhi yake iko barani Ulaya na iliyobakia barani Asia) ilipewa jina la, ‘Mgonjwa wa Ulaya’.
11 years ago
BBCSwahili31 Mar
''AKP imeshinda kura Uturuki'' Erdogan
Waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametangaza kuwa chama chake cha AKP kimeshinda uchaguzi wa mabaraza .
10 years ago
BBCSwahili28 Aug
Tayyip Erdogan kuapishwa
Rais mteule wa Uturuki Tayyip Erdogan,anakaribia kuapishwa kufuatia ushindi wa kishindo alioupata katika historia ya nchi hiyo.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s72-c/index-3.jpg)
RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.
![](https://1.bp.blogspot.com/-17_OkEbd7pg/Xk01mT_E9_I/AAAAAAALeUs/qUDz4OE0TCIf9qejZOB-PV3w63uri1DKQCLcBGAsYHQ/s640/index-3.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/b-3.jpg)
************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Urusi yasema Erdogan ananunua mafuta ya IS
Wizara ya ulinzi ya Urusi imeituhumu familia ya Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan kwa kuhusika katika biashara ya mafuta na kundi la Islamic State.
5 years ago
BBCSwahili02 Mar
Erdogan: EU haijatoa msaada wowote kuhakikisha wakimbizi wa Syria wanaishi ''maeneo salama'' nchini Syria.
Rais Erdogan amesema hawezi kuwazuia wahamiaji kuingia Ugiriki.
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
KDF itaendelea kuwepo Somalia
Jeshi la Kenya lasema haliondoki Somalia hadi lihakikishe limeikomboa Somalia nzima.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-E9bWH5WByuk/VbcjO-PyQ4I/AAAAAAAHsI8/SGCABMyBU9A/s72-c/Mahakama.jpg)
MAHAKAMA YAKANA KUWEPO KWA RUSHWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-E9bWH5WByuk/VbcjO-PyQ4I/AAAAAAAHsI8/SGCABMyBU9A/s640/Mahakama.jpg)
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania imewataka wananchi wenye malalamiko kuhusu vitendo vya rushwa mahakamani kutoa ushirikiano ili kuweza kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo.
Hayo yalisemwa katika taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa leo jijini Dar es salaam na Afisa Habari Mary Gwera wa Mahakama hiyo kufuatia gazeti moja la hapa nchini la Julai 21 mwaka huu kupitia makala yenye kichwa cha habari “Mtandao wa rushwa Mahakamani huu hapa” .
Taarifa hiyo imeeleza kuwa, baada ya...
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Wizara yakanusha kuwepo ebola nchini
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imefafanua kuwa hakuna uthibitisho kwamba mkimbizi aliyekufa kwenye kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma, alikuwa akiumwa ugonjwa wa ebola.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania