Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Muziki wa zamani bado ni lulu DRC

Wanamuziki wa kizazi kipya nchini Congo, wageukia muziki wa zamani kurudisha heshima ya muziki huo tena

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo5

Nikki Wa Pili: Nguvu ya muziki wa nyumbani bado imeonekana ni kubwa zaidi ya muziki wa kigeni

Msemaji wa kundi la Weusi Nickson Simon a.k.a Nikki Wa Pili ni miongoni mwa wasanii waliopanda kwenye jukwaa la Fiesta 2014 kwenye viwanja vya Leaders, Dar Jumamosi October 18 akiwa na Joh Makini, Lord Eyez na G-Nako. Nikki ambaye pia hakupitwa na show za wasanii wengine alikuwa na machache ya kusema kwa kile alichokiona kwenye […]

 

10 years ago

BBCSwahili

DRC:Wapiganaji wa zamani wafa njaa

Huma Rights Watch linasema zaidi ya watu mia moja wamefariki kutokana na njaa pamoja na maradhi katika kambi moja ya kijeshi

 

10 years ago

BBCSwahili

Muziki wa kizazi kipya DRC.

Mwanamuziki wa kizazi kipya mashariki mwa Congo ameanzisha kampeni kuinusuru jamii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Je muziki wa DRC umepoteza ladha?

Kuna hofu kwamba mzuiki uliozoewa na wengi wenye ladha taamu unaanza kutoweka na muziki usio na maadili kuchukua nafasi yake

 

10 years ago

GPL

TAMASHA LA MUZIKI WA ZAMANI KUFANYIKA MEI 30, MWAKA HUU

Ofisa uhusiano wa kampuni ya  Ak'Omungoma (APAO) Louis Sendeu akieleza jambo kwa waandishi wa habari hawapo pichani(kushoto kwake) Masoud Masoud mmoja wa waratibu wa onyesho hilo. Msanii mkongwe wa muziki wa dansi nchini Ismail Issa Michuzi akisikiliza kwa makini. Msanii Ismail Issa Michuzi akitoa kionjo cha wimbo wa siwema kwa waandishi wa… ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

KIAMUANGANA MATETA ‘VERCKYS’: Gwiji lililomudu muziki na biashara DRC

HISTORIA ya muziki katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), haiwezi kukamilika iwapo halitatajwa jina la mwanamuziki Kiamuangana Mateta maarufu ‘Verckys’. Kiamuangana, alijijengea umaarufu katika muziki akiwa mpulizaji mashuhuri wa...

 

9 years ago

GPL

LULU BADO HAJIWEZI KWA BIEBER

STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael amesema kuwa bado anateswa na penzi la staa wa muziki wa Pop, Justin Bieber na kwamba yupo tayari hata kuchukuliwa bure. Staa wa filamu Bongo, Elizabeth Michael 'Lulu'. Chanzo makini kiliitonya Amani kuwa, staa huyo uvumilivu umemshinda kila aonapo sura ya Bieber popote na hata majuzi alimng’ang’ania sana staa wa muziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’...

 

10 years ago

GPL

LULU BADO AMTESA MAMA KANUMBA

Gladness Mallya MAMA mzazi wa aliyekuwa staa wa filamu, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa, bado anateswa na Elizabeth Michael kufuatia maandishi yake kwenye mitandao ya kijamii katika siku ambayo ilikuwa ni kumbukumbu ya kifo cha mwanaye. ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1JTxcRT

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani