Licha ya kusherekea kuuona mwaka 2016, atuko salama
Mwandishi wetu
Matukio ya watu kuporwa pesa kisha kuuawa na majambazi yatikisha, bodaboda zadaiwa kuwa tatizoLicha ya shamrashamra za kusherekea kuuona Mwaka Mpya wa 2016, siyo siri kwamba maisha ya Watanzania hayako salama tena, wameanza kuishi kwa hofu kubwa kufuatia matukio ya mauaji ya raia wema ambayo yamekuwa yakifanywa na majambazi nchini kote kwa kutumia pikipiki na watu kuuawa au kujeruhiwa kwa kupigwa risasi.
Utafiti uliofanywa na gazeti hili umebaini kwamba, ndani ya muda wa miezi...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Oct
Kikwete: Licha ya ebola, Afrika iko salama
RAIS Jakaya Kikwete ametoa changamoto kwa mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Afrika katika Jamhuri ya Watu wa China kuendelea kutangaza habari njema kuwa bado ni salama kutembelea Bara la Afrika pamoja na kuzuka kwa ugonjwa wa ebola ambao umeua maelfu ya watu hasa katika nchi tatu za Afrika Magharibi.
5 years ago
Zitto Kabwe, MB13 Feb
Vitabu 53 nilivyosoma mwaka 2016
Vitabu 53 nilivyosoma mwaka 2016
Zitto Kabwe
![The Strongman: Vladimir Putin and struggle for Russia – Augus Roxburgh](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2016/12/41deesdkefl-_sx323_bo1204203200_.jpg?w=195&h=300)
The Strongman: Vladimir Putin and struggle for Russia – Augus Roxburgh
Mwaka 2016 nimesoma vitabu 53. Nimeongeza vitabu nilivyosoma tofauti na mwaka 2015 lakini sikuweza kufikia idadi ya mwaka 2014 ambapo nilisoma vitabu 56. Hiyo ndio rekodi ya juu zaidi tangu nilipoanza kuorodhesha vitabu nilivyosoma mnamo mwaka 2012. Mwaka 2013 niliorodhesha vitabu vichache zaidi nilivyosoma.
Mafanikio makubwa ya mwaka huu ni kuongeza vitabu vya Riwaya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TWTVYXifv2k/VKP23Dh8MmI/AAAAAAAG6xU/2P92s2pQR00/s72-c/12345678.jpg)
TUFUNGE MWAKA KWA KUBAKI SALAMA MTANDAONI -
![](http://1.bp.blogspot.com/-TWTVYXifv2k/VKP23Dh8MmI/AAAAAAAG6xU/2P92s2pQR00/s1600/12345678.jpg)
Kubwa zaidi ni uelewa mdogo wa watumiaji mtandao juu ya kujiweka salama kimtandao iliyo ambatana na wana usalama mitandao kuwa wachache sana katika ngazi ya kidunia huku baadhi ya mataifa kutotoa kipaumbele katika maswala ya usalama...
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Viongozi wa michezo waupania mwaka 2016
9 years ago
Bongo511 Dec
Lord Eyez aupania mwaka 2016
![Lord Eyes](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Lord-Eyes--300x194.jpg)
Rapa kutoka Weusi, Lord Eyez ameonesha kuupania mwaka 2016, kuufanya uwe ni mwaka wa kulipa madeni yote anayodaiwa na mashabiki wake waliomkosa kwa kipindi kirefu.
Ukimya wake uliosababisha kuwepo na maswali mengi likiwemo la kama ametengana na Weusi ulivunjwa na rapa huyo hivi karibuni alipoweka wazi kuwa bado yupo Weusi.
“Napenda kuwaambia mashabiki zangu kuwa mwaka 2016 ni mwaka wangu sasa kufanya kweli, kwani ukimya wangu umeendana na kupika kazi mpya na mpaka sasa nimeshafanya kazi...
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Watanzania kufikia milioni 50 mwaka 2016
RAIS Jakaya Kikwete amesema kwa sasa Tanzania ina watu milioni 48 na ifikapo mwaka 2016, kutakuwa na watu milioni 50 kutokana na ongezeko la asilimia 2.7 la kila mwaka. Akizungumza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xiGmw0ueoCY/XvTSvlMdADI/AAAAAAALveg/F5OUjq0Qd9cyZnCBU1sFjUmG_6dTBdhpgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B7.32.18%2BPM.jpeg)
KANYIGO KUPATIWA MAJISAFI NA SALAMA KUFIKIA JULAI MWAKA HUU .
Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.
Serikali kupitia Wizara ya Maji Nchini ipo mbioni kupeleka huduma ya Majisafi katika Vijiji vinne Katani Kanyigo Wilayani Missenyi, Mkoani Kagera ifikapo Julai Mwaka huu.
Hayo yamebainika katika Ziara iliyofanywa na Mkuu wa Wilaya Missenyi wakati akitembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa maji safi Kata Kanyigo unaohusisha Vijiji vya Kikukwe, Bugombe, Kigarama na Bweyunge, unaotarajiwa kuhudumia Kaya 2,986 sawa na wakazi 10,986 wenye zaidi ya Shilingi Milioni...
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Nchi imejiandaa vipi kwa mwaka 2016?
"UCHUMI mnao, lakini mmeukalia!” Utotoni nilipata kusikia redioni kauli hii ya Mwalimu .
Maggid Mjengwa