Maswali ni mengi juu ya Rashid Mberesero
Wiki mbili baada shambulio la chuo kikuu Garissa,maswali bado hayana majibu kuhusu mmoja wa watuhumiwa Rashid Mberesero
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Sl4SdOvdvjo/VSd2Y7oOyDI/AAAAAAAAF84/U2oAQP2Emfk/s72-c/rashid.jpg)
MTANZANIA RASHID CHARLES MBERESERO AMEWEKWA KIZUIZINI KWA KIPINDI CHA MWEZI MMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sl4SdOvdvjo/VSd2Y7oOyDI/AAAAAAAAF84/U2oAQP2Emfk/s1600/rashid.jpg)
RASHID MBERESERO TEMBA
Mtanzania anayedaiwa kuhusika katika shambulizi la kigaidi lililoua watu 148 katika Chuo Kikuu cha Garissa – Kenya, Rashid Charles Mberesero, jana alifikishwa mahakamani na kuwekwa kizuizini kwa mwezi mmoja wakati polisi wakiendelea kukusanya ushahidi dhidi yake.
Mtuhumiwa huyo ambaye pia anafahamika kwa jina la Rehani Dida alirejeshwa Nairobi kutoka Garissa alikopelekwa awali kwa ajili ya kuhojiwa baada ya kukiri kujihusisha na kundi la Al- Shabaab.
Mahakama jijini...
10 years ago
BBCSwahili22 Sep
Westgate:Maswali mengi hayajapata majibu
11 years ago
Mwananchi28 Jul
Maswali mengi kuliko majibu mpaka lini?
10 years ago
Mwananchi04 Oct
Warioba: Katiba bado ina maswali mengi
10 years ago
Tanzania Daima10 Oct
‘Katiba ya Sitta imejaa ubabe, maswali mengi’
WANAHARAKATI nchini wamesema pamoja na Rais kupokea Katiba iliyopendekezwa, bado wanaona ni ya kibabe huku ikiacha maswali mengi kwa watanzania. Akizungumza na Tanzania Daima, Mkurugenzi wa Kituo cha Sheria na...
11 years ago
Habarileo04 Apr
Kinana:Tume ya Warioba haikujibu maswali mengi
RASIMU ya Katiba mpya imeendelea kuchambuliwa, ikidaiwa imeacha maswali mengi hasa katika msingi mzima wa muundo wa muungano wa serikali tatu. Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Abdulrahman Kinana, amesema Tume ya Marekebisho ya Katiba iliyomaliza muda wake hivi karibuni, taarifa yao katika suala la uundaji serikali, inahitaji maelezo zaidi.
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Maswali mengi wakati Ligi Kuu ikianza tena
10 years ago
Bongo Movies16 May
JB: Chungu cha Tatu Itajibu Maswali Mengi, Wema Ndiyo Mhusika Mkuu
Staa wa Bongo Movies ambaye ndiyo mmiliki na mkurugenzi wa kampuni ya utengenezaji wa filamu, Jerusalem Film Company, Jacob Stephen ‘JB’ amewadokeza wadau wa filamu kupitia ukurasa wake mtandaoni kuwa filamu ya ‘Tatu Chafu’ amabayo wanairekodi kwasasa itajibu maswali mengi ukizingatia kuwa mhusika mkuu kwenye filamu hiyo ni staa Wema Sepetu ambaya kila mmoja anakujua drama za staa huyu.
Wadau wa jerusalem film...bado tunaendelea na utengenezaji wa filam ya chungu cha tatu...lakini kwa...