Virusi vya Corona: Uganda yatazamia kudhibiti corona kwa kuwazuia madereva wa Kenya, Tanzania
Wagonjwa wa virusi vya corona nchini Uganda wafikia 74.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog24 Apr
UGANDA YATAZAMIA KUDHIBITI CORONA KWA KUWAZUIA MADEREVA WA MALORI WA TANZANIA NA KENYA
Haki miliki ya pichaGETTY IMAGESImage captionUganda inategemea mizigo kutoka Kenya na Tanzania kwa kuwa haina bandariIdadi ya wagonjwa nchini Uganda imeongezeka na kufikia 74. Lakini ongezeko hilo si la raia wa Uganda bali madereva kutoka nchi jirani za Kenya na Tanzania.Katika juhudi za kukabiliana na maambukizi ya virusi vya corona serikali ya Uganda imefunga mipaka yake na kusimamia marufuku ya wananchi kutoka nje.Hata hivyo, mipaka ya nchi hiyo ipo wazi kwa sekta ya uchukuzi na hutegemea...
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya Corona: Madereva 25 kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia Kenya baada ya kukutwa na corona.
Katika mkutano wake na wanahabari naibu waziri wa Afya Rashid Aman amesema kwamba maabara 2 za kuhama hama zitazinduliwa katika mpaka wa Namanga ili kuimarisha upimaji wa wagonjwa wapya.
5 years ago
BBCSwahili27 Apr
Virusi vya corona: Madereva 4 wa malori kutoka Tanzania wakutwa na virusi hivyo Uganda
Wizara ya afya nchini Uganda imetangaza wagonjwa wanne wapya wa virusi vya corona na kufanya idadi ya wanaothirika na ugonjwa huo kufikia 79.
5 years ago
BBCSwahili19 May
Virusi vya corona: Kenya yasema 'adui si Tanzania ni Corona'
Balozi wa Kenya nchini Tanzania Dan Kazungu, ametetea hatua ya Kenya kufunga mpaka na majirani zake akisema kuwa haiwalengi Watanzania.
5 years ago
BBCSwahili29 Apr
Virusi vya corona: Museveni atoa masharti ya kuwadhibiti madereva wa malori Uganda
Rais wa Uganda Yoweri Museveni ametangaza hatua mpya ya kudhibiti mienendo ya madereva wa malori yanayoingia nchini humo kutoka mataifa jirani baada ya zaidi ya madereva 20 kupatikana na ugonjwa wa Covid-19.
5 years ago
BBCSwahili02 May
Virusi vya corona: Watu 24 wapatikana na maambukizi ya corona kwa siku moja Kenya
Kenya imerekodi idadi kubwa ya maambukizi ya corona kwa siku moja , kuwahi kushuhudiwa tangu kisa cha kwanza cha maambukizi hayo kilipotangazwa tarehe 12 Machi
5 years ago
BBCSwahili13 May
Virusi vya corona: Muuguzi wa Kenya asimulia alivyotengwa kwa kuwahudumia wagonjwa wa corona
Kumekuwa na unyanyapaa dhidi ya wahudumu wa afya wanaoshughulikia wanaougua corona na wale waliopona.
5 years ago
BBCSwahili14 Apr
Virusi vya corona: Wakazi 'wanavyotishwa' kudhibiti corona Indonesia
Kijiji kimoja Indonesia chatumia mavazi ya kutisha kuhimiza kukaa mbali na mwengine kwa sababu ya Corona
5 years ago
BBCSwahili16 Apr
Virusi vya Corona: Je, marufuku ya kutotoka nje inaweza kudhibiti Corona Afrika?
Ni muhimu kwa wananchi kuhusishwa katka maamuzi ya marufuku ya kutoka nje, Alex de Waal na Paul Richards wamejadili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania