Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa wamepoteza mwelekeo-Warioba

MWENYEKITI wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema Umoja wa Katib

Mwandishi Wetu

Raia Mwema

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

MREMA ASEMA UKAWA UMEPOTEZA MWELEKEO

Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha TLP , Augustino Lyatonga Mrema
Mwenyekiti wa taifa wa TLP Augustine Mrema amewatahadharisha watanzania kuwa macho juu ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) ambao umepoteza mwelekeo na kuyumba kisiasa na kudai kuwa hawafai kuingia ikulu na kuongoza nchi.Mrema ametoa tahadhari katika eneo la njiapanda baada ya kurejea ofisi ya msimamizi wa uchaguzi wilaya ya Moshi kuchukua fomu za kugombea ubunge katika jimbo la Vunjo huku akisindikizwa na wafuasi wake.Amesema,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwelekeo mpya; Ukawa wasema serikali ya mseto inanukia 2015

Matokeo ya awali ya Uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliofanyika nchi kote hivi karibuni yanaonyesha kuwa wananchi wamebadilisha mitazamo yao dhidi ya vyama vya siasa na hivyo kutoa picha mpya kuelekea Uchaguzi Mkuu mwaka 2015.

 

11 years ago

Mwananchi

Warioba azishukia Ukawa, CCM

Dar es Salaam. Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amewashauri wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na CCM kuacha kuzunguka mikoani kufanya mikutano inayoeleza misimamo yao kuhusu mchakato wa Katiba Mpya kwa kuwa haina tija kwa taifa.

 

10 years ago

TheCitizen

Ukawa, Warioba and CA victors: Is the battle over?

>It was a time for celebration and a feeling of victory for Members of the Constituent Assembly (MCAs) yesterday in Dodoma. Many MCAs, especially those who voted “Yes” for the Draft, must have believed the battle for the new Constitution is now over, but it is not.

 

9 years ago

Habarileo

Warioba afichua siri ya Ukawa

ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amefichua siri ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), akisema vilikwamisha mchakato huo ili baadaye viingize vipengele vyao wakiingia madarakani.

 

11 years ago

Mwananchi

Kinana: Msiwajadili Warioba, Ukawa

Katika jitihada za kuliepusha Bunge la Katiba kupoteza mwelekeo, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wajumbe wake kuacha kumjadili mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) waliosusia vikao vya Bunge hilo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa waeleza sababu za ‘kumzuia’ Warioba

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alipata jaribio la kwanza baada ya baadhi ya wajumbe kupinga kuruhusiwa kwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuwasilisha Rasimu ya Katiba kwa madai ya ukiukwaji wa kanuni za Bunge.

 

11 years ago

TheCitizen

Warioba warns CCM, Ukawa on rallies

Former Constitution Review Commission chairman Joseph Warioba yesterday cautioned against the holding of political rallies linked to the writing of a new constitution.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kivuli cha UKAWA, Warioba bungeni

PAMOJA na Bunge Maalum la Katiba kumaliza kazi yake ya kuandika Katiba inayopendekezwa ambayo inatarajiwa kukabidhiwa kwa marais Jakaya Kikwete na Dk. Ali Mohamed Shein kesho, majina ya UKAWA na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani