Kinana: Msiwajadili Warioba, Ukawa
Katika jitihada za kuliepusha Bunge la Katiba kupoteza mwelekeo, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimewataka wajumbe wake kuacha kumjadili mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba na wajumbe wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) waliosusia vikao vya Bunge hilo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo04 Apr
Kinana:Tume ya Warioba haikujibu maswali mengi
RASIMU ya Katiba mpya imeendelea kuchambuliwa, ikidaiwa imeacha maswali mengi hasa katika msingi mzima wa muundo wa muungano wa serikali tatu. Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana, amesema Tume ya Marekebisho ya Katiba iliyomaliza muda wake hivi karibuni, taarifa yao katika suala la uundaji serikali, inahitaji maelezo zaidi.
9 years ago
Raia Mwema23 Sep
Ukawa wamepoteza mwelekeo-Warioba
MWENYEKITI wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba, amesema Umoja wa Katib
Mwandishi Wetu
10 years ago
TheCitizen03 Oct
Ukawa, Warioba and CA victors: Is the battle over?
9 years ago
Habarileo12 Sep
Warioba afichua siri ya Ukawa
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amefichua siri ya vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), akisema vilikwamisha mchakato huo ili baadaye viingize vipengele vyao wakiingia madarakani.
11 years ago
Mwananchi06 Jun
Warioba azishukia Ukawa, CCM
9 years ago
Raia Mwema10 Sep
Siri ya Warioba, Ukawa hii hapa
WAZIRI Mkuu wa zamani, Jaji Joseph Warioba na mwenzake katika wadhifa huo kwa nyakati tofauti za
Mwandishi Wetu
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Kivuli cha UKAWA, Warioba bungeni
PAMOJA na Bunge Maalum la Katiba kumaliza kazi yake ya kuandika Katiba inayopendekezwa ambayo inatarajiwa kukabidhiwa kwa marais Jakaya Kikwete na Dk. Ali Mohamed Shein kesho, majina ya UKAWA na...
11 years ago
TheCitizen06 Jun
Warioba warns CCM, Ukawa on rallies
11 years ago
Mwananchi18 Mar
Ukawa waeleza sababu za ‘kumzuia’ Warioba