Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Dakika 20 zilizompa maswali na majibu Kinana alipotembelea mpaka wa Tanzania na Burundi

.Asimama kwa dakika 20 kuangalia shughuli za kila siku mpakani mwa Tanzania na Burundi, ajiuliza maswali mengi na kupata majibu, atoa ushauri kwa Halmashauri ya Wilaya ya Buhigwe.

.Ajionea maisha halisi ya watu wa mpakani mwa Tanzania na Burundi

.Ashindwa kuelewa kwa nini soko la mifugo lilikufa

.Ashangaa viongozi kutokuwa wabunifu hasa katika fursa zinazoweza kuwasaidia wananchi

Untitled

 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa amesimama mpakani mwa Tanzania na Burundi katika kijiji...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Maswali mengi kuliko majibu mpaka lini?

Ikifikia wakati kila uamkapo asubuhi unajikuta na maswali mengi ya kujiuliza kuhusu maisha kuliko majibu, hapana shaka kitakachofuata ni kuchanganyikiwa.

 

11 years ago

GPL

KATIBU MKUU WA CCM, KINANA AKAGUA MPAKA WA TANZANIA NA BURUNDI

Katibu Mkuu wa CCM,Kinana akiwa na viongozi wengene wakiangalia jinsi watanzania wanavyopata taabu na kunusurika kifo kwa kuvuka kwenye Mto Malagalasi wakitokea kuuza bidhaa zao na kununua mahitaji mengine katika Soko Buhinja, Kijiji cha Mrambi, Mkoa wa Makamba nchini Burundi. Wananchi hao kutoka Kijiji cha Kibande na vijiji viongine wilayani Buhigwe, Kigoma Tanzania, huenda Burundi kufanya biashara kutokana na upande wa...

 

11 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM,KINANA AKAGUA MPAKA WA TANZANIA NA BURUNDI.

Katibu Mkuu wa CCM,Kinana akiwa na viongozi wengene wakiangalia jinsi watanzania wanavyopata taabu na kunusurika kifo kwa kuvuka kwenye Mto Malagalasi wakitokea kuuza bidhaa zao na kununua mahitaji mengine katika Soko Buhinja, Kijiji cha Mrambi, Mkoa wa Makamba nchini Burundi. Wananchi hao kutoka Kijiji cha Kibande na vijiji viongine wilayani Buhigwe, Kigoma Tanzania, huenda Burundi kufanya biashara kutokana na upande wa Tanzania kutokuwepo na soko kunakosababishwa na kodi nyingi. Katibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Maswali na majibu kuhusu UKIMWI (2)

Maambukizi ya VVU kwa mashine za kunyolea ni 2% ya maambukizi yote.

 

11 years ago

Mwananchi

Maswali na majibu kuhusu UKIMWI

Moja ya changamoto tulizonazo katika mapambano dhidi ya VVU ni tatizo hilo kugusa kila rika na zaidi hasa vijana ambao wako katika hatari ya kupata maambukizi. Ingawa ugonjwa huu umedumu kwa zaidi ya miaka 30 sasa, lakini bado kuna maswali mengi ambayo watu hawayafahamu kuhusu ugonjwa huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Westgate:Maswali mengi hayajapata majibu

Huku wakenya wakiadhimisha mwaka 1 tangu shambulizi la Westgate ,Maswali mengi hayajapata majibu .

 

5 years ago

Michuzi

Majibu ya maswali 10 yanayoulizwa sana kuhusu coronavirus

Zaidi ya nchi 110 hadi sasa zimeripoti visa vya coronavirus na Shirika la Afya Duniani limetangaza virusi hivyo kuwa janga.

Yafuatayo ni majibu ya baadhi ya maswali ambayo wasomaji wamekua wakiyauliza.

1. Je inachukua kipindi gani mpaka mtu afahamike kuwa na coronavirus? - Swali lililoulizwa na Gillian Gibs

Inachukua siku tano kwa wastani kuanza kuonesha dalili, tangu mtu apate maambukizi, wanasayansi wamesema, lakini baadhi ya watu huanza kuonesha dalili hata baadae kuliko kipindi hiki.
Jinsi...

 

9 years ago

Mwananchi

Spidi ya Dk Magufuli inajibu maswali yaliyokosa majibu

Kabla hajaapishwa kuwa Rais wa Awamu ya Tano, Dk John Magufuli alitamka kuwa mara atakapoapishwa ataanza kazi mara moja.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani