Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Katiba ya Sitta imejaa ubabe, maswali mengi’

WANAHARAKATI nchini wamesema pamoja na Rais kupokea Katiba iliyopendekezwa, bado wanaona ni ya kibabe huku ikiacha maswali mengi kwa watanzania. Akizungumza na Tanzania Daima, Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Hotuba ya Kikwete, ubabe wa Sitta vitatukosesha Katiba mpya

WIKI iliyopita Rais Jakaya Kikwete alikwenda bungeni kuzindua Bunge Maalumu, hotuba yake ilitarajiwa kuwaunganisha wajumbe wa Bunge hilo na Watanzania. Kwa bahati mbaya fikra hizo hazikutimia, hotuba ya kiongozi huyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Warioba: Katiba bado ina maswali mengi

>Siku moja baada ya Bunge Maalumu la Katiba kupitisha Katiba inayopendekezwa, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba amesema Katiba hiyo bado ina maswali mengi kuliko majibu, hasa katika muungano na mgombea binafsi.

 

10 years ago

GPL

POLEPOLE: KATIBA MPYA IMEJAA UONGO-2

Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzania Youth Coalition (TYC), Humphrey Polepole. Watu wengi wamekuwa wakiichambua Katiba Iliyopendekezwa  ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inatarajiwa kupigiwa kura ya ndiyo au hapana na Watanzania Aprili 30, mwaka huu kama alivyotangaza Rais Jakaya Kikwete. Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tanzania Youth Coalition (TYC), Humphrey Polepole anaendelea kuichambua katiba...

 

10 years ago

BBCSwahili

Westgate:Maswali mengi hayajapata majibu

Huku wakenya wakiadhimisha mwaka 1 tangu shambulizi la Westgate ,Maswali mengi hayajapata majibu .

 

10 years ago

BBCSwahili

Maswali ni mengi juu ya Rashid Mberesero

Wiki mbili baada shambulio la chuo kikuu Garissa,maswali bado hayana majibu kuhusu mmoja wa watuhumiwa Rashid Mberesero

 

11 years ago

Mwananchi

Maswali mengi kuliko majibu mpaka lini?

Ikifikia wakati kila uamkapo asubuhi unajikuta na maswali mengi ya kujiuliza kuhusu maisha kuliko majibu, hapana shaka kitakachofuata ni kuchanganyikiwa.

 

11 years ago

Habarileo

Kinana:Tume ya Warioba haikujibu maswali mengi

RASIMU ya Katiba mpya imeendelea kuchambuliwa, ikidaiwa imeacha maswali mengi hasa katika msingi mzima wa muundo wa muungano wa serikali tatu. Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana, amesema Tume ya Marekebisho ya Katiba iliyomaliza muda wake hivi karibuni, taarifa yao katika suala la uundaji serikali, inahitaji maelezo zaidi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani