'Familia iliotoweka iko salama chini ya IS'
Familia moja ya watu 12 nchini Uingereza ambayo ilitoweka imejiunga na kundi la wapiganaji wa IS na kwamba iko salama salmin,kulingana na taarifa iliotumwa kwa niaba yao.
BBCSwahili
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania