Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Erdogan ataka kuwepo utulivu Uturuki

Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, ametoa wito kwa vyama vyote kuhakikisha kuwa kuna utulivu kote nchini humo.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Uturuki: Ni kweli Erdogan ni Ataturk mpya?

Katika miaka ya 60, Uturuki (ambayo asilimia tatu ya ardhi yake iko barani Ulaya na iliyobakia barani Asia) ilipewa jina la, ‘Mgonjwa wa Ulaya’.

 

11 years ago

BBCSwahili

''AKP imeshinda kura Uturuki'' Erdogan

Waziri mkuu wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan ametangaza kuwa chama chake cha AKP kimeshinda uchaguzi wa mabaraza .

 

10 years ago

BBCSwahili

Tayyip Erdogan kuapishwa

Rais mteule wa Uturuki Tayyip Erdogan,anakaribia kuapishwa kufuatia ushindi wa kishindo alioupata katika historia ya nchi hiyo.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA UTURUKI PAMOJA NA JOPO LA WAWEKEZAJI KUTOKA NCHINI UTURUKI.


************************************Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo February 18 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Uturuki Nchini Tanzania Mhe. Ali Davulaglu, Balozi wa Tanzania Nchini Uturuki Prof.Elizabeth Kiondo, Mstahiki Meya kutoka Uturuki, Wawekezaji na Wafanyabiashara zaidi ya 40 kutoka Nchini Uturuki waliokuja Kutazama na kuchangamkia fursa za Uwekezaji wa Viwanda jijini Dar es salaam.Katika Mazungumzo hayo RC Makonda ...

 

9 years ago

BBCSwahili

Urusi yasema Erdogan ananunua mafuta ya IS

Wizara ya ulinzi ya Urusi imeituhumu familia ya Rais wa Uturuki Recep Tayyip Erdogan kwa kuhusika katika biashara ya mafuta na kundi la Islamic State.

 

5 years ago

BBCSwahili

11 years ago

BBCSwahili

KDF itaendelea kuwepo Somalia

Jeshi la Kenya lasema haliondoki Somalia hadi lihakikishe limeikomboa Somalia nzima.

 

10 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YAKANA KUWEPO KWA RUSHWA

NA MWANDISHI WETU
MAHAKAMA Kuu  ya Tanzania imewataka wananchi  wenye malalamiko kuhusu vitendo vya rushwa  mahakamani kutoa ushirikiano ili kuweza kutafuta ufumbuzi wa tatizo hilo.
Hayo yalisemwa katika taarifa  kwa vyombo vya habari  iliyotolewa leo jijini Dar es salaam  na   Afisa Habari  Mary Gwera wa Mahakama hiyo kufuatia gazeti moja la hapa nchini la Julai 21 mwaka huu  kupitia makala yenye kichwa cha habari  “Mtandao wa rushwa Mahakamani huu hapa” .
Taarifa hiyo imeeleza kuwa, baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Wizara yakanusha kuwepo ebola nchini

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imefafanua kuwa hakuna uthibitisho kwamba mkimbizi aliyekufa kwenye kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma, alikuwa akiumwa ugonjwa wa ebola.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani