WAZIRI MHONGO ATOA MWEZI MMOJA KWA TANESCO.
![](http://img.youtube.com/vi/2SyIV2fY7V0/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV29 Dec
Waziri Muhongo atoa siku saba kwa TANESCO
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo ametoa siku saba kwa shirika la ugavi wa Umeme nchini TANESCO kuunganisha umeme katika kituo cha ushuru wa forodha kilichopo kwenye mpaka wa Rusumo wilayani Ngara mkoani Kagera kwa upande wa Tanzania ambacho kimekuwa kikitegemea umeme kutoka nchini jirani ya Rwanda.
Waziri Muhongo ametoa maagizo hayo baada ya kupata taarifa kutoka kwa Maafisa wa forodha wa kituo hicho ambao wamemuelezea changamoto ya mara kwa mara ya ukosefu wa umeme...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-x0tr-BUQ3MM/Xo2sN5-VJuI/AAAAAAALmgg/4ftUVcd4AaAnWc-TUoazVEvpmI-Qe16ggCLcBGAsYHQ/s72-c/ca2a5394-6105-498c-bfcb-fdcebbcf0d2b.jpg)
NAIBU WAZIRI SHONZA AIPA MWEZI MMOJA KAMPUNI YA BENCMARK 360 LTD KUMLIPA MSHINDI WA MASHINDANO YA BSS 2019
Meshack aliibuka mshindi kwenye mashindano hayo yaliyofanyika mwishoni mwa mwaka jana ambapo kampuni ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBC-GBBMsfUT7lv*SgO0Q8oj56pSMf7YY*KcWB*BO94mOdUpir9n9l0sbRMSlr*7wVjRuQzjOdyd0dfivvQ9djGS/oscarpistoriusdock.jpg)
OSCAR PISTORIUS KUFANYIWA UCHUNGUZI WA KIAKILI KWA MWEZI MMOJA
9 years ago
Global Publishers17 Dec
Rais Magufuli Aipongeza TRA Kukusanya Trilioni 1.3 kwa Mwezi Mmoja
Rais Dkt John Pombe Magufuli.
Rais Magufuli amempongeza Kaimu Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania Dkt. Philip Mpango kwa kazi nzuri ya ukusanyaji wa mapato inayofanywa na mamlaka hiyo ambayo imeongeza ukusanyaji wa Mapato na kwa mara ya kwanza mwezi huu ukusanyaji wa mapato hayo unatarajiwa kuwa zaidi ya shilingi trilioni 1.3
Kutokana na mafanikio hayo amewahakikishia watanzania kuwa fedha kwa ajili ya kutimiza ahadi ya kutoa elimu bure kwa shule za msingi na sekondari ambazo ni...
5 years ago
MichuziRC SINGIDA ATOA FUTARI YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN KWA WAISLAMU
Katibu wa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mbwana Mtingule (kulia) akimkabidhi viazi vitamu Katibu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) Mkoa wa Singida, Alhaj Burhan Mlau vilivyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dkt. Rehema Nchimbi kwa ajili ya futari ya mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa Waislamu wa mkoa huo leo.
Viazi vya futari vikishushwa kwenye gari.
Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi ya Bakwata Mkoa wa Singida.
Viazi vya futari vikiingizwa ndani ya stoo ya ofisi...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-Sl4SdOvdvjo/VSd2Y7oOyDI/AAAAAAAAF84/U2oAQP2Emfk/s72-c/rashid.jpg)
MTANZANIA RASHID CHARLES MBERESERO AMEWEKWA KIZUIZINI KWA KIPINDI CHA MWEZI MMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-Sl4SdOvdvjo/VSd2Y7oOyDI/AAAAAAAAF84/U2oAQP2Emfk/s1600/rashid.jpg)
RASHID MBERESERO TEMBA
Mtanzania anayedaiwa kuhusika katika shambulizi la kigaidi lililoua watu 148 katika Chuo Kikuu cha Garissa – Kenya, Rashid Charles Mberesero, jana alifikishwa mahakamani na kuwekwa kizuizini kwa mwezi mmoja wakati polisi wakiendelea kukusanya ushahidi dhidi yake.
Mtuhumiwa huyo ambaye pia anafahamika kwa jina la Rehani Dida alirejeshwa Nairobi kutoka Garissa alikopelekwa awali kwa ajili ya kuhojiwa baada ya kukiri kujihusisha na kundi la Al- Shabaab.
Mahakama jijini...
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Shule nchini Uganda kuendelea kufungwa kwa mwezi mmoja zaidi
10 years ago
GPLMAFUNZO YA MWEZI MMOJA YA OLIMPIKI MAALUMU TANZANIA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI YA FUNGWA RASMI
10 years ago
MichuziMAFUNZO YA MWEZI MMOJA YA OLIMPIKI MAALUMU TANZANIA KWA WATOTO WENYE ULEMAVU WA AKILI YA FUNGWA RASMI LEO
BOFYA HAPA KWA PICHA...