WIZARA YAKANUSHA MAIADAI YA ANAYEDAIWA KUUMBA MWENGE WA UHURU
![](http://4.bp.blogspot.com/-Gq9Y0dR6FYU/VfrprSMjQUI/AAAAAAAH5nE/FvrUu_jKazA/s72-c/saa.png)
Gazeti la Mwananchi la Tarehe 14/9/2015 toleo namba 5529 ukurasa wa 25 liliandika habari kuhusu Mwenge wa Uhuru chini ya kichwa cha Habari “Anayeumba Mwenge wa Uhuru” huyu hapa
Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo (WHVUM) ambayo ndiyo yenye dhamana ya Mwenge wa Uhuru inapenda kuufahamisha umma kwamba habari hiyo sio ya kweli na ni ya upotoshaji.
![](http://4.bp.blogspot.com/-f1pVsu4FWGA/VfrqTbfkoII/AAAAAAAH5nM/dchE_VnwBNA/s1600/images.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLVODACOM YACHANGIA MWENGE WA UHURU
Mkuu wa Mkoa wa Kagera Kanali Mstaafu Fabian Massawe akiongea ofisini kwake mjini Bukoba wakati wa hafla fupi ya kupokea mchango wa Sh. 10 Milioni kutoka kampuni ya Vodacom Tanzania kwa ajili ya kuchangia sherehe ya uwashaji mwenge wa Uhuru kitaifa iliyofanyika Mkoani humo. Kutoka kushoto Ni Mkuu wa Vodacom Kanda ya Ziwa Domician Mkama, Mkuu wa Vodacom Foundation Yessaya Mwakifulefule na Meneja Uhusiano wa Nje wa Kampuni hioyo...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Mwenge wa uhuru kuzinduliwa Kagera
MWENGE wa uhuru utazinduliwa Mei 2 mwaka huu mkoani Kagera ambapo miradi yenye thamani ya zaidi ya sh bilioni 14 itazinduliwa. Katika shughuli za uzinduzi huo utakaofanyika kwenye Uwanja wa...
9 years ago
Mwananchi14 Sep
'Anayeunda Mwenge wa Uhuru' huyu hapa
Licha ya kuteketeza mamilioni unapokimbizwa yeye analipwa sh250,000, sasa ni mlemavu.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-Wthx3u8ZmIw/U_w6NzNIEaI/AAAAAAAGCaM/edOj2agqIic/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA MKOANI MANYARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-Wthx3u8ZmIw/U_w6NzNIEaI/AAAAAAAGCaM/edOj2agqIic/s1600/unnamed%2B(85).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xVjuLbcUG4E/U_w6OyrCHdI/AAAAAAAGCaQ/U435ykhPs4U/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
10 years ago
VijimamboMBIO ZA MWENGE WA UHURU UKIWA PEMBA
11 years ago
MichuziVodacom yachangia mbio za mwenge wa uhuru
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0mm5xA8qmqw/VlV4wvsu4JI/AAAAAAAIIVU/7UmkSrcWpag/s72-c/IMG_20151125_113810.jpg)
9 years ago
Mwananchi01 Oct
Wizara yakanusha kutoroshwa kwa Twiga
Wizara ya Maliasili na Utalii imesema hakuna Twiga aliyetoroshwa kutoka mbuga za wanyama kwenda nje ya nchini na kwamba taarifa na picha zinazosambaa kwenye mitandao hazina ukweli wowote.
10 years ago
Mwananchi26 Sep
World Map yakanusha kufungiwa na wizara
>Kampuni ya World Map Consultants inayojihusisha na kutoa ushauri wa uhakiki na upimaji wa viwanja imekanusha madai ya kufungiwa kufanya kazi na kudai inaendelea na utekelezaji wa majukumu yake kama kawaida.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania