Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LULU BADO HAJIWEZI KWA BIEBER

STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael amesema kuwa bado anateswa na penzi la staa wa muziki wa Pop, Justin Bieber na kwamba yupo tayari hata kuchukuliwa bure. Staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael 'Lulu'. Chanzo makini kiliitonya Amani kuwa, staa huyo uvumilivu umemshinda kila aonapo sura ya Bieber popote na hata majuzi alimng’ang’ania sana staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

LULU AWAJIBU WANAOSEMA HAWEZI KUMPATA JUSTIN BIEBER

Muigizaji wa filamu nchini Elizabeth Michael 'Lulu'. Muigizaji  wa filamu Elizabeth Michael 'Lulu' anaendelea kuonesha hisia zake kwa Justin Bieber na sasa ameeleza kuwa atakuwa anamuandikia ujumbe kila Jumatatu. Kupitia Instagram, Lulu amepost picha ya Justin Bieber akiwa kifua wazi akipiga kinanda na kuandika ujumbe akiwajibu wale wanaodai kuwa anaota ndoto za mchana na kwamba hatampata. “Mapemaaaa...Kabla cku...

 

9 years ago

Mtanzania

Selena Gomez: Bado nampenda Justin Bieber

SelenaNEW YORK, MAREKANI

MWANAMUZIKI maarufu nchini Marekani, Selena Gomez, ameibuka na kudai kwamba bado anampenda aliyekuwa mpenzi wake ambaye ni mwanamuziki wa RnB, Justin Beiber.

Wawili hao walianza uhusiano mwaka 2011, lakini miaka mitatu baadaye waliachana.

Hata hivyo, japokuwa wameachana, lakini mrembo huyo amesisitiza kuwa ataendelea kumpenda msanii huyo kwa kuwa alimzoea na wamekuwa wote tangu wakiwa wadogo.

“Siwezi kuzuia hisia zangu kwa Beiber, nitaendelea kumpenda milele kwa kuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe wa Lulu kwa Mama yake

“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)

Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!

Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.

Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...

 

10 years ago

Bongo Movies

LULU:Mbali ya Kunizaa Kwa Uchungu, Ulizibeba Aibu Zangu...Ujumbe Mzito wa Lulu kwa Mama Yake

“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)

Kwanza nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia hilo sana..!

Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa naumia na kujuta sana baada Ya kujua kosa langu.

Licha Ya uchungu uliopata kwa kunizaa na kunilea upo wakati...

 

10 years ago

BBCSwahili

Muziki wa zamani bado ni lulu DRC

Wanamuziki wa kizazi kipya nchini Congo, wageukia muziki wa zamani kurudisha heshima ya muziki huo tena

 

10 years ago

GPL

LULU BADO AMTESA MAMA KANUMBA

Gladness Mallya MAMA mzazi wa aliyekuwa staa wa filamu, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa, bado anateswa na Elizabeth Michael kufuatia maandishi yake kwenye mitandao ya kijamii katika siku ambayo ilikuwa ni kumbukumbu ya kifo cha mwanaye. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1JTxcRT

 

11 years ago

BBCSwahili

Bieber aadhibiwa kwa kufanya uharibifu

Mwanamuziki maarufu wa Marekani Justin Bieber amekiri kosa la kufanya uharibifu katika nyumba ya jirani yake.

 

11 years ago

GPL

JUSTIN BIEBER ASHTAKIWA KWA KUMPIGA DEREVA

Justin Bieber akifikishwa katika kituo cha polisi cha Toronto.
MWANAMUZIKI mahiri wa muziki wa Pop kutoka Canada, Justin Bieber amefunguliwa mashtaka kwa kumpiga dereva wa gari la kifahari la kukodisha mwezi Desemba mwaka jana. Bieber mwenye umri wa miaka 19 alikaribishwa katika kituo cha polisi cha Toronto na kikosi kikubwa cha wapiga picha za televisheni pamoja na mashabiki wake. Amefunguliwa mashtaka ikiwa ni ndani ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani