TUFUNGE MWAKA KWA KUBAKI SALAMA MTANDAONI -
![](http://1.bp.blogspot.com/-TWTVYXifv2k/VKP23Dh8MmI/AAAAAAAG6xU/2P92s2pQR00/s72-c/12345678.jpg)
Mwaka 2014 Umekua Wenye changamoto nyingi sana kwenye upade wa mitandao ambapo wahalifu mtandao walifanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kuitikisa anga ya usalama mitandao duniani kote ambapo walifikia kutamba kuwa wameshinda mapambano na wanausalama mitandao.
Kubwa zaidi ni uelewa mdogo wa watumiaji mtandao juu ya kujiweka salama kimtandao iliyo ambatana na wana usalama mitandao kuwa wachache sana katika ngazi ya kidunia huku baadhi ya mataifa kutotoa kipaumbele katika maswala ya usalama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uVSra6c8ZxWDFW87jG4Esa6pvlr7QBbCzP4DICwLUm4Nrut516sl0*dIaMREcIzVBbrg7ECz1fxKD5brZ2aW9*K0AJpCiSOX/SAA24.jpg?width=750)
11 years ago
BBCSwahili02 Jan
Data yako iko salama mtandaoni?
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WQFJA5SYdOY/U-kLpFUySUI/AAAAAAAF-n4/MttKk-yLXDM/s72-c/download+(1).jpg)
10 years ago
TZToday28 Dec
Habari na watu waliotafutwa zaidi mtandaoni mwaka 2014 Tanzania
Most Searched in 2014 - Tanzania
Filamu
9 years ago
Global Publishers01 Jan
Licha ya kusherekea kuuona mwaka 2016, atuko salama
Mwandishi wetu
Matukio ya watu kuporwa pesa kisha kuuawa na majambazi yatikisha, bodaboda zadaiwa kuwa tatizoLicha ya shamrashamra za kusherekea kuuona Mwaka Mpya wa 2016, siyo siri kwamba maisha ya Watanzania hayako salama tena, wameanza kuishi kwa hofu kubwa kufuatia matukio ya mauaji ya raia wema ambayo yamekuwa yakifanywa na majambazi nchini kote kwa kutumia pikipiki na watu kuuawa au kujeruhiwa kwa kupigwa risasi.
Utafiti uliofanywa na gazeti hili umebaini kwamba, ndani ya muda wa miezi...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-xiGmw0ueoCY/XvTSvlMdADI/AAAAAAALveg/F5OUjq0Qd9cyZnCBU1sFjUmG_6dTBdhpgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-25%2Bat%2B7.32.18%2BPM.jpeg)
KANYIGO KUPATIWA MAJISAFI NA SALAMA KUFIKIA JULAI MWAKA HUU .
Na Abdullatif Yunus Michuzi TV.
Serikali kupitia Wizara ya Maji Nchini ipo mbioni kupeleka huduma ya Majisafi katika Vijiji vinne Katani Kanyigo Wilayani Missenyi, Mkoani Kagera ifikapo Julai Mwaka huu.
Hayo yamebainika katika Ziara iliyofanywa na Mkuu wa Wilaya Missenyi wakati akitembelea na kukagua ujenzi wa mradi wa maji safi Kata Kanyigo unaohusisha Vijiji vya Kikukwe, Bugombe, Kigarama na Bweyunge, unaotarajiwa kuhudumia Kaya 2,986 sawa na wakazi 10,986 wenye zaidi ya Shilingi Milioni...
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Jela kwa kushindwa kubaki njia kuu
MWALIMU wa Shule ya Msingi Misunkumilo, Kata ya Namanyere, wilayani Nkasi, mkoani Rukwa, Oswald Kapota (33) amehukumiwa kwenda jela miezi sita kwa kosa la kutelekeza familia yake na kwenda kuishi...
9 years ago
Habarileo23 Aug
Mzindakaya amwagiwa sifa kwa kubaki mjamaa
MAWAZIRI wakuu wawili wastaafu wamemwagia sifa mwanasiasa mkongwe Chrisant Mzindakaya kwa kuwa muumini mwaminifu wa siasa ya ujamaa aliyebakia nchini. Walimpongeza pia Askofu wa Kanisa Katoliki , Jimbo la Shinyanga , Mhashamu Liberarus Sangu kwa kuteuliwa kushika nafasi hiyo ya juu ambapo leo anatarajiwa kuadhimisha Misa ya shukrani tangu alipoteuliwa kushika wadhifa wake huo.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/m9wY6nHswW4xRLaFbcguw7-FkKF59wpn*H-7HMyVhW5NARrcndZdxwFfZClObKmjl-QYxwq*K8BK3kh1mL7iELqP30SPE-27/JINIKABULA.jpg?width=650)
JINI KABULA: NAMSUBIRI BUSHOKE TUFUNGE NDOA