Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ukawa waeleza sababu za ‘kumzuia’ Warioba

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alipata jaribio la kwanza baada ya baadhi ya wajumbe kupinga kuruhusiwa kwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba kuwasilisha Rasimu ya Katiba kwa madai ya ukiukwaji wa kanuni za Bunge.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waeleza sababu za kufukuzwa kazi

Makocha wa timu za Ligi Kuu ambao ajira zao zilisitishwa wakati msimu ukiendelea au baada ya kumalizika wamefunguka na kueleza sababu tatu zilizowaondoa kuendelea kuzitumikia klabu zao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafanyabiashara waeleza sababu za kukwama

WAFANYABIASHARA wadogo nchini wametaja sababu zinazowakwamisha katika biashara zao kuwa ni riba kubwa inayotozwa na mabenki, ukosefu wa masoko na kodi zisizofuata utaratibu. Wakizungumza katika semina iliyoandaliwa na kampuni inayojihusisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Waeleza sababu Mtikila kupigwa

>Polisi Mkoa wa Temeke, wamesema kuwa chanzo cha Kiongozi wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila kupigwa, kimesababishwa na  mgogoro wa ardhi wa viwanja vya Tom Estate vilivyopo eneo la Kurasini.

 

11 years ago

Habarileo

Waeleza sababu za kushindwa KKK

KUTOJUA misingi ya Stadi za Kusoma, Kuandika na Kuhesabu (KKK), kumeelezwa ni moja ya sababu kubwa inayowafanya wanafunzi wengi kushindwa masomo yao.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasomi waeleza sababu mawaziri kuanguka

Wasomi nchini wametoa maoni tofauti kuhusu kuanguka kwa baadhi ya mawaziri na wabunge maarufu, kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka huu, kwamba hali hiyo inadhihirisha wananchi wanataka mabadiliko kwenye utendaji.

 

10 years ago

Mwananchi

Wamiliki wa mabasi waeleza sababu za ajali barabarani

Chama cha Wamiliki wa Mabasi Tanzania (Taboa), kimesema kutosimamiwa vizuri kwa ratiba za mabasi za kuondoka eneo moja kwenda lingine, ni miongoni mwa mambo yanayochangia ajali za barabarani kutokana na madereva kukimbizana.

 

9 years ago

Bongo5

Weusi waeleza sababu za kwanini mwaka huu hawajatoa kazi ya kundi

Weusi

Kundi la Weusi linaloundwa na Nikki Wa Pili, G-Nako, Joh Makini, Lord Eyez na Bonta limeeleza sababu za kwanini mwaka huu hawajatoa wimbo wowote wa kundi, mbali na single za mmoja mmoja ambazo hata hivyo kila mmoja zimemsaidia kumuweka pazuri zaidi.

Weusi

Baadhi ya nyimbo walizotoa Weusi kama msanii mmoja mmoja mwaka huu ni kama Joh Makini ametoa Nusu Nusu na Don’t Bother, Nikki Wa Pili ametoa Safari na Baba Swalehe, G- Nako ametoa Laini na anatarajia kuachia wimbo mpya Original, Bonta pia...

 

9 years ago

Bongo5

Yamoto Band waeleza sababu ya kuchelewa kutoka kwa video waliyofanya na God Father

Yamoto Band wamesema walikabidhiwa video ya wimbo wake Cheza Kimadoido na muongozaji wa Afrika Kusini Godfather lakini waliomba ifanyiwe marekebisho kadhaa ndio maana imechelewa kutoka. Akizungumza na Clouds E ya Clouds TV, mmoja kati ya wasanii wanaounda kundi hilo, Maromboso amesema kwa sasa video hiyo imekamilika. “Video ilikuja mara ya kwanza lakini tukasema hapana mbona […]

 

10 years ago

TheCitizen

Ukawa, Warioba and CA victors: Is the battle over?

>It was a time for celebration and a feeling of victory for Members of the Constituent Assembly (MCAs) yesterday in Dodoma. Many MCAs, especially those who voted “Yes” for the Draft, must have believed the battle for the new Constitution is now over, but it is not.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani