Kinana:Tume ya Warioba haikujibu maswali mengi
RASIMU ya Katiba mpya imeendelea kuchambuliwa, ikidaiwa imeacha maswali mengi hasa katika msingi mzima wa muundo wa muungano wa serikali tatu. Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana, amesema Tume ya Marekebisho ya Katiba iliyomaliza muda wake hivi karibuni, taarifa yao katika suala la uundaji serikali, inahitaji maelezo zaidi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi04 Oct
Warioba: Katiba bado ina maswali mengi
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Westgate:Maswali mengi hayajapata majibu
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Maswali ni mengi juu ya Rashid Mberesero
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
‘Katiba ya Sitta imejaa ubabe, maswali mengi’
WANAHARAKATI nchini wamesema pamoja na Rais kupokea Katiba iliyopendekezwa, bado wanaona ni ya kibabe huku ikiacha maswali mengi kwa watanzania. Akizungumza na Tanzania Daima, Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na...
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Maswali mengi kuliko majibu mpaka lini?
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Maswali mengi wakati Ligi Kuu ikianza tena
11 years ago
Mwananchi24 Apr
Maswali saba ya Jaji Warioba
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Live huyu hapa Ngeleja: Hotuba yake yajibu maswali mengi ya wananchi
![](http://3.bp.blogspot.com/-mxAuUvOxUUU/VXBqbV0X5BI/AAAAAAABOnY/IQNFJzwn90E/s640/0.1ngeleja%2Batangaza%2Bnia5.jpg)
Mbio za Uraisi
Mbunge wa Jimbo la Sengerema na aliyewahi kuwa Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja amekanusha taarifa za kukutwa na tuhuma za ufisadi uliopelekea kuvuliwa uwaziri.
![](http://4.bp.blogspot.com/-nnGRr9YI2e8/VXBqcB6QRXI/AAAAAAABOnc/YggpuAxJHuE/s640/0.1ngeleja%2Batangaza%2Bnia.jpg)
Akizungumza wakati wa kutangaza rasmi nia ya kuwania urais, Ngeleja amesema wananchi wengi wamekuwa wakidhani kuwa aliondolewa katika wadhifa huo kwa kutumia madaraka vibaya jambo ambalo si sahihi.
Ameongeza utaratibu uliofanyika kumuondoa ni utaratibu wa kawaida na kuwa unaweza kutumika hata bila ya...