MTANZANIA RASHID CHARLES MBERESERO AMEWEKWA KIZUIZINI KWA KIPINDI CHA MWEZI MMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sl4SdOvdvjo/VSd2Y7oOyDI/AAAAAAAAF84/U2oAQP2Emfk/s72-c/rashid.jpg)
RASHID MBERESERO TEMBA
Mtanzania anayedaiwa kuhusika katika shambulizi la kigaidi lililoua watu 148 katika Chuo Kikuu cha Garissa – Kenya, Rashid Charles Mberesero, jana alifikishwa mahakamani na kuwekwa kizuizini kwa mwezi mmoja wakati polisi wakiendelea kukusanya ushahidi dhidi yake.
Mtuhumiwa huyo ambaye pia anafahamika kwa jina la Rehani Dida alirejeshwa Nairobi kutoka Garissa alikopelekwa awali kwa ajili ya kuhojiwa baada ya kukiri kujihusisha na kundi la Al- Shabaab.
Mahakama jijini...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-wLBsx3KE8x0/Ux8w3LePDrI/AAAAAAAFS7s/4YUPf-Aheck/s72-c/RPC+MSANGI+KALU+BLOG.jpg)
TATHIMINI YA HALI YA UHALIFU MKOA WA MBEYA KWA KIPINDI CHA FEB- 2014 IKILINGANISHWA NA KIPINDI CHA MWEZI JAN- 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-wLBsx3KE8x0/Ux8w3LePDrI/AAAAAAAFS7s/4YUPf-Aheck/s1600/RPC+MSANGI+KALU+BLOG.jpg)
10 years ago
BBCSwahili16 Apr
Maswali ni mengi juu ya Rashid Mberesero
10 years ago
Michuzi19 Dec
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-zfnGC_Ys5QE/VJKOzm8CeBI/AAAAAAADSHs/FLkDKEMKsz4/s72-c/Watoto%2B1.jpg)
MTANZANIA CHARLES MIHAYO ALIYEUWA WATOTO WAKE AHUKUMIWA KIFUNGO CHA MAISHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-zfnGC_Ys5QE/VJKOzm8CeBI/AAAAAAADSHs/FLkDKEMKsz4/s1600/Watoto%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-S43M6Be2jRY/VJKOztu8byI/AAAAAAADSHo/IQGoBwV5syg/s1600/watoto.jpg)
A Melbourne man who murdered his two young daughters by smothering them with a pillow has been sentenced to life in jail.
Charles Mihayo, 36, smothered his daughters Savannah, 4, and Indianna, 3, at his unit at Watsonia in April.
He pleaded guilty to the killings in August and was today sentenced in the Supreme Court to a minimum of 31 years in...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Mafanikio ya BRN katika kipindi cha mwaka mmoja
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/2SyIV2fY7V0/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBC-GBBMsfUT7lv*SgO0Q8oj56pSMf7YY*KcWB*BO94mOdUpir9n9l0sbRMSlr*7wVjRuQzjOdyd0dfivvQ9djGS/oscarpistoriusdock.jpg)
OSCAR PISTORIUS KUFANYIWA UCHUNGUZI WA KIAKILI KWA MWEZI MMOJA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AwUWUveZAsA/VZjrX8Qf0NI/AAAAAAAHnCQ/Rfq2dCxC9XU/s72-c/ss.png)
DART yaainisha mafanikio yaliyopatikana katika BRT, kuleta mabasi 76 Mwezi Septemba mwaka na kuanza rasmi kipindi cha mpito
![](http://4.bp.blogspot.com/-AwUWUveZAsA/VZjrX8Qf0NI/AAAAAAAHnCQ/Rfq2dCxC9XU/s640/ss.png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-H_Ok0mIQevg/VZjratFlddI/AAAAAAAHnCY/mAJRjAIZSVw/s640/s.png)
Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART) imeisifu serikali ya awamu ya nne chini ya Rais Jakaya Kikwete kwa mafanikio ya ujenzi wa awamu ya kwanza ya Mradi wa Magari Yaendayo Haraka (BRT) ambapo kipindi cha mpito kinatarajia kuanza septemba mwaka huu.
Mradi huu unatarajia kuboresha maisha ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam ambalo limesongwa na...