MREMA ASEMA UKAWA UMEPOTEZA MWELEKEO
![](http://1.bp.blogspot.com/-2rrRSDPm1zA/Vc3nRHhMVKI/AAAAAAABT04/90bgzumt430/s72-c/IMG_7835.jpg)
Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha TLP , Augustino Lyatonga Mrema
Mwenyekiti wa taifa wa TLP Augustine Mrema amewatahadharisha watanzania kuwa macho juu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao umepoteza mwelekeo na kuyumba kisiasa na kudai kuwa hawafai kuingia ikulu na kuongoza nchi.Mrema ametoa tahadhari katika eneo la njiapanda baada ya kurejea ofisi ya msimamizi wa uchaguzi wilaya ya Moshi kuchukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Vunjo huku akisindikizwa na wafuasi wake.Amesema,...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Ukawa wamepoteza mwelekeo-Warioba
MWENYEKITI wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema Umoja wa Katib
Mwandishi Wetu
9 years ago
Mzalendo Zanzibar05 Oct
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo
Kwa maelezo zaidi Bonyeza vidio
The post Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Habarileo02 Dec
Mrema asema hajutii kumnadi Rais Magufuli
MWENYEKITI wa Taifa wa chama cha siasa cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema amesema hakufanya makosa na wala hajutii kumnadi Rais John Magufuli kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa sababu alitambua Watanzania wamelamba dume la maendeleo.
10 years ago
Mwananchi21 Dec
Mwelekeo mpya; Ukawa wasema serikali ya mseto inanukia 2015
11 years ago
Mwananchi31 Jul
JOTO 2015: Mrema asema yuko tayari kumkabili Mbatia
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Ukawa wamvuruga Mrema wa TLP
Na Safina Sarwatt, Moshi
MWENYEKITI wa Chama Cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustine Mrema, amesema mgombea urais wa Ukawa kupitia Chadema, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa hana ubavu wa kushinda katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu.
Alisema mgombea huyo kupitia Ukawa hawezi kushinda nafasi hiyo kwa kuwa hana uzoefu na siasa za upinzani na ni CCM “B”.
Mrema aliyasema hayo jana katika ufunguzi wa kampeni ya mgombea urais wa TLP, Maximillan Lyimo, iliyofanyika...
11 years ago
Daily News11 Aug
Now Mrema accuses Ukawa of plotting to oust him
Daily News
Daily News
VUNJO Legislator, Mr Augustine Mrema, has expressed concern that some members of the Coalition of Defenders of a People's Constitution, popularly known as UKAWA, are plotting to oust him from the constituency in elections slated for next year. Speaking ...
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Mrema awatambia Ukawa, amwonya Mbatia
10 years ago
Daily News12 Aug
Mrema spits fire over Ukawa's prejudice
Daily News
TANZANIA Labour Party (TLP) Chairman Mr Augustine Mrema has criticised the Coalition for Four Parties (Ukawa) for sidelining him. Mr Mrema, who will battle with Ukawa Co-Chairman Mr James Mbatia to win the Vunjo parliamentary seat, said “there's no ...