Maswali mengi kuliko majibu mpaka lini?
Ikifikia wakati kila uamkapo asubuhi unajikuta na maswali mengi ya kujiuliza kuhusu maisha kuliko majibu, hapana shaka kitakachofuata ni kuchanganyikiwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Westgate:Maswali mengi hayajapata majibu
11 years ago
Dewji Blog11 Apr
Dakika 20 zilizompa maswali na majibu Kinana alipotembelea mpaka wa Tanzania na Burundi
.Asimama kwa dakika 20 kuangalia shughuli za kila siku mpakani mwa Tanzania na Burundi, ajiuliza maswali mengi na kupata majibu, atoa ushauri kwa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe.
.Ajionea maisha halisi ya watu wa mpakani mwa Tanzania na Burundi
.Ashindwa kuelewa kwa nini soko la mifugo lilikufa
.Ashangaa viongozi kutokuwa wabunifu hasa katika fursa zinazoweza kuwasaidia wananchi
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa amesimama mpakani mwa Tanzania na Burundi katika kijiji...
9 years ago
Raia Tanzania21 Aug
Aibu hii Dar mpaka lini?
TAKRIBAN watu watano wameripotiwa kufa kwa ugonjwa wa kipindupindu wilayani Kinondoni, Dar es Salaam, huku wengine 34 wakiugua ugonjwa huo.
Kwa mujibu wa taarifa, wagonjwa hao wanatoka maeneo ya Kijitonyama, Kimara, Manzese, Tandale, Saranga, Makumbusho, Kimara na Mwananyamala.
Imezoeleka ugonjwa huu kuibuka wakati wa msimu wa mvua kutokana na mazingira kwa kipindi hicho kuwa machafu kwa sababu ya majitaka yanayozagaa ovyo mitaani.
Hata hivyo, kipindupindu ni ugonjwa...
10 years ago
Tanzania Daima13 Nov
Tutakuwa nchi ya walalamikaji mpaka lini?
JUZI Naibu Spika, Job Ndugai, aliitaka Serikali kushughulikia suala la mauaji ya Kiteto yanayotokea mara kwa mara kiasi cha kulifananisha eneo hilo na nchi ya Somalia. Somalia ni miongoni mwa...
11 years ago
Mwananchi20 Dec
Maswali na majibu kuhusu UKIMWI (2)
11 years ago
Mwananchi13 Dec
Maswali na majibu kuhusu UKIMWI
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/9aVgBoLLOB4/default.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-luNvo-vfSn0/Xmxl2c0ZmnI/AAAAAAALjCI/sWgRKabSKi0ipDKow8lrBZJtzbvvVlCaQCLcBGAsYHQ/s72-c/_111247965_d8a8f299-0594-42be-844a-418eb9c02711.jpg)
Majibu ya maswali 10 yanayoulizwa sana kuhusu coronavirus
![](https://1.bp.blogspot.com/-luNvo-vfSn0/Xmxl2c0ZmnI/AAAAAAALjCI/sWgRKabSKi0ipDKow8lrBZJtzbvvVlCaQCLcBGAsYHQ/s640/_111247965_d8a8f299-0594-42be-844a-418eb9c02711.jpg)
Yafuatayo ni majibu ya baadhi ya maswali ambayo wasomaji wamekua wakiyauliza.
1. Je inachukua kipindi gani mpaka mtu afahamike kuwa na coronavirus? - Swali lililoulizwa na Gillian Gibs
Inachukua siku tano kwa wastani kuanza kuonesha dalili, tangu mtu apate maambukizi, wanasayansi wamesema, lakini baadhi ya watu huanza kuonesha dalili hata baadae kuliko kipindi hiki.
Jinsi...
9 years ago
Mwananchi14 Nov
Spidi ya Dk Magufuli inajibu maswali yaliyokosa majibu