Muziki wa zamani bado ni lulu DRC
Wanamuziki wa kizazi kipya nchini Congo, wageukia muziki wa zamani kurudisha heshima ya muziki huo tena
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo520 Oct
Nikki Wa Pili: Nguvu ya muziki wa nyumbani bado imeonekana ni kubwa zaidi ya muziki wa kigeni
Msemaji wa kundi la Weusi Nickson Simon a.k.a Nikki Wa Pili ni miongoni mwa wasanii waliopanda kwenye jukwaa la Fiesta 2014 kwenye viwanja vya Leaders, Dar Jumamosi October 18 akiwa na Joh Makini, Lord Eyez na G-Nako. Nikki ambaye pia hakupitwa na show za wasanii wengine alikuwa na machache ya kusema kwa kile alichokiona kwenye […]
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
DRC:Wapiganaji wa zamani wafa njaa
Huma Rights Watch linasema zaidi ya watu mia moja wamefariki kutokana na njaa pamoja na maradhi katika kambi moja ya kijeshi
10 years ago
BBCSwahili17 Jul
Muziki wa kizazi kipya DRC.
Mwanamuziki wa kizazi kipya mashariki mwa Congo ameanzisha kampeni kuinusuru jamii.
10 years ago
BBCSwahili12 Dec
Je muziki wa DRC umepoteza ladha?
Kuna hofu kwamba mzuiki uliozoewa na wengi wenye ladha taamu unaanza kutoweka na muziki usio na maadili kuchukua nafasi yake
10 years ago
GPLTAMASHA LA MUZIKI WA ZAMANI KUFANYIKA MEI 30, MWAKA HUU
Ofisa uhusiano wa kampuni ya Ak'Omungoma (APAO) Louis Sendeu akieleza jambo kwa waandishi wa habari hawapo pichani(kushoto kwake) Masoud Masoud mmoja wa waratibu wa onyesho hilo. Msanii mkongwe wa muziki wa dansi nchini Ismail Issa Michuzi akisikiliza kwa makini. Msanii Ismail Issa Michuzi akitoa kionjo cha wimbo wa siwema kwa waandishi wa… ...
11 years ago
Tanzania Daima24 Jan
KIAMUANGANA MATETA ‘VERCKYS’: Gwiji lililomudu muziki na biashara DRC
HISTORIA ya muziki katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), haiwezi kukamilika iwapo halitatajwa jina la mwanamuziki Kiamuangana Mateta maarufu ‘Verckys’. Kiamuangana, alijijengea umaarufu katika muziki akiwa mpulizaji mashuhuri wa...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/4bIsJDjFjL5JU69qxEbegbU*WuCLo7t03hdTGZXW01MxB8K5G1rdqL6Cz0hur19HsgTAkblnAlAkD7iUUxG41OTLfFx9q9jS/lulu1.jpg?width=650)
LULU BADO HAJIWEZI KWA BIEBER
STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael amesema kuwa bado anateswa na penzi la staa wa muziki wa Pop, Justin Bieber na kwamba yupo tayari hata kuchukuliwa bure. Staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael 'Lulu'. Chanzo makini kiliitonya Amani kuwa, staa huyo uvumilivu umemshinda kila aonapo sura ya Bieber popote na hata majuzi alimng’ang’ania sana staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkibaidcqclwn0I2pZMATIaubA4iZ6oNAhmm8znFxh0pWEPVWCXY1511bGa-hGjUmS-zvQbEQg8dE2ilGJqaN6Z/Lulu.gif?width=650)
LULU BADO AMTESA MAMA KANUMBA
Gladness Mallya MAMA mzazi wa aliyekuwa staa wa filamu, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa, bado anateswa na Elizabeth Michael kufuatia maandishi yake kwenye mitandao ya kijamii katika siku ambayo ilikuwa ni kumbukumbu ya kifo cha mwanaye. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1JTxcRT
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania