Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kikwete: Licha ya ebola, Afrika iko salama

RAIS Jakaya Kikwete ametoa changamoto kwa mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Afrika katika Jamhuri ya Watu wa China kuendelea kutangaza habari njema kuwa bado ni salama kutembelea Bara la Afrika pamoja na kuzuka kwa ugonjwa wa ebola ambao umeua maelfu ya watu hasa katika nchi tatu za Afrika Magharibi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Afrika ni salama pamoja na kuwepo kwa ugonjwa wa Ebola — Rais Kikwete

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mabalozi wa Afrika wanaoziwakilkisha nchi zao nchini China wakati alipokutana nao jijini Beijing China leo asubuhi.Raius Kikwete yupo nchini China kwa ziara ya kiserikali.(picha na Freddy Maro)

 

9 years ago

Habarileo

Utafiti: Tanzania iko salama

TAASISI ya Utafiti ya Twaweza imezindua matokeo ya utafiti walioufanya hivi karibuni ukionesha asilimia 88 ya Watanzania wanaiona Tanzania iko salama. Matokeo ya utafiti huo wenye jina ‘Itikadi kali inavuma Tanzania’, yametokana na takwimu za sauti za watu 1,879 zilizopatikana kwa njia ya simu za mkononi kati ya Septemba 2 na Oktoba 11, mwaka huu .

 

11 years ago

BBCSwahili

Data yako iko salama mtandaoni?

Akaunti za watumiaji milioni 4.6 wa mtandao wa kijamii wa Snapchat na namba zao simu zimedukuliwa

 

11 years ago

BBCSwahili

Akaunti yako ya Gmail iko salama

Mtandao wa Google umetangaza kusitisha mpango wake wa kuchunguza akaunti za Gmail

 

10 years ago

Habarileo

Nchi iko salama na ugaidi- Chikawe

Waziri wa Mambo ya Ndani, Mathias Chikawe.SERIKALI imesema inafuatilia kwa karibu maelezo yanayotolewa na Mtanzania Rashid Mberesero (20) aliyekamatwa Kenya akidaiwa kufanya ugaidi katika Chuo Kikuu cha Garissa uliosababisha vifo vya watu 148.

 

10 years ago

BBCSwahili

'Familia iliotoweka iko salama chini ya IS'

Familia moja ya watu 12 nchini Uingereza ambayo ilitoweka imejiunga na kundi la wapiganaji wa IS na kwamba iko salama salmin,kulingana na taarifa iliotumwa kwa niaba yao.

 

9 years ago

Global Publishers

Licha ya kusherekea kuuona mwaka 2016, atuko salama

risasi kovaMwandishi wetu

Matukio ya watu kuporwa pesa kisha kuuawa na majambazi yatikisha, bodaboda zadaiwa kuwa tatizoLicha ya shamrashamra za kusherekea kuuona Mwaka Mpya wa 2016, siyo siri kwamba maisha ya Watanzania hayako salama tena, wameanza kuishi kwa hofu kubwa kufuatia matukio ya mauaji ya raia wema ambayo yamekuwa yakifanywa na majambazi nchini kote kwa kutumia pikipiki na watu kuuawa au kujeruhiwa kwa kupigwa risasi.

Utafiti uliofanywa na gazeti hili umebaini kwamba, ndani ya muda wa miezi...

 

5 years ago

Michuzi

“Nchi Yetu iko Salama dhidi ya Corona” – Dkt. Abbasi

Na. Immaculate Makilika - MAELEZO

Serikali imesema nchi iko salama dhidi ya ugonjwa wa CORONA na tayari imechukua hatua kadhaa za tahadhari ili kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa huo hapa nchini.

Akizungumza katika mkutano na Waandishi wa Habari leo jijini Dodoma, Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi amesema kuwa, Serikali imeendelea kufanya jitihada mbalimbali za kuhakikisha kwamba ugonjwa huo sio tu hauingii...

 

10 years ago

Vijimambo

Kikwete: "Nisingekuwa Rais Ningekuwa Msanii Mkali wa Bongo Fleva.".........HOTUBA Nzima ya Rais Kikwete Aliyoitoa Jana Mei Mosi Iko HAPA


RAIS Dkt. Jakaya Kikwete, ametamba kuwa angakuwa msanii wa muziki wa kizazi kipya basi angelikuwa wa “BongoFleva” kutokana na kuwa na sauti nzuri yenye kumudu kuimba nyimbo kwa ufasaha zaidi.

Kauli hiyo aliitoa jana jijini Mwanza kwenye uwanja wa michezo wa CCM Kirumba wakati wa maadhimisho ya kilele cha sherehe za Mei mosi zilizofanyika Kitaifa jijini Mwanza kwa mwaka huu wa mwisho wa utawala wake.
Dkt. Kikwete aliimba wimbo wa Bendi ya OSS (Ochestra Safari Sound) wenye mashairi yasemayo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani