Vitabu 53 nilivyosoma mwaka 2016
Vitabu 53 nilivyosoma mwaka 2016
Zitto Kabwe
![The Strongman: Vladimir Putin and struggle for Russia – Augus Roxburgh](https://zittokabwe.files.wordpress.com/2016/12/41deesdkefl-_sx323_bo1204203200_.jpg?w=195&h=300)
The Strongman: Vladimir Putin and struggle for Russia – Augus Roxburgh
Mwaka 2016 nimesoma vitabu 53. Nimeongeza vitabu nilivyosoma tofauti na mwaka 2015 lakini sikuweza kufikia idadi ya mwaka 2014 ambapo nilisoma vitabu 56. Hiyo ndio rekodi ya juu zaidi tangu nilipoanza kuorodhesha vitabu nilivyosoma mnamo mwaka 2012. Mwaka 2013 niliorodhesha vitabu vichache zaidi nilivyosoma.
Mafanikio makubwa ya mwaka huu ni kuongeza vitabu vya Riwaya...
Zitto Kabwe, MB
Habari Zinazoendana
9 years ago
Zitto Kabwe, MB31 Dec
Vitabu 23 nilivyosoma mwaka 2015(The 23 Books I read in 2015) #letsread
Vitabu 23 nilivyosoma mwaka 2015
Zitto Kabwe
Nimesoma vitabu 23 tu mwaka huu unaoisha leo.
Mwaka 2015 ulikuwa mwaka wa uchaguzi, nimesoma zaidi kidogo ya nusu ya https://zittokabwe.wordpress.com/2014/12/27/vitabu-nilivyosoma-2014-books-i-have-read-in-2014-booksread2014-letsread/ .
Katika mwaka 2015 niliweza kufanya uchambuzi wa vitabu 4 tu kwani ilipofika mwishoni mwa mwezi Machi, 2015 nilianza kazi mpya kabisa ya kujenga Chama kipya cha Siasa chenye kufuata mrengo wa kushoto – ACT...
10 years ago
Zitto Kabwe, MB27 Dec
Vitabu Nilivyosoma 2014 — Books I have read in 2014 #BooksRead2014 #letsread
Mwaka 2014 nimesoma vitabu 53 na nimefanya uchambuzi wa vitabu 21 kupitia safu ya Kitabu na Kalamu ya gazeti la Raia Tanzania kila Jumatatu.
Tangu nimeanza utaratibu kuchapisha idadi ya vitabu nilivyosoma huu ni mwaka wa tatu sasa. Mwaka 2012 nilisoma vitabu 31, mwaka 2013 vitabu 13 na 2014 vitabu 53.
Mwaka 2014 niliuanza kwa changamoto nyingi sana katika maisha yangu ya kisiasa; kuvuliwa nyadhifa katika chama na kuwa hatarini kuvuliwa uanachama kilichopelekea kwenda mahakamani kutetea...
10 years ago
Mwananchi30 Dec
Umesoma vitabu vingapi mwaka 2014?
9 years ago
Mwananchi04 Jan
Viongozi wa michezo waupania mwaka 2016
9 years ago
Bongo511 Dec
Lord Eyez aupania mwaka 2016
![Lord Eyes](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Lord-Eyes--300x194.jpg)
Rapa kutoka Weusi, Lord Eyez ameonesha kuupania mwaka 2016, kuufanya uwe ni mwaka wa kulipa madeni yote anayodaiwa na mashabiki wake waliomkosa kwa kipindi kirefu.
Ukimya wake uliosababisha kuwepo na maswali mengi likiwemo la kama ametengana na Weusi ulivunjwa na rapa huyo hivi karibuni alipoweka wazi kuwa bado yupo Weusi.
“Napenda kuwaambia mashabiki zangu kuwa mwaka 2016 ni mwaka wangu sasa kufanya kweli, kwani ukimya wangu umeendana na kupika kazi mpya na mpaka sasa nimeshafanya kazi...
9 years ago
BBCSwahili31 Dec
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Watanzania kufikia milioni 50 mwaka 2016
RAIS Jakaya Kikwete amesema kwa sasa Tanzania ina watu milioni 48 na ifikapo mwaka 2016, kutakuwa na watu milioni 50 kutokana na ongezeko la asilimia 2.7 la kila mwaka. Akizungumza...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/UjwbMplZs5I/default.jpg)
9 years ago
Raia Mwema30 Dec
Nchi imejiandaa vipi kwa mwaka 2016?
"UCHUMI mnao, lakini mmeukalia!” Utotoni nilipata kusikia redioni kauli hii ya Mwalimu .
Maggid Mjengwa