Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Viongozi wa michezo waupania mwaka 2016

“Tumechoshwa na jina la watalii, tumeumizwa na ukosefu wa medali kwa miaka kadhaa, wadhamini walituweka kando, lakini sasa tunahitaji kufanya kitu, tunajua mafaniko yetu ndiyo yatafungua fursa za udhamini, tunahitaji kufanya kitu 2016.” Hii ni kauli mbiu ya viongozi wa vyama vya michezo nchini mwaka huu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MTAZAMO : Viongozi wa michezo hawaipendi michezo

Uzuri uko kwenye macho ya yule anayeuona. Sasa unaweza kujiuliza, je, anayeuona ni nani?, Je, ni mwenyewe mhusika au ni watu wengine. Wenye kuuona uzuri ni wengi na kila mtu ana haki ya kuamua kama anachokiona machoni mwake ni kizuri au la.

 

10 years ago

Mwananchi

Uzembe waitoa Tanzania michezo ya Olimpiki 2016

>Tanzania haitashiriki michezo ya soka  kimataifa hadi mwaka 2016 kutokana na timu yake ya  vijana  wa umri chini ya miaka 23  kutoshiriki michuano ya kusaka  tiketi ya kushiriki Olimpiki  msimu wa 2015/2016.

 

9 years ago

MillardAyo

January 6 2016 magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo

Good Morning mtu wangu !! January 06 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

The post January 6 2016 magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

January 5 2016 magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo

Good Morning mtu wangu !! January 05 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku , Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

The post January 5 2016 magazeti ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

MillardAyo

January 7 2016 magazeti 20 ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo

Good Morning mtu wangu !! January 07 2016 naanza kwa kukusogezea post ya stori zote kubwa zilizobebwa kwenye Magazeti 20 ya Tanzania kuanzia kwenye Udaku, Michezo na hardnews ili ujue kinachoendelea mtu wangu.. usiache kukaa karibu yangu kwenye facebook, twitter na instagram @millardayo ili niwe nakutumia kila kinachonifikia.

The post January 7 2016 magazeti 20 ya Tanzania yameamka na hizi leo >> udaku, hardnews na michezo appeared first on TZA_MillardAyo.

 

5 years ago

Zitto Kabwe, MB

Vitabu 53 nilivyosoma mwaka 2016

Vitabu 53 nilivyosoma mwaka 2016

Zitto Kabwe

The Strongman: Vladimir Putin and struggle for Russia – Augus Roxburgh

The Strongman: Vladimir Putin and struggle for Russia – Augus Roxburgh

Mwaka 2016 nimesoma vitabu 53. Nimeongeza vitabu nilivyosoma tofauti na mwaka 2015 lakini sikuweza kufikia idadi ya mwaka 2014 ambapo nilisoma vitabu 56. Hiyo ndio rekodi ya juu zaidi tangu nilipoanza kuorodhesha vitabu nilivyosoma mnamo mwaka 2012. Mwaka 2013 niliorodhesha vitabu vichache zaidi nilivyosoma.

Mafanikio makubwa ya mwaka huu ni kuongeza vitabu vya Riwaya...

 

9 years ago

Bongo5

Lord Eyez aupania mwaka 2016

Lord Eyes

Rapa kutoka Weusi, Lord Eyez ameonesha kuupania mwaka 2016, kuufanya uwe ni mwaka wa kulipa madeni yote anayodaiwa na mashabiki wake waliomkosa kwa kipindi kirefu.

Lord Eyes

Ukimya wake uliosababisha kuwepo na maswali mengi likiwemo la kama ametengana na Weusi ulivunjwa na rapa huyo hivi karibuni alipoweka wazi kuwa bado yupo Weusi.

“Napenda kuwaambia mashabiki zangu kuwa mwaka 2016 ni mwaka wangu sasa kufanya kweli, kwani ukimya wangu umeendana na kupika kazi mpya na mpaka sasa nimeshafanya kazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania kufikia milioni 50 mwaka 2016

RAIS Jakaya Kikwete amesema kwa sasa Tanzania ina watu milioni 48 na ifikapo mwaka 2016, kutakuwa na watu milioni 50 kutokana na ongezeko la asilimia 2.7 la kila mwaka. Akizungumza...

 

9 years ago

BBCSwahili

Kwa Picha: Mwaka Mpya 2016

Sherehe za kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2016.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani