Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MREMA ASEMA UKAWA UMEPOTEZA MWELEKEO

Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha TLP , Augustino Lyatonga Mrema
Mwenyekiti wa taifa wa TLP Augustine Mrema amewatahadharisha watanzania kuwa macho juu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao umepoteza mwelekeo na kuyumba kisiasa na kudai kuwa hawafai kuingia ikulu na kuongoza nchi.Mrema ametoa tahadhari katika eneo la njiapanda baada ya kurejea ofisi ya msimamizi wa uchaguzi wilaya ya Moshi kuchukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Vunjo huku akisindikizwa na wafuasi wake.Amesema,...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

Ukawa wamepoteza mwelekeo-Warioba

MWENYEKITI wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema Umoja wa Katib

Mwandishi Wetu

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo

Kwa maelezo zaidi Bonyeza vidio

The post Mzee Kingunge Ngombale Mwiru Ajiondoa CCM……Asema chama Kimepoteza Mwelekeo appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Habarileo

Mrema asema hajutii kumnadi Rais Magufuli

MWENYEKITI wa Taifa wa chama cha siasa cha Tanzania Labour (TLP), Augustine Mrema amesema hakufanya makosa na wala hajutii kumnadi Rais John Magufuli kwenye kampeni za Uchaguzi Mkuu kwa sababu alitambua Watanzania wamelamba dume la maendeleo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwelekeo mpya; Ukawa wasema serikali ya mseto inanukia 2015

Matokeo ya awali ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika nchi kote hivi karibuni yanaonyesha kuwa wananchi wamebadilisha mitazamo yao dhidi ya vyama vya siasa na hivyo kutoa picha mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

JOTO 2015: Mrema asema yuko tayari kumkabili Mbatia

Mbunge wa Vunjo, Augustino Mrema (TLP) amesema amejiandaa kuingia ‘vitani’ na Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, James Mbatia ambaye ametangaza kuwania ubunge katika jimbo hilo, mwaka 2015.

 

9 years ago

Mtanzania

Ukawa wamvuruga Mrema wa TLP

mremaNa Safina Sarwatt, Moshi

MWENYEKITI wa Chama Cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustine Mrema, amesema mgombea urais wa Ukawa kupitia Chadema, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa hana ubavu wa kushinda katika kinyang’anyiro cha Uchaguzi Mkuu Oktoba 25 mwaka huu.

Alisema mgombea huyo kupitia  Ukawa hawezi kushinda nafasi hiyo kwa kuwa hana uzoefu na siasa za upinzani na ni CCM “B”.

Mrema aliyasema hayo jana katika ufunguzi wa kampeni ya mgombea urais wa TLP, Maximillan Lyimo, iliyofanyika...

 

11 years ago

Daily News

Now Mrema accuses Ukawa of plotting to oust him


Daily News
Now Mrema accuses Ukawa of plotting to oust him
Daily News
VUNJO Legislator, Mr Augustine Mrema, has expressed concern that some members of the Coalition of Defenders of a People's Constitution, popularly known as UKAWA, are plotting to oust him from the constituency in elections slated for next year. Speaking ...

 

11 years ago

Mwananchi

Mrema awatambia Ukawa, amwonya Mbatia

Mbunge wa Vunjo, Augustine Mrema (TLP) amedai kitendo cha yeye kubaki kwenye Bunge Maalumu la Katiba kumetumiwa vibaya na wahasimu wake wa kisiasa jimboni kwake.

 

10 years ago

Daily News

Mrema spits fire over Ukawa's prejudice


Mrema spits fire over Ukawa's prejudice
Daily News
TANZANIA Labour Party (TLP) Chairman Mr Augustine Mrema has criticised the Coalition for Four Parties (Ukawa) for sidelining him. Mr Mrema, who will battle with Ukawa Co-Chairman Mr James Mbatia to win the Vunjo parliamentary seat, said “there's no ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani