SHULE, VYUO KUENDELEA KUFUNGWA, SHEREHE ZA MEI MOSI, MUUNGANO ZAAHIRISHWA KUTOKANA NA BALAA LA CORONA

MKUU Kassim Majaliwa amesema agizo la kufungwa kwa shule za awali, msingi, sekondari na vyuo vyote vya elimu ya kati na vya elimu ya juu litaendelea kubaki vile vile hadi hapo Serikali itakapotoa tamko jingine.
Pia, Waziri Mkuu amesema Rais Dkt. John Pombe Magufuli amesitisha maadhimisho ya Sherehe za Mapinduzi (Aprili 26) pamoja na Sikukuu ya Wafanyakazi (Mei Mosi) ili kuepuka msongamano na kuendelea kuzuia virusi vya corona visisambae zaidi.
Waziri Mkuu ameyasema hayo leo (Jumanne, Aprili...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziSHULE ZOTE NA VYUO KUENDELEA KUFUNGWA – MAJALIWA
==== ===== ====
*Sherehe za Muungano, Mei Mosi zaahirishwa
WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema agizo la kufungwa kwa shule za awali, msingi, sekondari na vyuo vyote vya elimu ya kati na vya...
5 years ago
BBCSwahili02 Jun
Virusi vya corona: Shule nchini Uganda kuendelea kufungwa kwa mwezi mmoja zaidi
5 years ago
BBCSwahili31 May
Virusi vya corona: Je mfumo wa maisha ya shule na vyuo utabadilika vipi kutokana na virusi Tanzania?
11 years ago
Dewji Blog01 May
Sherehe za Mei Mosi Mwanza zafana

Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakipita ya mgeni wa heshima Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng.Evarist Welle Ndikilo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza ,matembezi hayo yalihitimishwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba.

Wafanyakazi wa Mkemia Mkuu wa Serikali wakiingia uwanjani CCM Kirumba Mwanza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza.
Wafanyakazi wa Idara ya Maliasili wakiingia uwanjani CCM Kirumba katika kuhitimisha siku ya wafanyakazi..

10 years ago
Dewji Blog02 May
Sherehe za Mei Mosi zilivyofana mkoani Kilimanjaro
Wafanyakazi wa Shirika la Umeme(TANESCO) mkoa wa Kilimanjaro wakipita na gari lao mbele ya mgeni rasmi katika sherehe za Mei Mosi zilizofanyika katika uwanja wa Chuo Kikuu chaUshirika mjini Moshi.
Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCLwakipita katikamaonesho ya Mei Mosi.
Chuo cha wauguzi Kibosho pia walipita mbele ya mgeni rasmi kuonesha nini wanafanya katika sherehe hizo za Meio Mosi.
Mtafiti kutoka kituo cha utafiti wa zao la Kahawa nchini cha TACri ,Jeremiah Magesa akitoa maelezo...
10 years ago
Mtanzania02 May
Madabida augua ghafla sherehe za Mei Mosi
Ruth Mnkeni, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida jana aliugua ghafla wakati akiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani Mkoa wa Dar es Salaam, yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru ulioko Wilaya ya Temeke.
Madabida ambaye haikufahamika mara moja aliugua nini, alikimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Gazeti hili ambalo lilikuwa uwanjani hapo jana, lilimshuhudia Madabida...
11 years ago
Michuzi
SHEREHE ZA MEI MOSI ZAFANA JIJINI MWANZA




10 years ago
Michuzi
SHEREHE ZA MEI MOSI ZILIVYOFANA JIJINI DAR LEO




11 years ago
Michuzi02 May
Sherehe za mei mosi uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam
Kwa video hii na nyingine kibao za sherehe za Mei Mosi
BOFYA HAPA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10