Afrika ni salama pamoja na kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola — Rais Kikwete
![](http://1.bp.blogspot.com/-TcW6JYbFqBI/VEfHYjjZJmI/AAAAAAAGssE/AnB9RQvf3iM/s72-c/D92A4947.jpg)
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mabalozi wa Afrika wanaoziwakilkisha nchi zao nchini China wakati alipokutana nao jijini Beijing China leo asubuhi.Raius Kikwete yupo nchini China kwa ziara ya kiserikali.(picha na Freddy Maro)
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Oct
Kikwete: Licha ya ebola, Afrika iko salama
RAIS Jakaya Kikwete ametoa changamoto kwa mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Afrika katika Jamhuri ya Watu wa China kuendelea kutangaza habari njema kuwa bado ni salama kutembelea Bara la Afrika pamoja na kuzuka kwa ugonjwa wa ebola ambao umeua maelfu ya watu hasa katika nchi tatu za Afrika Magharibi.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-vgXDojhEURc/VE4ELaAFk7I/AAAAAAACtos/TlIcPwfYoGM/s72-c/New%2BPicture.png)
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU TETESI ZA KUWEPO MGONJWA ANAYEHISIWA KUWA NA UGONJWA WA EBOLA MKOANI KILIMANJARO
![](http://3.bp.blogspot.com/-vgXDojhEURc/VE4ELaAFk7I/AAAAAAACtos/TlIcPwfYoGM/s1600/New%2BPicture.png)
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU TETESI ZA KUWEPO MGONJWA ANAYEHISIWA KUWA NA UGONJWA WA EBOLA MKOANI KILIMANJARO Utangulizi
Mnamo tarehe 22 Oktoba 2014, Wizara ilipokea taarifa kutoka Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ya kuwepo kwa mgonjwa aliyehisiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa Ebola. Mgonjwa huyu mwanaume ana umri wa miaka 37, na mkazi wa Dar es salaam (Kimara ) ambaye alikwenda Kilimanjaro tarehe 20 Oktoba 2014 katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-vgXDojhEURc/VE4ELaAFk7I/AAAAAAACtos/TlIcPwfYoGM/s72-c/New%2BPicture.png)
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU TETESI ZA KUWEPO MGONJWA ANAYEHISIWA KUWA NA UGONJWA WA EBOLA MKOANI KILIMANJARO
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII
![](http://3.bp.blogspot.com/-vgXDojhEURc/VE4ELaAFk7I/AAAAAAACtos/TlIcPwfYoGM/s1600/New%2BPicture.png)
TAMKO LA SERIKALI KUHUSU TETESI ZA KUWEPO MGONJWA ANAYEHISIWA KUWA NA UGONJWA WA EBOLA MKOANI KILIMANJARO
Utangulizi
Mnamo tarehe 22 Oktoba 2014, Wizara ilipokea taarifa kutoka Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro ya kuwepo kwa mgonjwa aliyehisiwa kuwa na dalili za ugonjwa wa Ebola. Mgonjwa huyu mwanaume ana umri wa miaka 37, na mkazi wa Dar es salaam (Kimara ) ambaye alikwenda Kilimanjaro tarehe 20 Oktoba 2014 katika...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Ugonjwa wa ebola unavyoitikisa Afrika
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-gtE7hyF583U/VfKyg7e2dUI/AAAAAAAH4A8/R9Uja-tzfBk/s72-c/TASWALOGO1.jpg)
TASWA KUTOA TUZO KWA RAIS KIKWETE PAMOJA NA WANAMICHEZO WANAOFANYA VIZURI
![](http://4.bp.blogspot.com/-gtE7hyF583U/VfKyg7e2dUI/AAAAAAAH4A8/R9Uja-tzfBk/s1600/TASWALOGO1.jpg)
10 years ago
Mwananchi29 Jan
‘Ugonjwa wa ebola umeonyesha udhaifu mkubwa nchi za Afrika’
9 years ago
MichuziNCHI ZA AFRIKA ZIWEKEZE NGUVU YA PAMOJA KUPAMBANA NA EBOLA
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KMrGqQvz-wg/U4BTrawLmhI/AAAAAAAFktY/cgU4W9j_bQE/s72-c/pre1.jpg)
RAIS KIKWETE AWASILI PRETORIA KUSHUHUDIA KUAPISHWA KWA RAIS WA AFRIKA KUSINI MHE JACOB ZUMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-KMrGqQvz-wg/U4BTrawLmhI/AAAAAAAFktY/cgU4W9j_bQE/s1600/pre1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ie_VJFYFN2M/U4BTr80DnFI/AAAAAAAFktc/anGRX1hQVQo/s1600/pre2.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-yXJ2qmtAGsk/U4BTsBA36fI/AAAAAAAFktk/erLnSWG_lPQ/s1600/pre3.jpg)