Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Search Habari za Tanzania .

Unaweza Pia kushare kwenye Facebook matokeo ya utafutaji,Tumia tab ya Share.



Matokeo ya Utafutaji

9 years ago

Bongo Movies

Lulu: Mnanipa Bichwa Mwenzenu

Staa mrembo wa Bongo Movies anayependwa na wengi, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amewapasha mashabiki wake mtandaoni kuwa wanavyozidi kumwagia misifa kwa urembo wake wanasababisha ajione kuwa yupo juu sana wakati yeye ni wakawaida.

LULU211
“Mnajua mkiniongelea Sana mnanipa Bichwa Mwenzenu😂😂😂😂naanza kuona Kama bila mm vitu haviwezekani hivi😭😭😭Msinifanyie hvyo…Najikuta MATAWI mwenzenu😭😭😭wakati Sina lolote😁”-Lulu

 

9 years ago

Global Publishers

Malaika: nimechoka kufananishwa na Lulu

6B3A3875

Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya anayefanya vizuri, Malaika Exavery.

Na Imelda Mtema

MSANII wa Muziki wa Kizazi Kipya anayefanya vizuri, Malaika Exavery amesema anakerwa na kitendo cha watu wengi kumfananisha na muigizaji Elizabeth Michael ‘Lulu’.

Akizungumza na gazeti hili, Malaika alisema huko nyuma alipokuwa akifananishwa na msanii huyo hakujali, lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda imekuwa ni shida hadi wengine wanamsimamisha.

“Unajua kufananishwa na mtu siyo tatizo, lakini kwa hali...

 

9 years ago

Global Publishers

Lulu nitazaa bandika bandua

luluMtoto mzuri katika tasnia ya sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’.

Na Imelda Mtema
Mtoto mzuri katika tasnia ya sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameapa kuwa muda wa kuanza kuzaa ukifika, atazaa mfululizo bila kupumzika hadi lengo la idadi ya watoto anaowataka litimie.

Akizungumza na Bongo Movies ya Amani, Lulu alisema hakuna kitu anachokipenda kama watoto hivyo atakapojipanga na kuwa tayari kuzaa, itakuwa ni bandika bandua kwani anataka kuwa na watoto wengi.

“Jamani hakuna...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mobeto: Lulu Kanipora Bwana!

MAPENZI ya mjini utata mtupu! Ni kauli inayostahili kutumika baada ya mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Hassan Mobeto kumwaga chozi akidai kuporwa bwana’ke aliyekuwa akimpa jeuri mjini (jina tunalo) huku zigo la lawama likimwangukia staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’.

CHANZO KINASEMAJE?
Habari kutoka kwa chanzo makini zilieleza kwamba, kwa sasa kuna bifu jipya linalotokota mjini likihusisha sakata la Lulu kumpiku Mobeto kwa bwana’ke aliyekuwa akimgharamia kiasi cha kuwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Stars yachezea lulu baharini

Ni kama kuchezea lulu baharini. Ndivyo, unavyoweza kueleza matokeo ya mchezo baina ya Taifa Stars ya Tanzania dhidi ya Algeria uliomalizika kwa sare ya mabao 2-2.

 

9 years ago

GPL

LULU AMRITHI ZARI

Madai mazito! Siku chache baada ya kubainika kuwa uwezekano wa mzazi mwenzake na ‘kichaa’ wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kurudi Bongo na kuendelea na uhusiano na jamaa huyo ni mdogo, hatimaye familia ya staa huyo imemtaja Elizabeth Michael Kimemeta ‘Lulu’ kuwa ndiye mrithi wa Zari, Amani lemeelezwa.  Staa wa filamu Bongo,...

 

9 years ago

GPL

LULU BADO HAJIWEZI KWA BIEBER

STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael amesema kuwa bado anateswa na penzi la staa wa muziki wa Pop, Justin Bieber na kwamba yupo tayari hata kuchukuliwa bure. Staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael 'Lulu'. Chanzo makini kiliitonya Amani kuwa, staa huyo uvumilivu umemshinda kila aonapo sura ya Bieber popote na hata majuzi alimng’ang’ania sana staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’...

 

9 years ago

GPL

LULU, WEMA WAFIKA PABAYA

Pamoja na wenyewe kudai hawajui kilichotokea, mastaa wawili wenye sura za mauzo kunako sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Wema Isaac Sepetu, kwa sasa wanadaiwa kufikia pabaya kufuatia bifu zito linalofukuta kati yao. Staa wa sinema za kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’. Habari za mjini zinadai kwamba, Wema amekuwa akishtushwa na kuchukizwa na kitendo cha Lulu kuwa upande wa aliyewahi kuwa...

 

9 years ago

Mtanzania

Lulu: Nataka wazee kimaendeleo

Lulu picha mpya kubwaNA SHARIFA MMASI

MWIGIZAJI mahiri wa filamu nchini, Elizabeth Michael ‘Lulu’, amesema hupendelea uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye umri mkubwa kwake ili aweze kujifunza mengi kutoka kwao hata kama hawatokuwa wote maisha yote.

Lulu alisema kipindi alipokuwa katika uhusiano na wanaume wakubwa, alijifunza mambo mengi ambayo yanaendelea kumuweka daraja la juu katika mafanikio ya maisha yake ya sasa.

“Kipindi chote ambacho nimejikita kwenye uhusiano wa kimapenzi, nilikuwa nikipenda kuwa na...

 

9 years ago

GPL

DK. CHENI AFUNGUKA KUMUOA LULU

Brighton Masalu Tangu wakati ule msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’ aamue kupambana kumsaidia Elizabeth Michael ‘Lulu’ kwenye kesi ya mauaji iliyokuwa inamkabali, yaliibuka madai kuwa wawili hao ni wapenzi lakini leo limeibuka la ndoa, Ijumaa lina kila kitu. Msanii maarufu wa filamu, Mahsein Awadh ‘Dk. Cheni’. Madai ya uhusiano wa Lulu na Dk. Cheni yamekuwa yakienea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani