Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Warioba: Katiba bado ina maswali mengi

>Siku moja baada ya Bunge Maalumu la Katiba kupitisha Katiba inayopendekezwa, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema Katiba hiyo bado ina maswali mengi kuliko majibu, hasa katika muungano na mgombea binafsi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Kinana:Tume ya Warioba haikujibu maswali mengi

RASIMU ya Katiba mpya imeendelea kuchambuliwa, ikidaiwa imeacha maswali mengi hasa katika msingi mzima wa muundo wa muungano wa serikali tatu. Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana, amesema Tume ya Marekebisho ya Katiba iliyomaliza muda wake hivi karibuni, taarifa yao katika suala la uundaji serikali, inahitaji maelezo zaidi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Katiba ya Sitta imejaa ubabe, maswali mengi’

WANAHARAKATI nchini wamesema pamoja na Rais kupokea Katiba iliyopendekezwa, bado wanaona ni ya kibabe huku ikiacha maswali mengi kwa watanzania. Akizungumza na Tanzania Daima, Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maswali ni mengi juu ya Rashid Mberesero

Wiki mbili baada shambulio la chuo kikuu Garissa,maswali bado hayana majibu kuhusu mmoja wa watuhumiwa Rashid Mberesero

 

11 years ago

BBCSwahili

Westgate:Maswali mengi hayajapata majibu

Huku wakenya wakiadhimisha mwaka 1 tangu shambulizi la Westgate ,Maswali mengi hayajapata majibu .

 

10 years ago

Mwananchi

TRL ina mengi ya kujifunza, haipaswi kurudia kosa - (2)

Wiki iliyopita, tuliangalia hali ilivyokuwa ndani ya lililokuwa Shirika la Reli Tanzania (TRC) na hali halisi iliyoifanya Serikali kuamua kubinafsisha na ikaundwa Kampuni ya Reli Tanzania (TRL).

 

5 years ago

Michuzi

SIMIYU INA FURSA YA KUZALISHA MAZAO MENGI YA BIASHARA


Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Anthony Mtaka (aliyesimama) akiongea na Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Gerald Kusaya ( aliyekaa kulia) wakati wa kikao cha wadau wa zao la pamba mjini Simiyu leo.
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akinawa mikono kwa maji na dawa alipowasili katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu kuanza ziara ya kukagua shughuli zinazofanywa na wizara ya kilimo
Katibu Mkuu wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ( aliyevaa tai) akitoa maelekezo kwa Maj.E. Buberwa msimamizi wa...

 

11 years ago

Habarileo

Muhongo: Tanzania ina mengi ya kuiga kwa Algeria

WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema Tanzania ina mambo mengi ya kuiga kutoka nchi ya Algeria, hasa eneo la uchimbaji wa madini mafuta na gesi huku akiwataka wananchi kukubali mabadiliko ili kufikia eneo walipofikia wenzetu.

 

11 years ago

Mwananchi

Maswali mengi kuliko majibu mpaka lini?

Ikifikia wakati kila uamkapo asubuhi unajikuta na maswali mengi ya kujiuliza kuhusu maisha kuliko majibu, hapana shaka kitakachofuata ni kuchanganyikiwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Maswali mengi wakati Ligi Kuu ikianza tena

Ligi kuu ya soka Tanzania Bara inaendelea leo baada ya kusimama kwa siku 46 kupisha mechi ya kirafiki za kalenda ya Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) na michuano ya Kombe la Chalenji ambayo mpaka leo haijafanyika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani