Wizara yakanusha kuwepo ebola nchini
Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imefafanua kuwa hakuna uthibitisho kwamba mkimbizi aliyekufa kwenye kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma, alikuwa akiumwa ugonjwa wa ebola.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Wizara yakanusha kutoroshwa kwa Twiga
Wizara ya Maliasili na Utalii imesema hakuna Twiga aliyetoroshwa kutoka mbuga za wanyama kwenda nje ya nchini na kwamba taarifa na picha zinazosambaa kwenye mitandao hazina ukweli wowote.
10 years ago
Mwananchi26 Sep
World Map yakanusha kufungiwa na wizara
>Kampuni ya World Map Consultants inayojihusisha na kutoa ushauri wa uhakiki na upimaji wa viwanja imekanusha madai ya kufungiwa kufanya kazi na kudai inaendelea na utekelezaji wa majukumu yake kama kawaida.
5 years ago
MichuziWIZARA YA AFYA YATHIBITISHA KUWEPO KWA MGONJWA MMOJA WA CORONA,YAWATAHADHARISHA WANANCHI
Serikali kupitia Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Mhe.Ummy Mwalimu imethibitisha kuwepo kwa mgonjwa mmoja wa Corona ambapo amewasisitiza wananchi kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa huo.
Akizungumza na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam, Waziri Ummy alisema kuwa Machi 15, 2020 aligundulika mgonjwa mmoja mwanamke mwenye umri wa miaka 46 ambaye aliwasili na ndege ya Rwandair akitokea nchini Ubelgiji.
“Mwanamke huyu aliondoka nchini Machi 5, 2020 na...
10 years ago
Bongo522 Oct
T.I: Tanzania ilikuwa mzuka, sikuona dalili yoyote ya kuwepo Ebola
Baada tu ya kutua Marekani akitokea Tanzania, waandishi wa habari wa TMZ walimtime kwenye uwanja wa ndege na kumuuliza suala ya kusuluhisha beef ya Iggy Azalea na Snoop Dogg pamoja na show yake ya Dar es Salaam. How was Tanzania man?” mwandishi wa TMZ aliuliza na T.I. kujibu: It was awesome man, it was an […]
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TcW6JYbFqBI/VEfHYjjZJmI/AAAAAAAGssE/AnB9RQvf3iM/s72-c/D92A4947.jpg)
Afrika ni salama pamoja na kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola — Rais Kikwete
![](http://1.bp.blogspot.com/-TcW6JYbFqBI/VEfHYjjZJmI/AAAAAAAGssE/AnB9RQvf3iM/s1600/D92A4947.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-CtZh2_Hp_Vs/VEfHZsfdZbI/AAAAAAAGssI/ikvYVyFPvLo/s1600/D92A5174.jpg)
10 years ago
CloudsFM24 Oct
MAREKANI WASHANGAZWA NA STORI ZA T.I KUHUSU TANZANIA, AKANUSHA KUWEPO KWA EBOLA
Baada ya kurudi Marekani msanii huyo amekuwa akiulizwa mara nyingi kuhusu ishu hiyo ya Ebola na yeye amekuwa balozi mzuri wa Tanzania kwa kukanusha uvumi ambao huenda...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Gq9Y0dR6FYU/VfrprSMjQUI/AAAAAAAH5nE/FvrUu_jKazA/s72-c/saa.png)
WIZARA YAKANUSHA MAIADAI YA ANAYEDAIWA KUUMBA MWENGE WA UHURU
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gq9Y0dR6FYU/VfrprSMjQUI/AAAAAAAH5nE/FvrUu_jKazA/s1600/saa.png)
Gazeti la Mwananchi la Tarehe 14/9/2015 toleo namba 5529 ukurasa wa 25 liliandika habari kuhusu Mwenge wa Uhuru chini ya kichwa cha Habari “Anayeumba Mwenge wa Uhuru” huyu hapa
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (WHVUM) ambayo ndiyo yenye dhamana ya Mwenge wa Uhuru inapenda kuufahamisha umma kwamba habari hiyo sio ya kweli na ni ya upotoshaji.
![](http://4.bp.blogspot.com/-f1pVsu4FWGA/VfrqTbfkoII/AAAAAAAH5nM/dchE_VnwBNA/s1600/images.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania