Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sherehe za Mei Mosi zilivyofana mkoani Kilimanjaro

E86A6167 (800x533)

Wafanyakazi wa Shirika la Umeme(TANESCO) mkoa wa Kilimanjaro wakipita na gari lao mbele ya mgeni rasmi katika sherehe za Mei Mosi zilizofanyika katika uwanja wa Chuo Kikuu chaUshirika  mjini Moshi.

E86A6174 (800x533)

Shirika la Mawasiliano Tanzania TTCLwakipita katikamaonesho ya Mei Mosi.

E86A6177 (800x533)

E86A6178 (800x533)

Chuo cha wauguzi Kibosho pia walipita mbele ya mgeni rasmi kuonesha nini wanafanya katika sherehe hizo za Meio Mosi.

E86A6179 (800x533)

E86A6195 (800x533)

Mtafiti kutoka kituo cha utafiti wa zao la Kahawa nchini cha TACri ,Jeremiah Magesa akitoa maelezo...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MEI MOSI ZILIVYOFANA JIJINI DAR LEO

Bendi ya Jeshi la polisi wakiwa katika maandamano ya siku ya wafanyakazi yaliyofanyika katika uwanja vya uhuru jijini Dar es salaam leo.Picha zote na Avila KakingoWafanyakazi wa Kampuni ya uchapishaji wa Magazeti ya Daily, Sunday News na Habari leo (TSN) wakipita na bango lao wakati wa kuadhimisha siku ya Wafanyakazi (Mei Dei), leo jijini Dar es salaam. Maandamano ya maadhimisho ya siku ya wafanyakazi (Mei mosi), yaliyofanyika katika uwanja vya Uhuru jijini Dar es Salaam leo.Hawa ni wachama...

 

11 years ago

Dewji Blog

Sherehe za Mei Mosi Mwanza zafana

 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakipita ya mgeni wa heshima Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng.Evarist Welle Ndikilo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza ,matembezi hayo yalihitimishwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba.

 Wafanyakazi wa Mkemia Mkuu wa Serikali wakiingia uwanjani CCM Kirumba Mwanza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza.

unnamed

 Wafanyakazi wa Idara ya Maliasili wakiingia uwanjani CCM Kirumba katika kuhitimisha siku ya wafanyakazi..

 

10 years ago

Mtanzania

Madabida augua ghafla sherehe za Mei Mosi

Ramadhani-MadabidaRuth Mnkeni, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida jana aliugua ghafla wakati akiwa katika maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani Mkoa wa Dar es Salaam, yaliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru ulioko Wilaya ya Temeke.
Madabida ambaye haikufahamika mara moja aliugua nini, alikimbizwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya kupatiwa matibabu.
Gazeti hili ambalo lilikuwa uwanjani hapo jana, lilimshuhudia Madabida...

 

11 years ago

Michuzi

SHEREHE ZA MEI MOSI ZAFANA JIJINI MWANZA

 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakipita ya mgeni wa heshima Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng.Evarist Welle Ndikilo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza ,matembezi hayo yalihitimishwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba.  Wafanyakazi wa Mkemia Mkuu wa Serikali wakiingia uwanjani CCM Kirumba Mwanza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza .  Wafanyakazi wa Idara ya Maliasili wakiingia uwanjani CCM Kirumba katika kuhitimisha siku ya wafanyakazi..

 

11 years ago

Michuzi

Sherehe za mei mosi uwanja wa uhuru jijini Dar es salaam



Kwa video hii na nyingine kibao za sherehe za Mei Mosi 
BOFYA HAPA

 

11 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje walivyoshiriki Sherehe za Mei Mosi

Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakisheherekea Siku ya Wafanyakazi Duniani, iliyofanyika katika Uwanja wa Uhuru, jijini Dar es Salaam. Mgeni rasmi kwenye maadhimisho hayo alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete. Kauli mbiu ya maadhimisho ya mwaka huu ni "UTAWALA BORA UTUMIKE KUTATUA KERO ZA WAFANYAKAZI" Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wakiwa kati maandamano Maandamano yakiwa...

 

11 years ago

GPL

SHEREHE ZA MEI MOSI MWANZA WAFANYAKAZI WAOMBA KODI IPUNGUZWE

 Wafanyakazi wa Shirika la Nyumba la Taifa wakipita ya mgeni wa heshima Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Eng.Evarist Welle Ndikilo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza ,matembezi hayo yalihitimishwa kwenye uwanja wa CCM Kirumba.
 Wafanyakazi wa Mkemia Mkuu wa Serikali wakiingia uwanjani CCM Kirumba Mwanza wakati wa maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoa wa Mwanza .…
...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sherehe za sikukuu ya wafanyakazi duniani (Mei Mosi) mkoa wa Singida zafana

DSC05562

Mkurugenzi mtendaji wa halmshauri ya wilaya ya Iramba mkoa wa Singida, Halima Mpita (wa kwanza kushoto akishirikiana na viongozi wa ngazi mbali mbali mkaoni Singida, kuimba wimbo wa mshikamano kwenye kilele cha sherehe za wafanyakazi duniani (mei mosi) zilizofanyika jana kwenye uwanja wa Namfua mjini hapa.

DSC05561

Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Saidi Alli Amanzi (wa pili kushoto) akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano kwenye kilele cha sherehe za wafanyakazi duniani (mei mosi) zilizofanyika jana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani