Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Je muziki wa DRC umepoteza ladha?

Kuna hofu kwamba mzuiki uliozoewa na wengi wenye ladha taamu unaanza kutoweka na muziki usio na maadili kuchukua nafasi yake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Muziki wa kizazi kipya DRC.

Mwanamuziki wa kizazi kipya mashariki mwa Congo ameanzisha kampeni kuinusuru jamii.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muziki wa zamani bado ni lulu DRC

Wanamuziki wa kizazi kipya nchini Congo, wageukia muziki wa zamani kurudisha heshima ya muziki huo tena

 

11 years ago

Tanzania Daima

KIAMUANGANA MATETA ‘VERCKYS’: Gwiji lililomudu muziki na biashara DRC

HISTORIA ya muziki katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), haiwezi kukamilika iwapo halitatajwa jina la mwanamuziki Kiamuangana Mateta maarufu ‘Verckys’. Kiamuangana, alijijengea umaarufu katika muziki akiwa mpulizaji mashuhuri wa...

 

9 years ago

Vijimambo

MREMA ASEMA UKAWA UMEPOTEZA MWELEKEO

Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha TLP , Augustino Lyatonga Mrema
Mwenyekiti wa taifa wa TLP Augustine Mrema amewatahadharisha watanzania kuwa macho juu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao umepoteza mwelekeo na kuyumba kisiasa na kudai kuwa hawafai kuingia ikulu na kuongoza nchi.Mrema ametoa tahadhari katika eneo la njiapanda baada ya kurejea ofisi ya msimamizi wa uchaguzi wilaya ya Moshi kuchukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Vunjo huku akisindikizwa na wafuasi wake.Amesema,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mnara wa Azimio la Arusha ‘umepoteza’ historia yake

Ukifika katikati ya Jiji la Arusha, utakutana na mnara wa kumbukumbu ya mahali ambako Azimio la Arusha liliasisiwa na kuzaliwa mnamo mwaka 1967 chini ya Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere.

 

11 years ago

BBCSwahili

NACADA yaharamisha ladha za Shisha

Shirika la kupambana na dawa za kulevya nchini Kenya limeharamisha ladha 19 za Shisha ikisema zinachanganywa na

 

10 years ago

GPL

MPANGILIO WA CHACHANDU HUONGEZA LADHA YA CHAKULA

Aka babu acha nicheke miye, Mungu kanipa uzima na afya tena yenye furaha mdomoni meno  ya sebuleni yapo, katikati mwanya wa uchokozi pembeni kidogo jino la dhahabu kwa nini nisicheke kuonesha nilichonacho. Najua mwenye mapengo anaona kama sikumtendea haki, jamani kucheka si lazima uwe na meno hata ukiwa huna meno we cheka tu tena jiachie mate yakiruka waombe msamaha kwani raha ya kucheka ufurahishwe.
Basi ngoja nikupashe...

 

10 years ago

Michuzi

Libeneke jipya: Misosi — Jirambe na ladha ya maisha

Habari Ankal Michuzi,

Bila shaka wewe ni bukheri wa afya. Nakupongeza kwa kazi adhimu ya kulihabarisha taifa. Basi na mimi bila kusita naomba kupitia kwenye globu hii maarufu ya jamii nipate kuwahabarisha watanzania wote wanaopenda maisha juu ya libeneke jipya la maakuli.

Nina furaha na shauku kubwa ya kuwaambia watanzania wenzangu kuwa tunawaletea libeneke jipya la Misosi – Ladha ya Maisha. Libeneke la http://www.misosi.co.tz/home ni maalumu kwa kupata habari za mapishi pamoja na kutafuta...

 

10 years ago

Vijimambo

WANAHABARI WASHINDANA KUTAMBUA LADHA ZA BIA ZA TBL, DAR

 Meneja uzalishaji wa TBL, Bw. Charles Nkondola akikabidhi zawadi ya bia aina ya Kilimanjaro Twist kwa mshindi wa tatu wa kutambua aina ya ladha ya Bia za  Kampuni ya Bia Tanzania (TB)L, Aloyce Ndeileko wa This Day, iliyofantika Dar es Salaam mwishoni mwa wiki Wanahabari wakisikiliza kwa makini masharti ya ushindi ya muomnjaji bora wa ladha za bia za TBL Mpishi Mkuu / Brew Master Kiwanda cha Bia cha TBL, Dar es Salaam, Bw. Benjamin Budigila (kulia), akitoa maelezo kwa waandishi wa habari...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani