Virusi vya corona: Shule nchini Uganda kuendelea kufungwa kwa mwezi mmoja zaidi
Rais wa Uganda Yoweri Museveni amesema kuwa Shule, makanisa, misikiti, vilabu, vilabu vya usiku, maeneo ya kufanyia mazoezi na saluni za urembo zitaendelea kufungwa ili kuepuka maambukizi ya virusi vya corona.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili08 Apr
Virusi vya Corona: Marekani yarekodi vifo vingi zaidi vya virusi vya corona kwa siku
Marekani imerekodi vifo vingi vya ugonjwa wa virusi vya corona kwa siku huku watu 1,736 wakifariki siku ya Jumanne.
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Idadi ya maambukizi yapanda zaidi kwa siku Uganda, huku mtu wa kwanza akifariki Rwanda
Idadi ya maambukizi ya Virusi vya corona imeongezeka kwa kiwango cha juu zaidi kuwahi kushuhudiwa kwa siku moja nchini zaidi kwa siku Uganda, huku mtu wa kwanza akifariki Rwanda.
5 years ago
BBCSwahili15 Apr
Virusi vya corona: Congo inavyopambana na Ebola na corona kwa wakati mmoja
Wakati ugonjwa wa Corona ukisambaa nchini humo, mamlaka ya afya ambayo sasa zinakabiliana na magonjwa yote mawili ya mlipuko hatari wakati wakiwahudumia wagonjwa wa mlipuko wa kipindupindu pia.
5 years ago
BBCSwahili12 Apr
Virusi vya Corona: Kwa nini Wamarekani weusi wameathirika zaidi na virusi?
Jijini Chicago asilimia 68 ya waliofariki kutokana na corona ni Wamarekani weusi.
5 years ago
BBCSwahili30 May
Virusi vya corona: Korea Kusini yafunga shule tena baada ya maambukizi kuongezeka zaidi
Shule ambazo zilikuwa tu zimefunguliwa zimelazimika kufunga tena baada ya maambukizi kuongezeka mno
5 years ago
BBCSwahili24 Apr
Virusi vya Corona: Uganda yatazamia kudhibiti corona kwa kuwazuia madereva wa Kenya, Tanzania
Wagonjwa wa virusi vya corona nchini Uganda wafikia 74.
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya Corona: Kwa nini ugonjwa huo ni hatari zaidi kwa wanaume zaidi ya wanawake
Wanaume wengi wamekutwa na ugonjwa huo zaidi na wanaonekana kupatwa na maafa mabaya.
5 years ago
BBCSwahili17 Mar
Serikali ya Tanzania yafunga shule zote nchini kuzuia maambukizi ya virusi vya corona
Tanzania yatangaza kufunga shule zote kuanzia za awali hadi kidato cha sita kwa siku 30
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-LV24WUw2gwE/XpXhejOC5WI/AAAAAAACJ0c/KrQ_Y29vNvUBHe1ULDNDAh2VRPGIeZm9QCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%25281%2529.jpeg)
SHULE, VYUO KUENDELEA KUFUNGWA, SHEREHE ZA MEI MOSI, MUUNGANO ZAAHIRISHWA KUTOKANA NA BALAA LA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-LV24WUw2gwE/XpXhejOC5WI/AAAAAAACJ0c/KrQ_Y29vNvUBHe1ULDNDAh2VRPGIeZm9QCLcBGAsYHQ/s320/images%2B%25281%2529.jpeg)
Pia, Waziri Mkuu amesema Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesitisha maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi (Aprili 26) pamoja na Sikukuu ya Wafanyakazi (Mei Mosi) ili kuepuka msongamano na kuendelea kuzuia virusi vya corona visisambae zaidi.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Aprili...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania