Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wizara yakanusha kutoroshwa kwa Twiga

Wizara ya Maliasili na Utalii imesema hakuna Twiga aliyetoroshwa kutoka mbuga za wanyama kwenda nje ya nchini na kwamba taarifa na picha  zinazosambaa kwenye mitandao hazina ukweli wowote.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAKANUSHA WANYAMA KUTOROSHWA NCHINI


Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamSERIKALI imekanusha uvumi uliozagaa katika mitandao ya jamii wiki hii kuwa wanyama aina ya twiga wanatoroshwa kutoka pori tengefu la Loliondo na kupelekwa nje ya nchi.
Katibu Mkuu wa Wizara Maliasili na Utalii, Dkt. Adelhelm Meru (Pichani) ameziita habari hizo kuwa za uongo, uzushi na uchochezi.
Akiongea na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Dkt. Meru alisema jambo hilo si la kweli na linalenga kuleta chuki dhidi ya serikali.
“Picha zile zimetolewa...

 

10 years ago

Mwananchi

Wizara yakanusha kuwepo ebola nchini

Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii imefafanua kuwa hakuna uthibitisho kwamba mkimbizi aliyekufa kwenye kambi ya Nyarugusu mkoani Kigoma, alikuwa akiumwa ugonjwa wa ebola.

 

10 years ago

Mwananchi

World Map yakanusha kufungiwa na wizara

>Kampuni ya World Map Consultants inayojihusisha na kutoa ushauri wa uhakiki na upimaji wa viwanja imekanusha madai ya kufungiwa kufanya kazi na kudai  inaendelea  na utekelezaji wa majukumu yake kama kawaida.

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YAKANUSHA MAIADAI YA ANAYEDAIWA KUUMBA MWENGE WA UHURU


Gazeti la Mwananchi la Tarehe 14/9/2015 toleo namba 5529 ukurasa wa 25 liliandika habari kuhusu Mwenge wa Uhuru chini ya kichwa cha Habari “Anayeumba Mwenge wa Uhuru” huyu hapa


Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (WHVUM) ambayo ndiyo yenye dhamana ya Mwenge wa Uhuru inapenda kuufahamisha umma kwamba habari hiyo sio ya kweli na ni ya upotoshaji.


Mwenge wa Uhuru ni Chombo maalum na moja ya alama nyeti za Taifa la Tanzania. Mwenge wa Uhuru ni chombo chenye hadhi ya pekee na hivyo...

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA NISHATI NA MADINI YAKANUSHA TAARIFA ZINAZOENEZWA KUWA NI ZAUONGO

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA


WIZARA YA NISHATI NA MADINI

TAARIFA KWA UMMA

Hivi karibuni zimeibuka taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya kijamii zikimnukuu Waziri wa Nishati na Madini, George B. Simbachawene  akisema kuwa mitambo yote ya uzalishaji umeme nchini inamilikiwa na Kampuni binafsi.


Tunapenda kuutaarifu Umma kuwa taarifa hizi ni za uongo kwani Waziri Simbachawene hajawahi kutoa tamko la kuwa mitambo ya kuzalisha Umeme yote nchini ni ya kampuni binafsi bali alichosema ni  kuwa,...

 

10 years ago

Mtanzania

Askofu Gwajima ataka kutoroshwa Kimafia

gwajimaNa Waandishi Wetu,Dar es Salaam
JESHI la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, linawashikilia wafuasi 15 wa Kanisa la Ufufuo na Uzima kwa tuhuma za kutaka kumtorosha Askofu Mkuu wa kanisa hilo, Josephat Gwajima.
Gwajima ambaye amelazwa katika Hospitali ya TMJ, Mikocheni Dar es Salaam, baada ya kupata mshituko wakati akihojiwa na makachero wa Jeshi la Polisi katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam.
Taarifa iliyotolewa jana kwa vyombo vya habari na Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu...

 

11 years ago

Mwananchi

Ndulu: BoT haiwezi kuzuia mabilioni kutoroshwa

>Benki Kuu ya Tanzania (BoT), imesema haiwezi kuzuia utoroshaji wa mabilioni ya fedha ambayo hufichwa nje ya nchi na baadhi ya watu wakiwamo waliowahi kuwa watumishi wa umma.

 

11 years ago

Michuzi

UHAMIAJI WAKANUSHA JUU YA MHAMIAJI ALIYEDAIWA KUTOROSHWA

IMG-20140618-WA0007 Afisa Uhamiaji wa mkoa wa Arusha Daniel Nanomba akikanusha vikali taarifa za  aliyekuwa Meneja Mauzo wa kampuni ya Tanzanite One,Jaques Beytel anayedaiwa kutoroshwa IMG-20140618-WA0006 Jaques Beytel anayedaiwa kutoroshwa   IMG-20140618-WA0008 Waandishi wa habari wakiwa kazini
Afisa Uhamiaji wa mkoa wa Arusha Daniel Nanomba amekanusha vikali taarifa za  aliyekuwa Meneja Mauzo wa kampuni ya Tanzanite One,Jaques Beytel anayedaiwa kutoroshwa na kueleza kuwa mtu huyo alipatiwa notice ya kuondoka nchi ambapo Juni 10 mwaka huu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani